Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Big up sana kwa wanaosoma vitabu vya mambo ya ujasiriamali lkn lazima vitu hivi viwili viendane kusoma vitabu na kuingia kwenye biashara huku ukipractise unachokisoma.

Kusoma sana vitabu bila kupractise ni sawa sawa na kusoma vitabu viiingi vya namna ya kuogelea lkn ukiwekwa kwny hio swimming pool bila practise uogelee utaishia kunywa maji mpk uzame.

So vitendo ni muhimu pia.
 
Yesu aliwaambia makutano na wanafunzi
wake, akasema, Waandishi na
Mafarisayo wameketi katika kiti cha
Musa; basi, yoyote watakayowaambia,
myashike, na kuyatenda; lakini kwa
mfano wa matendo yao, msitende;
maana wao hunena lakini hawatendi.
Wao hufunga mizigo mizito na
kuwatwika watu mabegani mwao;
wasitake wenyewe kuigusa kwa kidole
chao. Tena matendo yao yote huyatenda
ili kutazamwa na watu; kwa kuwa
hupaua hirizi zao, huongeza matamvua
yao; hupenda viti vya mbele katika
karamu, na kuketi mbele katika
masinagogi, na kusalimiwa masokoni, na
kuitwa na watu, Rabi. Bali ninyi msiitwe
Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja,
nanyi nyote ni ndugu. Wala msimwite
mtu baba duniani; maana Baba yenu ni
mmoja, aliye mbinguni. Wala msiitwe
viongozi; maana kiongozi wenu ni
mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye
mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.
Na yeyote atakayejikweza, atadhiliwa; na
yeyote atakayejidhili, atakwezwa.
 
Yesu aliwaambia makutano na wanafunzi
wake, akasema, Waandishi na
Mafarisayo wameketi katika kiti cha
Musa; basi, yoyote watakayowaambia,
myashike, na kuyatenda; lakini kwa
mfano wa matendo yao, msitende;
maana wao hunena lakini hawatendi.
Wao hufunga mizigo mizito na
kuwatwika watu mabegani mwao;
wasitake wenyewe kuigusa kwa kidole
chao. Tena matendo yao yote huyatenda
ili kutazamwa na watu; kwa kuwa
hupaua hirizi zao, huongeza matamvua
yao; hupenda viti vya mbele katika
karamu, na kuketi mbele katika
masinagogi, na kusalimiwa masokoni, na
kuitwa na watu, Rabi. Bali ninyi msiitwe
Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja,
nanyi nyote ni ndugu. Wala msimwite
mtu baba duniani; maana Baba yenu ni
mmoja, aliye mbinguni. Wala msiitwe
viongozi; maana kiongozi wenu ni
mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye
mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.
Na yeyote atakayejikweza, atadhiliwa; na
yeyote atakayejidhili, atakwezwa.
Mkuu naona una negativity sana anyway, ni mawazo yako na ninayaheshimu.

Kwa mtazamo wa hapo juu, watoto wa wazazi wasiosoma hawatasoma kamwe kwa kuwa mzazi wake atamwambiaje yeye asome, apende shule wakati mzazi mwenyewe alikimbia umande?

Na watoto Wa masikini hawatakiwi Kusikiliza ushauri wa wazazi wao kuhusu namna ya kupata mafanikio ya maisha kiuchumi.

Mfano, Mzazi wangu sio tajiri lakini kupitia makosa aliyofanya nyuma, anaweza nipa mbinu nzuri za kutusua kimaisha. Mfano yeye awe masikini akinieleza namna yeye alivyoishia kwenye umasikini, mimi nikifanya kinyume cha yeye alivyoishi je?

Mwisho wa siku kuna cynics katika Maisha, ambao watakuambia, hili haliwezekani, mbona flani alifanya akashindwa, kufanya hivyo si raisi, kwa mtaji huo huwezi n.k. Hizo ni kelele, na hiyo ndio sababu kubwa kwanini matajiri duniani ni wachache, chini ya 10%. Hawa ni watu ambao hapo nyuma walichekwa, walitukanwa, walidhihakiwa.

