Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Good idea, weka jitihada ktk kujitangaza na fanya kwa uaminifu itakubeba pia andaa mtaji maana ni vigumu mtu kukutumia hela hlf hajui ukisepa atakupatia wapi ukizingatia hujasajiliwa, ktk chochote changamoto zipo kikubwa ni kuwa imara kukabiliana nazo
 
Wazo zuri sana
Uaminifu mkuu
Ukweli kwa mteja
Kuwa muwazi kama bidhaa hamna sema hamna,imeisha sema imeisha yani nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi.
Toa majibu ambayo una uhakika nayo hasa kwenye bei ya manunuzi na usafirishaji
 
Asante Sana ndugu umenipa nguvu Sana
 
Wazo zuri sana
Uaminifu mkuu
Ukweli kwa mteja
Kuwa muwazi kama bidhaa hamna sema hamna,imeisha sema imeisha yani nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi.
Toa majibu ambayo una uhakika nayo hasa kwenye bei ya manunuzi na usafirishaji
Kumbe nimewaza vizuri ndugu
Asante Sana kwa kunipa go ahead
 
Dah bonge la wazo, itabidi na mimi nifanye hii kazi samahani kwa kukuibia idea yako
 
Unawatafutia vipi? Make kwa sasa kuna Online store kibao watu wananunua Online na wanatumiwa Percel zao.

Je wewe unaweza vipi wa By pass Online stores?

pia kuna Makampuni ya kutuma percel mengi sana je wewe una utofauti gani na wao?


Idea inaweza kuwa nzuri sana ila Kwenye Implementation ikawa changamoto kubwa sana
 
Kuna wengine hawajui izo online marketing then wale wa online marketing wengi ni wazinguaji mkuu nitajitaidi kwa namna yangu pia napanga tuwe vijana ata wanne ,nawaza mbali Sana Kaka kufika ata nje ya Tanzania Mungu anisaidie tu
 
Kuna wengine hawajui izo online marketing then wale wa online marketing wengi ni wazinguaji mkuu nitajitaidi kwa namna yangu pia napanga tuwe vijana ata wanne ,nawaza mbali Sana Kaka kufika ata nje ya Tanzania Mungu anisaidie tu
Assumption ya kuwa watu hawazijui online stores naona km uiondoe ila utafute idea ambayo itakua inautofauti na hzo online store zilizopo kias kwamba hata wanaozijua waone unafuu wa kukutumia ww
 
wazo zuri
 
Assumption ya kuwa watu hawazijui online stores naona km uiondoe ila utafute idea ambayo itakua inautofauti na hzo online store zilizopo kias kwamba hata wanaozijua waone unafuu wa kukutumia ww
Asante Mkuu kwa kunisahihisha mawazo yako muhimu sana
 
Its a great idea. Cha msingi ni uaminifu , pia hakikisha una ofice ambayo ipo na fixed adresd ili kusaidia kuongeza uaminifu

Mfano hao wengi unaona wanatangaza nguo, viatu etc. huko instagram , fb n.k sio vyao wanakua wanaingia ubia na maduka kazi yake yeye ni kutangaza na kupata wateja na kula kamisheni yake.

So far ni wazo jema. Ila pia kama upo Dar kuna hili moja la kuamka alfajiri (yan hakikisha alfajiri ya saa 11 uwepo tayari ilala/karume hapo unachagua nguo kali za kupoint , viatu nk (especialy vya kike na watoto) andaa kama 70k. Ukimaliza ww kazi yako ni bando na mtandao tu.

Nguo unayonunua ilala 3000/= wewe ukiuza bei ya kawaida ni kama 7000-1000/= inategemea na kitu yenyewe.

Kiujumla una wazo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…