Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilichukua likizo yangu ya Mwezi nikiwa nimejiandaa kuanzisha biashara, na kweli nikafungua gori vizuri kabisa nilishiriki kwa asilimia 100 kuendesha biashara,kisha nikamuagiza kijana kutoka mkoani ili ajifunze kipindi nikiwepo na lengo langu ikisimama niache kazi.
Ilikaa poa mpaka raha kabisa, niliajiri kijana wa pili,wa kwanza nilimpangia chumba,nikamuwekea godoro analaa fresh na maisha yake yanaendelea vizuri
Aisee vijana wakaanza kushindwa kusimamia vizuri,wanafanya mambo yao, ghafla nilisikia kijana anasema anataka kwenda kijijini akawa mbogo nikampa nauri akaondoka na kwa kuwa tayari nilisharudi kazini nikaifunga biashara mtaji nikanunua kiwanja nikajenga kajumba, nikarudi utumwani.
Kwa changamoto nilizoziona sasa hivi narudi kwa gia kubwa zaidi .
Amakweli kufa kufaana....Binadamu tunatofautiana,watu wote hawawezi kuwa ma-risk takers,ndio maana kuna masikini na matajiri,watumwa na mabwanyenye.Kuajiriwa kuna mwisho,na mara nyingi mwisho wake huwa sio mzuri.Kuna biashara nyingi sana za kufanya zinazohitaji mitaji midogo mfano;tafuta wamama wajane kama watano hivi,wafungulie genge kila mmoja;na kwa kila mmoja wekeza laki 2.Baada ya hapo anza kukusanya mapato.
ndio hivyo mkuu,maisha ndio yako hivyo : ukiwa na kesi ni fursa kwa wakili,ukipata magonjwa ni fursa kwa daktari,gari ikipata ajali ni fursa kwa makenika,ukifariki ni fursa kwa warithi na mchonga majeneza,n.kAmakweli kufa kufaana....
Sikujua kuwa wajane ni fursa..
Anyway tatizo lolote linalomsibu mwanadamu huwa ni fursa kwa mtu mwingine mwenye upeo wa mbali.
Naunga mkono hoja kuajiriwa ni utumwa hapa nilipo nakamilisha mabo flani niachane na ajira za zama hizi.
mm nilidhan BILGERT umejiajiri kumbe bado unamtumikia bwanyenyeHongera mzee baba, wengine tuko mbioni ku quit pia
Hahaa, soon mkuu. Kabla ya 2020mm nilidhan BILGERT umejiajiri kumbe bado unamtumikia bwanyenye
Wewe tayari umeacha mkuu?Tupeane updates wakuu, ambao tayar tumeacha kazi
Before 2020 ntakuwa nmetoka utumwani.Wewe tayari umeacha mkuu?
Wewe lini mkuuWewe tayari umeacha mkuu?
Nakupa pongezi sana hatua uliyofikia uendelee hivyo hivyo na matumaini baada ya miaka kadhaa utakuwa CEO katika kampuni yako.
Before 2020 ntakuwa nmetoka utumwani.
Kama utakuwa hujavipata, Nikumbushe weekend nikutumieE-myth na the millionaire next door unasoft copy