Lakini pia kama mtu anaona asichukue nondo za motivational speakers, achukue basi motivational speakers ambao pia wamefanya makubwa. Hapa Tanzania, soma historia ya Mengi, Bakhresa, MO dewji na wengine utaona wametoka wapi. Nje kuna kiyosaki, Sanders, Glazer, Warren Buffet n.k
 
Mwenye vitabu hivi anisaidie.
If you want to be rich and happy don't go to school By Robert Kiyosaki.
The worldly philosopher By Robert Heilboner.
Un limited wealth By Poul Zane Pilzer.
The Sovereign indi individual By James Dale David.
The crest of wave By Robert Pretcher.
The Great Boom a head By Harry Dent.
 
Mwenye vitabu hivi anisaidie.
If you want to be rich and happy don't go to school By Robert Kiyosaki.
The worldly philosopher By Robert Heilboner.
Un limited wealth By Poul Zane Pilzer.
The Sovereign indi individual By James Dale David.
The crest of wave By Robert Pretcher.
The Great Boom a head By Harry Dent.
Mwl.RCT
 
Mkuu naona una negativity sana anyway, ni mawazo yako na ninayaheshimu.

Kwa mtazamo wa hapo juu, watoto wa wazazi wasiosoma hawatasoma kamwe kwa kuwa mzazi wake atamwambiaje yeye asome, apende shule wakati mzazi mwenyewe alikimbia umande?

Na watoto Wa masikini hawatakiwi Kusikiliza ushauri wa wazazi wao kuhusu namna ya kupata mafanikio ya maisha kiuchumi.

Mfano, Mzazi wangu sio tajiri lakini kupitia makosa aliyofanya nyuma, anaweza nipa mbinu nzuri za kutusua kimaisha. Mfano yeye awe masikini akinieleza namna yeye alivyoishia kwenye umasikini, mimi nikifanya kinyume cha yeye alivyoishi je?

Mwisho wa siku kuna cynics katika Maisha, ambao watakuambia, hili haliwezekani, mbona flani alifanya akashindwa, kufanya hivyo si raisi, kwa mtaji huo huwezi n.k. Hizo ni kelele, na hiyo ndio sababu kubwa kwanini matajiri duniani ni wachache, chini ya 10%. Hawa ni watu ambao hapo nyuma walichekwa, walitukanwa, walidhihakiwa.

Lakini pia kama mtu anaona asichukue nondo za motivational speakers, achukue basi motivational speakers ambao pia wamefanya makubwa. Hapa Tanzania, soma historia ya Mengi, Bakhresa, MO dewji na wengine utaona wametoka wapi. Nje kuna kiyosaki, Sanders, Glazer, Warren Buffet n.k
Nilikosea ku comment, sio kusudio langu kuleta hayo maelezo kwenye thread hii.

Am sorry
 
Mi nafikiri kupata experience ya biashara kwanza ndo jambo la muhimu
Kwa nini?
Kwa sababu kabla hujaacha kazi plan lazma ijitosheleze
Kivipi?
Bajeti ya biashara iwe tofauti na ya kufanyia mambo mengine
Kwa sababu kuna watu wanaacha/wanatarajia kuacha kazi wakitaka kujiajiri labda unakuta amekusanya million 1 kwa ajil ya biashara
Shda inakuja pale mtu anapochanganya iyo million na kulipa kodi, ada n.k
Kwa mtindo huo lazma ufel
It's happened to me
 
Mku Jimmy Mzigo wa Kuni tani kama mbili kwa Maeneo ya Mwenge utaniletea kwa bei gani
 
.......... kuachana na aina Mpya ya utumwa, yaani KUAJIRIWA.

Kuacha kazi na kujiajiri na pengine baadae kufikia hatua ya kuajiri ni uamuzi wa kuyatoa maisha yako mikononi mwa mtu mwingine (muajiri) na kuyakabidhi mikononi mwako mwenyewe. Ni kujitoa katika kutawaliwa na kuamua kujitawala mwenyewe. Ni vyema pia tukajulishana gharama za maamuzi hayo mazito ya kutoka Misri kuelekea Kanani. NI WAZI HAITAKUWA SAFARI NYEPESI.

