Car and Spear dealer
Member
- Nov 21, 2019
- 83
- 44
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
congrats I can see some sense of wise in your touches , may god bless independent wise minded people like youKILICHOTOKEA MPAKA KUFIKIA HAPO
1. Hoja ya kwanza "Sina mtaji"
Hoja hii imetokana na mambo yafuatayo;
a. Elimu aliyofundishwa huyo mtu tangu mdogo, aliyoyaona wazazi wake wanafanya, walimu waliomfundisha kwa zaidi ya miongo kadhaa ni kuwa "tegemezi". Kajifunza kuwa yeye hawezi kuwa na wazo na akalisimamia mwenyewe mpaka awepo mtu wa kumsukuma 'Mwajiri'.
b. Ana amini kuwa uwezo wa nje 'pesa' ndo una tafsiri utu wa mtu. Si kweli; ukitaka kuamini, mfilisi Mo*** au yule mwenzake Bakh*** waanze kwenye zero kabisaa kama wewe unayesema huna kitu; tuje tuwapime baada ya miaka 10, je, mtakuwa sawa? Kama una uhakika kuwa mtakuwa sawa basi kweli tatizo ni pesa, lakini uki-reason kuwa hamtaweza kuwa sawa basi ujue sababu ya hivyo ulivyo siyo pesa but something else!
Angalizo kwa wazazi; " Acheni kutufanya wanenu Human things, Tunaomba mtulee kama Mungu alivyotuumba Human beings"
-Mtoto atakuwa na degree au P.h.d lakini ataona hawezi kufanya chochote kwa sababu hana (Things: pesa, gari, somebody n.k)
-Mnafikiri wimbi la wapiga mizinga under 25 linalozungumzwa na kulalamikiwa huko mtaani limetokea wapi kama siyo hao tuliowalea kama Human things? Yeah they have education, and a lot of energy, but They need things!
2. Hoja ya pili; "Kuanza chini, mmmmh! Maana ya kukaaa darasani ilikuwa nini?"
Hoja hii inatokana na yafuatayo;
a. Uoga wa "nitaonekanaje kwa jamii inayonizunguka?" Ndg waalimu huko mashuleni, mtoto alikuwa akifeli, mnamfanya afeel au aone kuwa kufeli ni kitu kibaya sana.
Si kweli kuwa kufeli ni jambo baya, bali ni sehemu ya kujifunza, utajifunzaje kama hakuna makosa? Na shuleni nimekuja kufanya nini mpaka mnanifanya nione kuwa "perfect" ndo kujifunza khaaaa! Kama niko perfect nisingekuja kupanguswa kamasi class kwako. Mtoto wa mwenzio akikosa swali, acha kumkashifu, kumzomea na kumtenga hadi stream! Jamani!
Hiyo mentality ya (nitonekanaje) imetokea hapo, mtu wa hovyo ni yule aliyefeli, au mtu wa chini ni yule ambaye hakwenda shule. Mmewadanganya watoto wa watu na vi- stream vyenu weee, na vimaksi na viripoti vya nani kawa wa kwanza na ni nani kawa wa mwisho, matokeo yake ndo hayoooo! Wanaamini kuwa aliyefaulu ataenda mbele na kupata ajira mapemaaa! Haya sasa yuko mtaani.
NDUGU MHITIMU ZINGATIA HILI LITAKUSAIDIA; ukweli ni kwamba "Huko shuleni wenzako tulikuwa tunanoa shoka vizuri, ili ukifika muda wa kukata miti (mti wa umaskini, mti wa ujinga na mingineyo) shoka lisitusumbue kwa sababu ni butu.
Hayo mashoka unayoyaona mtaani na unahisi " they don't make any progress, look at them, i went to school and now I'm back, what have they done?"
Ni kwa sababu hayako sharp, au pengine hayafahamu wajibu wao. Lakini wewe mwenzetu tayari umenolewa hebu anza kuonesha ufanisi wako, ili na wale wenzako ambao hawakujaaliwa kupata kauwezo kama kako, waone kwa vitendo. "The way you take thing's from zero to hero"
Jamaani! Umefika uwanja wa kazi unauliza 'miti ilokatwa iko wapi?' Wakati sisi tunakusubiri wewe ndo utoneshe wenzio jinsi ya kuiangusha hiyo mipingo?
b. Watoto wengi wanasomea vitu wasivyovipenda, kamwona mjomba mwalimu anafundisha baasi naye anataka kuwa mwalimu, kasikia shangazi kawa engineer basi naye anataka.
Siyo hivyo tu; ndugu, Jamaa, wazazi na marafiki walipiga debe kweli kweli; "Acha ujinga wewe, somea kitu fulani kwani humuoni fulani?"
A problem!
Huwezi kumlazimisha mtu kama huyo a "start small". Hana passion, hana purpose hana dream na hicho alichosomea, anachotaka pesa tu. Unaona madhara ya kulea "HUMAN THINGS?"
