Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Freelancing kuna ushindani mkubwa ila ukifanikiwa kupata kazi ya kwanza tu, then kila kitu kita flow...

Nnashangaa sana watu wa IT wanazunguka na bahasha wakati huko nje kuna mapesa mengi tu ya programming, graphics nk...

Kuwa freelencer sio lazima iwe na degree au masters maana kuna watu fiverr wanapiga ela kwa kutafsiri english to swahili... Kitu ambacho hata mtu wa la saba anafanya!!
Hii naitaka, itanifaa
 
Mkuu Just tengeneza uoneshe ujuzi wako, na elimu yako, sample ya kazi zako ulizowai kufanya, videos, reports etc, zaidi check PM yako nimekutumia sample
sample ya kazi zipi boss kwa mfano mie ambaye sijawahi fanya kazi yoyote itakuwaje sasa?
 
Mkuu Just tengeneza uoneshe ujuzi wako, na elimu yako, sample ya kazi zako ulizowai kufanya, videos, reports etc, zaidi check PM yako nimekutumia sample
mkuu naomba ntumie sampuli zako
 
sample ya kazi zipi boss kwa mfano mie ambaye sijawahi fanya kazi yoyote itakuwaje sasa?
Unaweza ukawa katika pitapita zako umewai kufanya sio lazima iwe umefanyia kule, kwa mfano unaweza ukawa uliwai kufanya editing ya picha, au uliwai andika article fulani, ay umewai kumanage blog etc
 
Habari za mdau huu

Kwa wale ambao waliwahi kuacha kazi serikalini au taasisi na kuamua kujiajiri tupeni mbinu, mliwezaje, mlikuwa na mtaji kabla ya maamuzi??
Je kuna hasara gani za kuacha kazi serikalini na kuamua kujiajiri?

Tupeni exiperience ya mafanikio nje ya ajira
Kujiajiri ni lazima uwe na mtaji na istoshe kabla hujaacha kaz mbinu niliyotumia nilianza biashara kabla ya kuacha kaz baada ya kuona biashara inanilipa kuliko ajira ndiyo nikaamua kuacha kaz
 
Kama kuna mtu mwenye softcopy ya 101 ways to make money in africa aitume hapa jaman na kama kunauwezekano kukitafuta kwa wale wenye uwezo wafanyehivyo
 
Vitabu vingine vizuri ni E-Myth kinaongelea kuhusu kuanzisha MFUMO WA BIASHARA ambao ndio kiini cha mafanikio kwenye biashara. Kingine ni 21 Secrets of Self Made Millionaires, kuna Richest Man in Babylon, pia kipo The millionaire Next Door, Get Rich Your Own Way n.k

Ukivisoma hivyo huwezi kubaki kama ulivyokuwa mwanzo
E-myth na the millionaire next door unasoft copy
 
Binadamu tunatofautiana,watu wote hawawezi kuwa ma-risk takers,ndio maana kuna masikini na matajiri,watumwa na mabwanyenye.Kuajiriwa kuna mwisho,na mara nyingi mwisho wake huwa sio mzuri.Kuna biashara nyingi sana za kufanya zinazohitaji mitaji midogo mfano;tafuta wamama wajane kama watano hivi,wafungulie genge kila mmoja;na kwa kila mmoja wekeza laki 2.Baada ya hapo anza kukusanya mapato.

Biashara haijawahi kua rahisi kiasi hicho aisee.
 
Tunaomba mnaoacha kazi mtuambie kabisa sehemu mliyokuwa mnafanyie na position mliyotoka na ili kutusaidia kabisa na barua ya kuacha kazi kwa hiari ili tukiomba hiyo nafasi tuambatanishe na barua yako ya kuacha kazi, maana tumechoka mambo ya kutangazwa kazi nafasi 3 watu wanaomba elfu moja. Huu utakuwa mchezo wa kimya kimya
 
Habari za mdau huu

Kwa wale ambao waliwahi kuacha kazi serikalini au taasisi na kuamua kujiajiri tupeni mbinu, mliwezaje, mlikuwa na mtaji kabla ya maamuzi??
Je kuna hasara gani za kuacha kazi serikalini na kuamua kujiajiri?

Tupeni exiperience ya mafanikio nje ya ajira
nlikua namuibia muda mwajiri kwenye kilimo kiliponipa hela nkajenga kiliponipa hela tena nkaaaza kufanya biashara zilipobambq nkaacha usiache kama huna plan B
 
We umeshawah kudraw izo hela toka umejiunga... mana amna hela inaweza kupatkana kirahisi ivo maisha
Nisha draw ela mara nyingi sana na ijumaa iliyopita nimedraw tena ela nyingine na mwisho wa week nita draw tena na mpaka nimeandika hapa nimeanza fanya hii kazi toka mwaka 2013 mpaka leo ninaendelea. Ningekuwa na lengo la kutaka kupata chrap money ningeweka link ya watu kujiunga via referal link kule ili kila atakayejiunga akafanya kazi nipewe percent atakapolipwa lakini sijafanya hivyo maana siko hapa kupata ela via referal links.
 
mkuu..nimeipenda hii lakini nahisi ni kwa watu wenye elimu kubwa...sasa wale wengine....
Huhitaji kuwa na elimu kubwa mambo mengi ninayofanya huko siyo niliyosoma mkuu. nafanya article rewriting,na pia nafanya graphic designing wakati mimi nimesoma economics mambo mengine unayaelewa ukiwa katika kazi mfano mimi masuala ya article nimeyajua nikiwa kazini tayari hapo uwa nina employ platform za kuchek grammar na panctuation na pia plagiarism maana lazima unayemwandikia article ataipitisha copyscape premium kuangalia kama umeiba sehemu
 
Back
Top Bottom