Tunaotaka tutoke hii Jela ........... Kubaki Jela haiwezi kuwa option kisa kuna dona na maharage ya bure, bora kuwa uraiani ule mlo mmoja wa maharage na ugali kwa mwaka mmoja ili uje kula asali na maziwa kwa miaka mingi ijayo.

Kwanini nataka niache kazi, nataka kuwa huru, nataka kusafiri huku na kule bila kujali bosi atahesabu siku tatu sipo kazini anifute kazi. Sitaki kumpigia mtu mmoja Magoti (bosi) ili kipato changu kiendelea kutiririka. Bora nipigie magoti watu wengi (wateja) ili kipato kiingie, kwani mteja mmoja akiamua kunifukuza kazi ntakuwa na option kwa mteja mwingine.

.
Mkuu wazo lako ni zuri ila nahisi umeandika ukiwa na hasira sana au mihemko fulani
Unaonekana kuchukia kuajiriwa kwamba huo ni utumwa, ni kama jela lakini wakati huhuo unakiri kuwa wewe mwenyewe ukishajiajiri wakati fulani utahitaji kuajiri! Je hao watakaokubali kuwa watumwa wako ni akina nani?, hao watakaokubali kuwa kwenye jela yako no akina nani?
Huo uhuru unaoutaka (wa ... kusafiri huku na kule bila kujali bosi atahesabu siku tatu sipo kazini anifute kazi. Sitaki kumpigia mtu mmoja Magoti (bosi) ili kipato changu kiendelea kutiririka..) sidhani kama utaupata katika kujiajiri, na kama ukilazimisha uhuru huo uupate katika ajira yako mweyewe - nakuhakikishia 95% uta-fail.
Ukishajiajiri, shughuli hiyo ndiyo bosi wako na kadri utakavyojipa uhuru unaoutaka katika kazi hiyo ndivyo shughuli itakavyoendelea ku-fail.
Hao utakaowaajiri kama wakiwa na mawazo kama yako kuwa wanataka uhuru nawewe ukawapa huo uhuru (kama unaoutaka wewe) - then shughuli kwaheri!
Angalia ajira positively kwa mitizamo yote, yaani kuajiriwa na kujiajiri - otherwise you may end up frustrated!
Nikipata muda nitakupa uzoefu wangu maana nilifanya kazini serikalini miaka 17, nikaacha, baada ya miaka 3 nikalazimika kutafuta kazi sehemu nyingine, nikafanaya miaka 2 nikapewa likizo bila malipo isiyo na kikomo, nikaamua kuacha pia, nikapata kazi sehemu nyingine nilipo sasa kwa miaka 17 sasa. Lakini bado nina mkakati madhubuti wa kuacha kazi pia licha ya umri kuwa mkubwa sasa!
 
......nakiri nilifanikiwa na hadi sasa naishi tu poa nna maisha yangu na nipo huru kwenda popote,au kufunga ofisi au kufungua muda wowote na nimemchukua mdogo wangu kwa usaidizi,......
Very good ila huyo mdogo wako usimgeuze kuwa mtumwa. Ndiyo ,maana nasema tungalie ajira positively - iwe kuajiriwa au kujiajiri
 
Mkuu wazo lako ni zuri ila nahisi umeandika ukiwa na hasira sana au mihemko fulani
Unaonekana kuchukia kuajiriwa kwamba huo ni utumwa, ni kama jela lakini wakati huhuo unakiri kuwa wewe mwenyewe ukishajiajiri wakati fulani utahitaji kuajiri! Je hao watakaokubali kuwa watumwa wako ni akina nani?, hao watakaokubali kuwa kwenye jela yako no akina nani?
Huo uhuru unaoutaka (wa ... kusafiri huku na kule bila kujali bosi atahesabu siku tatu sipo kazini anifute kazi. Sitaki kumpigia mtu mmoja Magoti (bosi) ili kipato changu kiendelea kutiririka..) sidhani kama utaupata katika kujiajiri, na kama ukilazimisha uhuru huo uupate katika ajira yako mweyewe - nakuhakikishia 95% uta-fail.
Ukishajiajiri, shughuli hiyo ndiyo bosi wako na kadri utakavyojipa uhuru unaoutaka katika kazi hiyo ndivyo shughuli itakavyoendelea ku-fail.
Hao utakaowaajiri kama wakiwa na mawazo kama yako kuwa wanataka uhuru nawewe ukawapa huo uhuru (kama unaoutaka wewe) - then shughuli kwaheri!
Angalia ajira positively kwa mitizamo yote, yaani kuajiriwa na kujiajiri - otherwise you may end up frustrated!
Nikipata muda nitakupa uzoefu wangu maana nilifanya kazini serikalini miaka 17, nikaacha, baada ya miaka 3 nikalazimika kutafuta kazi sehemu nyingine, nikafanaya miaka 2 nikapewa likizo bila malipo isiyo na kikomo, nikaamua kuacha pia, nikapata kazi sehemu nyingine nilipo sasa kwa miaka 17 sasa. Lakini bado nina mkakati madhubuti wa kuacha kazi pia licha ya umri kuwa mkubwa sasa!
Nashukuru sana kwa Mchango wako positive.

