Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Kwa mtazamo wangu inawezekana kabisa kufanya biashara fulani hata ukiwa kazini wengi wetu tunajisahau tukipata kazi then siku ukija kitaa ndo tunajilaumu kwamba pengine ningekuwa bado kazini ningeweza kufanya jambo fulani,,,, tuchukue hatua leo.
Ushauri uko poa

Kumbuka kushika mambo mawili lazima moja Lita kupita kama sio kulikosa kabisa

Ukiwa kazini ni rahisi kuanzisha mradi ila ni ngumu kusimamia

Hapo unaweza kufungua mradi ukiwa kazini ili kupata uzoefu na kuboresha zaidi
 
Hello friends, today I am sharing top 60 mistakes that all young entrepreneurs make.

1. No clear goal/vision.
2. Lack of focus.
3. Unwilling to admit faults.
4. Not listening. They just keep talking, talking and talking.
5. Many young entrepreneurs are so greedy.
6. Talking talking and doing nothing.
7. Spending lots of time on developing & less time on selling.
8. Not having proper business plan.
9. Impatience.
10. No Enough Money.
11. Doing it alone. Not getting support from others.
12. Waiting too long to launch.
13. Staying in control every step of the way.
14. Raising too much money too early.
15. Keeping your idea a secret.
16. Forgetting to create a brand.
17. Being afraid that someone will steal your idea.
18. Thinking that you are your customer.
19. Trying to monetize ideas rather than monetize sales.
20. Counting your eggs before they hatch.
21. Trying to serve two kinds of customers.
22. Avoiding your customers and team.
23. Ignoring Marketing.
24. Comparing yourself to other Startups.
25. Ignoring history.
26. Avoiding thinking about revenue.
27. Using your lack of funding as an excuse.
28. Just following your passion.
29. Asking people to sign NDAs before discussing your startup.
30. Lying to yourself when things are not right.
31. Believing that hiring sales people will cure your revenue problems.
32. Postponing the calculation of your cost of user acquisition.
33. Separate business and personal finances.
34. Hope for the best result, but plan for the worst.
35. Trusting your gut, rather than getting validation for your Idea.
36. Not getting your business to market fast enough.
37. Not knowing when to pivot.
38. You take too much advice or none at all.
39. Not Marketing, No Problem.
40. Putting the customer last.
41. Making the wrong decision on fundraising.
42. Making networking low priority.
43. Hiring the wrong people.
44. Trying to serve everyone.
45. Building without customer validation.
46. Shouting from the Rooftop.
47. You gable with things you can't afford to lose.
48. Too little, too late.
49. Poor employee quality.
50. Location, Location, Bad location.
51. Choosing a bad name.
52. Not Doing Market Research.
53. Imitating Other Businesses.
54. Arrogance.
55. Overspending.
56. Quitting your job too early.
57. Expecting to be successful instantly.
58. Being driven by money alone.
59. Not adapting and Not Networking.
60. Making a Service for Everyone.
 
Kwani ukiacha kazi kurudi kwenye ajira ni lazima urudi pale pale?
Kanzidata(database) ya serikali ni moja hivyo ni vigumu. Taarifa zako watazipata kupitia vyeti vyako.
ukiamua kuacha kazi usiwe na mawazo ya kushindwa.
Wakopeshaji wengi hukj mitaani ambao hukopesha watumishi wameishia drs la saba. Iweje wewe msomi ushindwe!
 
Kanzidata(database) ya serikali ni moja hivyo ni vigumu. Taarifa zako watazipata kupitia vyeti vyako.
ukiamua kuacha kazi usiwe na mawazo ya kushindwa.
Wakopeshaji wengi hukj mitaani ambao hukopesha watumishi wameishia drs la saba. Iweje wewe msomi ushindwe!
Boss nimesisitiza ukiacha kazi haina maana ukirudi unarudi pale pale ulipotoka.
 
Ukifikiria sana waajiriwa wengi huwa tunahangaikia maisha tunasahau kuishi! Ukitaka upate na Muda wa kuishi inabidi ujiajiri
Sentensi yako nzito sana nimeisoma mara kadhaa ili kuielewa,niukweli unao uma kwa lugha rahis ni kwamba Waajiriwa wengi tuna-survive tu na sio kuishi!!. Kuna tofauti kubwa kati ya Surviving and Living!
 
