Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

mi ni mmoja kati ya watu wenye plan ya kujilipua....

nachukia saaana kumuachia MTU muda wangu mwingi ili atengeneze faida zake.


soon nitatumia muda wangu kwa faida yangu.....

but before ya yoote... hizi ndizo nguzo muhimu.

1. miliki Nyumba 4. mbili kati ya izo ziwe maeneo mazuri kibiashara.

2. miliki mashamba si chini ya heka 50. 20 kati ya izo.... ziwe na mazao endelevu. eg. korosho... minazi... miti.. kahawa n.k

3. kuwa na mifugo... kuku..ngombe... mbuzi...nguruwe...

4. tenga mtaji wa m20 tu.....
acha kazi



hauwez juta kamwe.
Jamaa una dharau sana,kwa TGS ipi upate hivi vitu.
mkuu upo sahihi lakini kazi zetu hizi hadi umiliki nyumba nne utakuwa umestafu na nyumba bado hazijakamilika.
wafanyakazi wengi wanajenga kwa mikopo mshaara ni ngumu sana kujenga

km ulifanya kazi kwa miaka 20 kwa mshahara wa laki 5 kwa mwez.... na ukashndwa kupata ivyo vitu had unastaafu....

ni uzembe pia.

Kwa mfanyakazi ategemeaye mshahara tu ni ndoto kufanikisha haya; Hususani wanaoishi mjini.

Ikiwa mtumishi ategemeaye mshahara ni changamoto kujenga nyumba moja tu, je ndio atakuwa na uwezo wakujenga nyumba 4 kupitia mshahara wa mwajiri wake??

Kimsingi kupata mafanikio nje ya ajira hakutegemei haya yote bali ni akiri yako tu na jinsi unavyojishughulisha.

Sababu MAISHA YAKO YANATOKANA NA UNAVYOWAZA NDANI YAKO
 
Inalipa ukiweza kujiajiri maana unaweza kuacha alafu ikawa balaa. Mimi by that time namalizia kozi ya clinical officer wakanibambikia kesi. Nikawa so stressed nikawa mlevi kupindukia. Nikachana academic transcript niliyopewa na mbele ya principal. Nikaingia DSM sijui pakufikia pakulala wala kula. Mara tena kuna manzi nae kanitosa. Nikaanza kuhustle mjini hapa. Mungu sio Magu leo kuna people kama sita wanakula kwa mgongo wangu.
 
Nipo Serikalina na nimelamba loan benk fulan hivi karibuni mishe zimekaa sawa kiasi nataka nawateme.
Kuna madhara yoyote kuacha huku una loan?
 
vp mkuu. umesha fikia maamuz? Share nasi
Ha ha ha mkuu kwema?

Issue iko hivi nilikuwa kwenye process za kuwasilisha barua ghafla nikapata taarifa fulani kwamba kuna mkopo wanataka kutoa so nika-mute na barua yangu ila soon ntakujulisha mzazi
 
Ha ha ha mkuu kwema?

Issue iko hivi nilikuwa kwenye process za kuwasilisha barua ghafla nikapata taarifa fulani kwamba kuna mkopo wanataka kutoa so nika-mute na barua yangu ila soon ntakujulisha mzazi
hahaa poa mkuu. Tunasubr huo mrejesho
 
Inalipa ukiweza kujiajiri maana unaweza kuacha alafu ikawa balaa. Mimi by that time namalizia kozi ya clinical officer wakanibambikia kesi. Nikawa so stressed nikawa mlevi kupindukia. Nikachana academic transcript niliyopewa na mbele ya principal. Nikaingia DSM sijui pakufikia pakulala wala kula. Mara tena kuna manzi nae kanitosa. Nikaanza kuhustle mjini hapa. Mungu sio Magu leo kuna people kama sita wanakula kwa mgongo wangu.
Tupe uzoefu mkuu. Njia ulizo pitia
 
Binafsi sijawahi kuajiliwa lakini nimeona ujasiliamali unalipa sana na mtu unajiingizia kipato kikubwa sana.
Maeneo niliyo pata kufanya na nina imani yanaingiza income kubwa ni
1-Ujasiliamali kwenye vyakula na vinywaji
2-Kilimo na ufugaji
3-usafirishaji (watu na mizigo)
4-Nyumba (kupangisha na gesti bubu)
5-Mtandao *
Ni biashara nzuri ila zina ups and downs nyingi..
Kuna kipindi mtu una earn mpaka 200k per days.
Na kipindi una earn hadi 300k per month.... Inakatisha tamaa kupitia vipindi vigumu ila ujasiliamali ni mzuri sana na unalipa.
 
Nipo Serikalina na nimelamba loan benk fulan hivi karibuni mishe zimekaa sawa kiasi nataka nawateme.
Kuna madhara yoyote kuacha huku una loan?
Hamna madhara yoyote mkuu. Nakumbuka kuna mwanangu alikuwa na mkopo nmb. Mwaka 2016 aliamua tu kutembea bila notification yoyote kwa muajiri (DED) akawa anapigiwa simu na uongozi hapokei... Mpka hiv Leo. Ila ashatusua saana. Na makato yake ya mkopo yalikuwa yamefanywa kwa mwaka mmoja tu.
 
Hamna madhara yoyote mkuu. Nakumbuka kuna mwanangu alikuwa na mkopo nmb. Mwaka 2016 aliamua tu kutembea bila notification yoyote kwa muajiri (DED) akawa anapigiwa simu na uongozi hapokei... Mpka hiv Leo. Ila ashatusua saana. Na makato yake ya mkopo yalikuwa yamefanywa kwa mwaka mmoja tu.
si kwa zama za jpm
 
Great, nilishaacha kazi ya Ualimu mara mbili, nikarudi kwa kazi nyingine ila pia roho yangu inaniambia kuwa ni Lazima niache kazi ili niwe na kitu ambacho ni lasting.... kazi zina muda, kazi za watu zinazeesha, zinaleta magonjwa ya stress na kukuminya sana kufikiria nje ya box. Nashukuru kwamba nakarinia kuvuka daraja hili, sitarudi nyuma this time MUNGU anisaidie. Kuna kitabu nakisoma kipo kwenye Playstore kinaitwa THINK AND GROW RICH aaaghhhh kinanitia nguvu sana, I encourage you guys mkisome pia.

Hivi vitabu vipo vingi na vya bure
Lazima tubadilike, lazima tubadilishe our Life style, inawezakana lakini ni lazima tujikane kwanza, lazima tujishushe, lazima tuwe commited.

Thank you

Kwa kweli kazi za watu zinazeesha na kukupa stress chungu zima.
 
Me mwajiriwa kwenye kampuni mmoja kubwa hapa mjini mshahara wangu ni milioni 4.2 nina miaka 15 mpaka sasa kazini ila sijajenga, wala sina kiwanja, nimepanga chumba cha 1 moja kwa mwezi hela pia benki nina laki 2 tu.... Mshahara nikipata namalizia kwa wanawake, kufanya starehe maeneo mbali mbali, kuvuta sigara na kunywa pombe za bei ghali, gari ninayo 2 ila mafuta yananifilisi...

Nishauri kwa sasa nina umri wa miaka 39. Naomba ushauri. [emoji16] [emoji51]
 
Back
Top Bottom