Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Wazee kwema ! Haya sasa wale tuliomaliza vyuo vikuu mwaka wowote ule na kuamua kujiajiri wenyewe tuje hapa tupeane taarifa nini kinaendelea kwenye biashara zetu, mmefikia wapi , share challenges unazoface tusaidiane wote kuzitatua na hatimaye tupate kufanikiwa wote kwa pamoja .... Nawasilisha..
 
Wazee kwema ! Haya sasa wale tuliomaliza vyuo vikuu na kuamua kujiajiri wenyewe na sio kusubiri kuitwa kwenye interview tuje hapa tupeane taarifa nini kinaendelea kwenye biashara zenu, mmefikia wapi , share challenges unazoface tusaidiane wote kuzitatua na hatimaye tupate kufanikiwa wote kwa pamoja .... Nawasilisha..
Kujiajiri ni kuzuri unapanga mambo yako kwa ufasaha
Changamoto kwenye biashara ni utitili wa kodi
Kama unafanya miradi ya serikali ucheleweshaji wa malipo

Lakini ukijiajiri ni vizuri unapunguza stress na uoga wa kuachishwa kazi unajitengenezea mlolongo mzuri wa kufanya mambo yako bila kumtegemea mtu

Kiufupi ukijiajiri hauna hofu kwa maana imezoea maisha ya mtaani unaweza kujitafutia
 
kweli nimekuelewa , nitaedit thread nitaweka wazi
Ni idea mzuri ila ulitakiwa kueleza ulianzaje na kwanini ulifikiria kujiajiri. Unafnya nini na unapitia changmoto zipi ili na wenzio waweze kuelezea.
 
samahani kama umekwazwa but nalenga mostly tusiokuwa na lengo la kuajiriwa at all sijui ka umenisoma boss
"Na sio kusubiri kuitwa kwenye interview" says it all

Sisi tuliosubiri interview tukaajiriwa na bado tumejiajiri kitaa tunacomment hapa hapa au bado una inferiority complex?
 
Ni balaa sana Kukosa ajira alafu Hukujiandaa kuface hiyo hali isikie tu kwa jirani..!! Biashara zote unaona sio Hadhi yako maana mtaji wa maana huna...Kuanza from zero sio kitu rahisi hasa kama ulishaweka mind ya kuajiriwa mjini hapa
 
usiende na notion kwamba biashara flani si hadhi yako , we pambana tu mkuu ukiwa na determination utatoboa tu
Ni balaa sana Kukosa ajira alafu Hukujiandaa kuface hiyo hali isikie tu kwa jirani..!! Biashara zote unaona sio Hadhi yako maana mtaji wa maana huna...Kuanza from zero sio kitu rahisi hasa kama ulishaweka mind ya kuajiriwa mjini hapa
 
yah kweli mkuu kuajiriwa ni kutumikia mtu unawaza ukitumbuliwa ni waoi utaenda incase hauna plan b , plus kuna frictional unemployment utapitia hadi utapopata kazi , ni heri kujiongeza mapema tu mkuu nakuunga mkono
Kujiajiri ni kuzuri unapanga mambo yako kwa ufasaha
Changamoto kwenye biashara ni utitili wa kodi
Kama unafanya miradi ya serikali ucheleweshaji wa malipo

Lakini ukijiajiri ni vizuri unapunguza stress na uoga wa kuachishwa kazi unajitengenezea mlolongo mzuri wa kufanya mambo yako bila kumtegemea mtu

Kiufupi ukijiajiri hauna hofu kwa maana imezoea maisha ya mtaani unaweza kujitafutia
 
ninaimport electronic devices from Asia and nauza huku , changamoto ni kama kodi , gharama ya usafirishaji ni kubwa , uaminifu kwa wateja sometimes unasumbua cause watu sio waaminifu , kuna mtu mmoja yeye huuza simu from china , yupo mobile yaani hana duka but ukihitaji bidhaa analeta ulipo ,so alipata mteja then avompelekea simu aikague and wafanye biasharaa jamaa akaanza kusema simu ni ya uwizi ni simu yake na vitu ka ivyo while simu ni mpya kabisa na akapelekwa polisi na simu ikachukuliwa na huyo mteja asiye mwaminifu .. so yeah hiyo ni mojawapo ya obstacle..
anza wewe mkuu, tupe ajira uliyojiajiri na changamoto pia fursa zake halafu nasi tutashea zetu
 
Kwanza kujiajiri ni process, sio tu kijana aseme sawa nataka kujiajiri kuna mambo ya kuzingatia. Unataka kujiajiri katika nn je hicho kitu umekifanyia research vya kutosha? Ila yote kwa yote Nashukuru Mungu nimeyashinda yote na bado napambana, nimejiajiri katika lishe nauza vijazi lishe kwa watu wowote wenye magonjwa mbali mbali hata kwa mtu wa kawaida tu kupata kinga mwilini. Vijazi lishe vilivyotengenezewa maalum na vyakula ambavyo hatuvili katika lishe yetu na hata kama tunakula tunakula kwa asilimia ndogo sana mfano tre en en mchanganyiko wa kiini cha nafaka kamili, hii husaidia kufungua chembe hai, yani ukinywa tre en en kila siku ni una gurantee ya kutotumia painkillers zozote na afya yako itakuwa zuri sana

Changamoto kubwa kwangu bado nina safari kubwa ya kuelimisha watu umuhimu wa vijazi lishe maana hizi mambo ni utaratibu wa watu wa nje huko, hapa africa hasa tanzania ni kumekuja hivi karibuni tu. Ila kiukweli unywaji wa dawa sio rafiki sana maana dawa ni sumu. Huwezi kunywa dawa wakati hujarekebisha chembe hai yako so its a little bit challenging but nafurahi watanzania tunaelimika kila siku na vinawasaidia watu wengi sana

Rai yangu, kujiajiri ni kuzuri sana na vijana tujaribu kutumia platform kama hizi jamii forum facebook instagram na zingine yani kiujumla mass medias kwa manufaa zaidi. Hakikisha ile vocha uliyotumia imekulipaje katika ujasiriamali wako. Na nahisi tunahitaji group la whatsapp la vijana tuelimishane zaidi na kushirikishana katika fursa mbali mbali
 
Back
Top Bottom