Labda nikuhakikishie tu mkuu, nimeandika hilo Andiko nikiwa as calm as ever. Labda nikwambie tu hili wazo nimelipata almost miezi 12 iliyopita. So I know what, I,m doing,. I know what I am expecting to do.

Pili, bila kupepesa macho wala masikio, Ajira mkuu wangu ni utumwa. Na wakati mimi nimepanga kujitoa kwenye utumwa huu wa kileo, ninafahamu kuna wengine wana utamani.

Wewe hushangai wakati wa karne ya 15 waAfrica walilazimishwa kwenda utumwani huko America na Ulaya, siku hizi waafrika tunajipeleka wenyewe kwenye utumwa huko ulaya na wengi wanaishia kuwa chakula cha samaki huko Mediterranean.

Kwahiyo mkuu wangu, kuna watu wengi wapo tayari kuwa watumishi/wafanyakazi/modern slaves. Mimi nitawatumia hao ambao ndio wengi kuliko wenye guts za kuanzisha kitu Chake binafsi. Kwenye huu uzi kuna watu wanaomba wapewe taarifa mtu akiacha kazi ili wao wachukue hizo kazi. Inaweza kuwa utani, lakini wapo watu wenye hiyo mentality.

Kwenye swala la kutofanya kazi na pengine kusafiri huku na huko inawezekana pasipo mambo yangu kukwama. Mfano, mtu aliyewekeza kwenye real Estates Mwanza, Dar, mbeya, Arusha, Nairobi n.k anapata wapi hofu ya kuzurura huku na huko? Hilo ni swala la hatua, nikifika hatua hiyo naweza kufanya lolote pasipo kuogopa ku fail.

Mwisho mkuu nakuelewa sana. Ila naamini pia mawazo yako yamekuwa influenced sana na Experience ya maisha yako.
 
Mtaani kugumu...... Haya ndio Majibu ya walio wengi kwenye ushauri wa kuacha kazi, Kama unataka kuacha acha usiombe ushauri, Nakuomba ufanye kautafiti. Tafuta watu kama kumi ambao wako mtaani na unawaamini, waombe ushauri.

Kama wakitokea wawili wakakubaliana na wazo lako njoo nidai vocha ya 500(joke)

Kimsingi haya maamuzi yanategemea tu utashi wako, Unapokua na Biashara huku bado uko kwenye ajira watumishi huwa wanakupiga sana, mwisho wa siku biashara inakufa na ndoto yako ya kuacha kazi inakufa

Mimi nakushauri anagalia mfuko wako na uwe na uhakika wa biashara ambayo unataka kufanya, Kumbuka challenges hazipo maofisini peke yake hata kwenye biashara pia kuna challenges.

Biashara ambayo unaweza kuanza nayo kama bado hujabuni biashara jaribu kuangalia Mazao, Mazao hayana hasara jaribu ku avoid perishable things kama viazi na mboga mboga.

Mazao kama mahindi yakiharibika utauzia wanaotengeneza byakula vya kuku.

suala kubwa ni mfuko wako na utayari wako wa kuishi kigumu.


hapo nilipopabold nimepapenda sana sasa kuhusu hayo mazao unalima au unachukua kwa wakulima na kuanza kuuza au inakuwaje best? nieleweshe
 
Back
Top Bottom