Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,599
Nimekuelewa Sky,Kuoa ni muhimu mkielewama na mke wako mmoja anapiga mzigo mwinge anafanya biashara. Biashara ikiyumba kazi inakuwa dhamana ya kupata mkopo wa ku boost biashara.
Daah kupiga hesabu rahisi sana
Mnaoa elimu, oa unaweza elewana nae lakini asiwe chini sana. Matatizo akifika form six na yeye atataka aende chuo hata baada ya kuzaa watoto wawili.Nimekuelewa Sky,
Nafikiria hivyoo!!
Ila sasa, kupata mwenye spirit hiyo,
Ukiona msomi nae anataka kutafuta kazi,
Sio kila ofisi ina utaratibu huu, ofisi nyingi za private hakunaga kitu kama hichi, pia sharti namba moja la kuacha kazi ni pale kipato cha biashara kinapozidi kipato chako cha unachokipata toka kwenye ajira rasmi hapo unaweza kuacha kazi ila tofauti na hapo inabidi labda ufukuzwe kazi...Ungechukua likizo ya miezi mitatu bila malipo na mwezi mmoja wa likizo yako ya mwaka. Miezi minne ingesaidia kuona muelekeo wa biashara.
Ngoja nitafute Manka huko Uchagani,Mnaoa elimu, oa unaweza elewana nae lakini asiwe chini sana. Matatizo akifika form six na yeye atataka aende chuo hata baada ya kuzaa watoto wawili.
Haha na asiwe mbinafsi maana mwingine (kama mimi) umwambie kopea mshahara wako tubust biashara sidhani kama mtaelewanaNimekuelewa Sky,
Nafikiria hivyoo!!
Ila sasa, kupata mwenye spirit hiyo,
Ukioa msomi nae anataka kutafuta kazi,
Usiwe mbinafsi khantweHaha na asiwe mbinafsi maana mwingine (kama mimi) umwambie kopea mshahara wako tubust biashara sidhani kama mtaelewana
Tena Manka ni wavumilivu sana. Ukimuelewesha anaelewa.Ngoja nitafute Manka huko Uchagani,
Najua katoto ka Form 4 au 6 failure ni zaidi ya degree au nichukue kaliko ishia diploma niweke ndani
Ndio nimezaliwa hivyo siwezi kubadilika labda nizaliwe upyaUsiwe mbinafsi khantwe
mkuu hujakutana na kazi zenye maboss wa hovyo...Kwanini uache kazi?
hela ya kuchukua tu mwisho wa mwezi ni tamu.tafuta watu makini waendeshe miradi yako.
Ungechukua likizo ya miezi mitatu bila malipo na mwezi mmoja wa likizo yako ya mwaka. Miezi minne ingesaidia kuona muelekeo wa biashara.
Sio kila ofisi ina utaratibu huu, ofisi nyingi za private hakunaga kitu kama hichi, pia sharti namba moja la kuacha kazi ni pale kipato cha biashara kinapozidi kipato chako cha unachokipata toka kwenye ajira rasmi hapo unaweza kuacha kazi ila tofauti na hapo inabidi labda ufukuzwe kazi...
Shukran kwa ushauriAisee,
Mimi ni moja ya watu niliyefanya maamuzi magumu ya kuacha kazi nzuri na kwenda kujiajiri...
Ofcoz nakiri kwamba, Utoto na uharaka wa kupata mafanikio kwa mura mfupi ulichangia.
Niliajiriwa soon after school, nikafanya kazi kama mwaka na nusu kwenye makampuni mawili, moja ni kampuni kubwa tu hapa nchini.
Nilisave ela nyingi na nyingine nikaongezewa, then nikapiga kazi chini.
Kuna kabiashara nilikuwa nakiendesha nikiwa kazini, baada ya kuona inalipa kwa kiasi fulani bila ya kuwa commitment sana nikapiga kazi chini niwekeze nguvu huko.
Aisee,
Niligundua makosa niliofanya,
1. Fedha niliyowekeza ndio nilitegemea inipe mahitaji yote yangu.
2. Sikuweka akiba, na sikuwa na source nyingine ya kipato
3. Matumizi ya hela yalikuwa rafu sanaa, yani viwanja, totoz, pambaz ilikuwa sanaa tu.
Pamoja na makosa hayo, Mziki ukaja wa TRA,
Nilikula fine za maana na ndo ukawa mwisho wangu.
Japo biashara ile ilikuwa inalipa, ila vikwazo vikawa mipakani, yani mwaka mpya wa kodi ukaja na kodi zake kwa hizo bidhaa.
Ushauri.
1. Usiache kazi kabla ujajidhihirisha biashara unayofanya inakulikulipa kuliko mshahara
2. Kabla ya kuacha kazi hakikisha unatenga fedha ya matumizi yako ya kila siku kwa mwaka mzima, kuanzia malazi, makazi na chakula na mengineyo.
3. Hakikisha trend ya biashara ni nzuri na unaona future yake,
4. Acha kazi kwa amani na mahusiano mazuri, siku mambo yakiharibika bado unanafasi ya kurudi.
Kwasasa nimerudi mzigoni na kwakua bado sijachoka kutake risk, bado naweka pesa kwenye ishu moja. Nimehamia kwenye Tech investment, naamini kwa mbeleni italipa.
Ila mawazo ya kuacha kazi yapo pale palee.
Alamsiki!!
Hongera sanaMimi nimeacha kazi tena inayolipa sana kikubwa kilichosababisha ni uhuru wa maisha yangu
Tena Manka ni wavumilivu sana. Ukimuelewesha anaelewa.
Hapo ndio draft linapoanzia sasa. Kipato cha kila mwezi, kijumuishe mambo ya bima za afya pia.
Kwa mtu uliyezoea kuajiriwa maisha yako yote leo hii unaambiwa tengeneza faida ya 8M kwa mwezi si unaweza kuokota makopo?
mkuu hujakutana na kazi zenye maboss wa hovyo...
Jinsi tu wanavyokutreat hutatamani kuendelea na hiyo kazi!!!