salute mkuu. Nimekusoma vyema sana. Vp una muda gan kaziniMkuu sijajiandaa kihivyo,
Nimekuwa mjasiliamali kwa muda sasa nikiwa kazini,
Nimekuwa nikijihusisha na kilimo cha matunda lakini napata hasara sana,
Lakini hiyo hasara haitokani na ubovu w bidhaa la hasha ni usimamizi mbovu
Watu wengi nnao waamin mpaka leo ndo wengi wao wananiliza,
Kimahesabu kwa nikifanya kilimo kwa mara moja naweza pata pesa ya mshahara wa mwaka mzima,
Kwanini niendelee kubaki kazini wakati naona kuna sehemu naweza kupata pesa ya kutosha nzuri tu,
Kwa maana hiyo kazi yako haikubani muda, unao muda wa kutosha sana kufanya mambo mengine nje ya kuajiriwa. Hongera sanaMi sijui nitaacha kazi lini, kwa wiki masaa ya kufanya kazi ni masaa 8 tu!!!
Na kwa hivi sasa huu mfumo unaokuja si mchezo. Mpaka uje upate unachokitarajia mgongo umeshapinda na nguvu zimekwishaKuajiliwa ni mentaliti ya kibantu. Babu aliajiliwa, baba aliajiliwa, mama aliajiliwa. Wote hawa hawakuwa na maisha ya maana hadi wanastaafu na kuanza kudai mafao yao ya miaka 30 kwa manyanyaso tele. Wewe mjukuu umeona/kusikia yote haya bado unataka kwenda njia hiyohiyo?
Shtuka chukua hatua.
Saa zingine ikiongea kwa uchungu namna hii unawaamsha wengi! Kwa sababu ndiyo uhalisia ulivyo. Kazi kubwa mapato kidogo! Ila kuacha kazi si jambo la hisia tu, linatakiwa kuwa jambo halisi lenye uhakika wa kile utakachoenda kukifanyaKazi za kuajiriwa hasa zama hizi ni ungese mtupu,,, unatumika sana ila return ni kiduchu
Unapambana na kazi ngumu na sometimes zinakua za risk ila makali ya maisha hayapungui
Unakua mtumwa wa mabenki kwa kukopa
Mi ni miongoni mwa wanaowaza kuacha kazi,,,
Nasubiri tu target moja ikae sawa
salute mkuu. Nimekusoma vyema sana. Vp una muda gan kazini
Ushauri wako uko vizurihongereni,mie cha kuwashauri kabla hujaingia mazima kwenye kujiajiri,uwe kama mtoto anayeachishwa ziwa,unaintroduce vyakula vingine taratibu,fanya uchunguzi wa biashara unayotaka kufanya,ujue nini cha ku expect ,changamoto zake,nakushauri uchukue hata likizo isiyo na malipo,ambapo utaangalia unachojiajiri kiko na mashiko,sitaki muache kazi kabisa,afu ukute changamoto za kujiajiri huziwezi....utakua umepotea sana..
Kweli kabisa mkuu.Ndugu zangu. Swala LA kuacha kazi linahitaji kujipanga sana, huwa siwashauri watu wakurupuke kwani yaliyonipata sipendagi na wengine yawapate
Upo wewe mtu?aiseee..umejuaje mkuu??
Mtu akiacha kazi serikalini ni vigumu kurudishwa, labda kama alikuwa anafanyia kwa wahindi!Hamna mtu alieacha kazi biashara ikamshinda akarudi kazini?
Ni ndg sana hizo .. Gar itayokutoa faida kiwango cha chini n tani tatu na nusu ...mizigo 60 had 70 kuni 1600 na kuendeleaMku Jimmy Mzigo wa Kuni tani kama mbili kwa Maeneo ya Mwenge utaniletea kwa bei gani
Kwani ukiacha kazi kurudi kwenye ajira ni lazima urudi pale pale?Mtu akiacha kazi serikalini ni vigumu kurudishwa, labda kama alikuwa anafanyia kwa wahindi!
Hivi siku hizi bado kuna likizo za bila malipo??hongereni,mie cha kuwashauri kabla hujaingia mazima kwenye kujiajiri,uwe kama mtoto anayeachishwa ziwa,unaintroduce vyakula vingine taratibu,fanya uchunguzi wa biashara unayotaka kufanya,ujue nini cha ku expect ,changamoto zake,nakushauri uchukue hata likizo isiyo na malipo,ambapo utaangalia unachojiajiri kiko na mashiko,sitaki muache kazi kabisa,afu ukute changamoto za kujiajiri huziwezi....utakua umepotea sana..
Kwenye biashara ndugu kushindwa ndo kuweza.. Mm niliye shindwa kutokana na huyo dogo nime jifunza kitu tuyari kwa nn huyo dogo alinifanyia hivyo katika biashara yangu so amenipa somo tayari.. Badala ya kunipa pole ulitakiwa unipe hongera kwa kujifunza kitu kipya.. Mm niliye anza na kushindwa n bora sana kuliko yule anaye ghairisha kufanya biashara kila siku Kiyosaki Robert ana kwambia ktk kitabu chake kuwa ushindwe kwanza.. Kuna mwingine jina lime nitoka kidogo yeye ana kwambia siku zote ukitaka kujifunza jambo jema kwenye biashara pendelea kusoma story za watu walio shindwa na sio walio fanikiwa.. Ukisoma za walio shindwa kuna masomo mengi utajifunza mazuri zaidi kwann wao wakishindwa na wewe ufanyeje ili ucwe kama waoAsante sana mkuu, nimeichukua hiyo, pole pia na wewe hakuna kukata tamaa