Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Ulikosa frugality na matumizi mazuri ya pesa.

Wenye hizo sifa na ngozi ngumu bado wanasonga mdogomdogo ila kwa uhakika.
 
Kuoa ni muhimu mkielewama na mke wako mmoja anapiga mzigo mwinge anafanya biashara. Biashara ikiyumba kazi inakuwa dhamana ya kupata mkopo wa ku boost biashara.
Nimekuelewa Sky,
Nafikiria hivyoo!!

Ila sasa, kupata mwenye spirit hiyo,
Ukioa msomi nae anataka kutafuta kazi,
 
Ungechukua likizo ya miezi mitatu bila malipo na mwezi mmoja wa likizo yako ya mwaka. Miezi minne ingesaidia kuona muelekeo wa biashara.
Sio kila ofisi ina utaratibu huu, ofisi nyingi za private hakunaga kitu kama hichi, pia sharti namba moja la kuacha kazi ni pale kipato cha biashara kinapozidi kipato chako cha unachokipata toka kwenye ajira rasmi hapo unaweza kuacha kazi ila tofauti na hapo inabidi labda ufukuzwe kazi...
 
Mnaoa elimu, oa unaweza elewana nae lakini asiwe chini sana. Matatizo akifika form six na yeye atataka aende chuo hata baada ya kuzaa watoto wawili.
Ngoja nitafute Manka huko Uchagani,
Najua katoto ka Form 4 au 6 failure ni zaidi ya degree au nichukue kaliko ishia diploma niweke ndani
 
Kwanini uache kazi?
hela ya kuchukua tu mwisho wa mwezi ni tamu.tafuta watu makini waendeshe miradi yako.
mkuu hujakutana na kazi zenye maboss wa hovyo...
Jinsi tu wanavyokutreat hutatamani kuendelea na hiyo kazi!!!
 
Sasa mkuu umepigwa majanga kidogo tu umekimbia...
Hata ukirudi utakimbia tena...

Changamoto haziishi, mi mwenyewe nimeacha kazi toka 2013 Julai... mpaka leo nakomaa, kuna wakati mambo yanayumba na kuna muda napiga mamilioni... ko ni kawaida!!
 
Ungechukua likizo ya miezi mitatu bila malipo na mwezi mmoja wa likizo yako ya mwaka. Miezi minne ingesaidia kuona muelekeo wa biashara.

Sio kila mwajiri anatoa hiyo fursa ya kuchukua likizo bila malipo, hasa kwa sekta binafsi.
 


Hapo ndio draft linapoanzia sasa. Kipato cha kila mwezi, kijumuishe mambo ya bima za afya pia.

Kwa mtu uliyezoea kuajiriwa maisha yako yote leo hii unaambiwa tengeneza faida ya 8M kwa mwezi si unaweza kuokota makopo?
 
Shukran kwa ushauri
Ila bado nina wazo la kuacha kazi na kujiajiri,
 
Mnavobebelea kuajiriwa mnadhan cc ambao hatujaariwa hatuendeshi familia zetu, ajira ni kama kua na mzazi akishadead unapambana kwa kila hali na hakuna lisilowezekana
 
Hhahahah
Hapo ndio draft linapoanzia sasa. Kipato cha kila mwezi, kijumuishe mambo ya bima za afya pia.

Kwa mtu uliyezoea kuajiriwa maisha yako yote leo hii unaambiwa tengeneza faida ya 8M kwa mwezi si unaweza kuokota makopo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…