Mm pia niko katika plan ya kuancha kazi nilikuwa bank kutokana na kifanyishwa kazi kama punda kila siku nikaacha sasa nikapata kwa government na sasa nimechoka napoke 400,000/= na point ukichanganya na posho 300,000/= jumla kama 700,000/= mkopo wanakata 200, 000/= take home 500,000/=
Nauli kwa siku 6000/*30 Msoc kwa siku ofcn 6000/ *30 matumizi mengine kama 3000 ukipiga kwa mwezi 450,000/ nabakiwa na 50,000
Watu tunafanya miujiza

CHALLENGE
NIna carwash ambayo kwa siku inaingiza 25000/ per day nilipo kuwa likizo nikaona inaingiza haidi 40 per day nakuwa naweza kusave nyingi tu nyingi kama 30000/ sasa naona kabisa nahitaji kuwa huru ili niweze kuweka pesa yakutosha na mambo yakenda
Waoo, ila kabla hujaacha kazi tengeneza vitega uchumi vingi vingi
 
Mkuu sijajiandaa kihivyo,

Nimekuwa mjasiliamali kwa muda sasa nikiwa kazini,

Nimekuwa nikijihusisha na kilimo cha matunda lakini napata hasara sana,

Lakini hiyo hasara haitokani na ubovu w bidhaa la hasha ni usimamizi mbovu

Watu wengi nnao waamin mpaka leo ndo wengi wao wananiliza,

Kimahesabu kwa nikifanya kilimo kwa mara moja naweza pata pesa ya mshahara wa mwaka mzima,

Kwanini niendelee kubaki kazini wakati naona kuna sehemu naweza kupata pesa ya kutosha nzuri tu,
Saaa hapo ndipo tunapokwama wengi! Usimamizi. Bora ujilipue tu ukasimamie kwa asilimia miamoja naamini utapata namna nyingine ya kupata fedha ya kujikimu hapa katikati kabla ya kupata mavuno yako yanayokuinua na kukupa kipato unachokipata kazini kwa mwaka mzima.
 
Mm pia niko katika plan ya kuancha kazi nilikuwa bank kutokana na kifanyishwa kazi kama punda kila siku nikaacha sasa nikapata kwa government na sasa nimechoka napoke 400,000/= na point ukichanganya na posho 300,000/= jumla kama 700,000/= mkopo wanakata 200, 000/= take home 500,000/=
Nauli kwa siku 6000/*30 Msoc kwa siku ofcn 6000/ *30 matumizi mengine kama 3000 ukipiga kwa mwezi 450,000/ nabakiwa na 50,000
Watu tunafanya miujiza

CHALLENGE
NIna carwash ambayo kwa siku inaingiza 25000/ per day nilipo kuwa likizo nikaona inaingiza haidi 40 per day nakuwa naweza kusave nyingi tu nyingi kama 30000/ sasa naona kabisa nahitaji kuwa huru ili niweze kuweka pesa yakutosha na mambo yakenda
Unaona sasa, kama ukisimamia mambo yanaenda ila umebanwa na kazi umewaachia viwavi jeshi wakatafuna tu nguvu zako! So sad[emoji17] , haya mambo ndiyo yamenikuta mimi mara 3, hivi nimeamua kuboresha kidogo nione matokeo nitakayo yapata. Mambo yakienda vizuri nitaboresha zaidi.
 
Tupo wengi mwenyewe plan yangu ilikuwa niache kazi baada ya kujenga nyumba ya fsmilia yangu. Nyumba tayari sasa najipanga nitaachaje kazi
 
Kujiajari ni kuzuri sana ila ukitaka kuingia huko inabidi ujizatiti hasa kwa challange utakazokumbana nazo.
 
Miezi miwili ijayo natarajia kuacha kazi.nahitaji kuwa free na kuwa karibu na watoto wangu na mume wangu.huku kuajiriwa naona kama utumwa tu.hakuna muda mzuri napata wa kukaa na familia yangu na kuwatake care kwa ukaribu zaidi kama mama na mke pia.sijali kwamba mambo ya huko kujiajiri yatafail au la nimeamua kutoka na mambo yatakuwa poa tu.naamini hivyo.
Tyari umeacha kazi mkuu? Mambo yapoje kitaani
 
Miezi miwili ijayo natarajia kuacha kazi.nahitaji kuwa free na kuwa karibu na watoto wangu na mume wangu.huku kuajiriwa naona kama utumwa tu.hakuna muda mzuri napata wa kukaa na familia yangu na kuwatake care kwa ukaribu zaidi kama mama na mke pia.sijali kwamba mambo ya huko kujiajiri yatafail au la nimeamua kutoka na mambo yatakuwa poa tu.naamini hivyo.
I wish npate mke na mama wa watoto wangu awe na msimamo huu
 
Back
Top Bottom