Umemaliza mkuu, hongera sana kwa hii analysis.KILICHOTOKEA MPAKA KUFIKIA HAPO
1. Hoja ya kwanza "Sina mtaji"
Hoja hii imetokana na mambo yafuatayo;
a. Elimu aliyofundishwa huyo mtu tangu mdogo, aliyoyaona wazazi wake wanafanya, walimu waliomfundisha kwa zaidi ya miongo kadhaa ni kuwa "tegemezi". Kajifunza kuwa yeye hawezi kuwa na wazo na akalisimamia mwenyewe mpaka awepo mtu wa kumsukuma 'Mwajiri'.
b. Ana amini kuwa uwezo wa nje 'pesa' ndo una tafsiri utu wa mtu. Si kweli; ukitaka kuamini, mfilisi Mo*** au yule mwenzake Bakh*** waanze kwenye zero kabisaa kama wewe unayesema huna kitu; tuje tuwapime baada ya miaka 10, je, mtakuwa sawa? Kama una uhakika kuwa mtakuwa sawa basi kweli tatizo ni pesa, lakini uki-reason kuwa hamtaweza kuwa sawa basi ujue sababu ya hivyo ulivyo siyo pesa but something else!
Angalizo kwa wazazi; " Acheni kutufanya wanenu Human things, Tunaomba mtulee kama Mungu alivyotuumba Human beings"
-Mtoto atakuwa na degree au P.h.d lakini ataona hawezi kufanya chochote kwa sababu hana (Things: pesa, gari, somebody n.k)
-Mnafikiri wimbi la wapiga mizinga under 25 linalozungumzwa na kulalamikiwa huko mtaani limetokea wapi kama siyo hao tuliowalea kama Human things? Yeah they have education, and a lot of energy, but They need things!
2. Hoja ya pili; "Kuanza chini, mmmmh! Maana ya kukaaa darasani ilikuwa nini?"
Hoja hii inatokana na yafuatayo;
a. Uoga wa "nitaonekanaje kwa jamii inayonizunguka?" Ndg waalimu huko mashuleni, mtoto alikuwa akifeli, mnamfanya afeel au aone kuwa kufeli ni kitu kibaya sana.
Si kweli kuwa kufeli ni jambo baya, bali ni sehemu ya kujifunza, utajifunzaje kama hakuna makosa? Na shuleni nimekuja kufanya nini mpaka mnanifanya nione kuwa "perfect" ndo kujifunza khaaaa! Kama niko perfect nisingekuja kupanguswa kamasi class kwako. Mtoto wa mwenzio akikosa swali, acha kumkashifu, kumzomea na kumtenga hadi stream! Jamani!
Hiyo mentality ya (nitonekanaje) imetokea hapo, mtu wa hovyo ni yule aliyefeli, au mtu wa chini ni yule ambaye hakwenda shule. Mmewadanganya watoto wa watu na vi- stream vyenu weee, na vimaksi na viripoti vya nani kawa wa kwanza na ni nani kawa wa mwisho, matokeo yake ndo hayoooo! Wanaamini kuwa aliyefaulu ataenda mbele na kupata ajira mapemaaa! Haya sasa yuko mtaani.
NDUGU MHITIMU ZINGATIA HILI LITAKUSAIDIA; ukweli ni kwamba "Huko shuleni wenzako tulikuwa tunanoa shoka vizuri, ili ukifika muda wa kukata miti (mti wa umaskini, mti wa ujinga na mingineyo) shoka lisitusumbue kwa sababu ni butu.
Hayo mashoka unayoyaona mtaani na unahisi " they don't make any progress, look at them, i went to school and now I'm back, what have they done?"
Ni kwa sababu hayako sharp, au pengine hayafahamu wajibu wao. Lakini wewe mwenzetu tayari umenolewa hebu anza kuonesha ufanisi wako, ili na wale wenzako ambao hawakujaaliwa kupata kauwezo kama kako, waone kwa vitendo. "The way you take thing's from zero to hero"
Jamaani! Umefika uwanja wa kazi unauliza 'miti ilokatwa iko wapi?' Wakati sisi tunakusubiri wewe ndo utoneshe wenzio jinsi ya kuiangusha hiyo mipingo?
b. Watoto wengi wanasomea vitu wasivyovipenda, kamwona mjomba mwalimu anafundisha baasi naye anataka kuwa mwalimu, kasikia shangazi kawa engineer basi naye anataka.
Siyo hivyo tu; ndugu, Jamaa, wazazi na marafiki walipiga debe kweli kweli; "Acha ujinga wewe, somea kitu fulani kwani humuoni fulani?"
A problem!
Huwezi kumlazimisha mtu kama huyo a "start small". Hana passion, hana purpose hana dream na hicho alichosomea, anachotaka pesa tu. Unaona madhara ya kulea "HUMAN THINGS?"
KabisaUmemaliza mkuu, hongera sana kwa hii analysis.
Well saidKILICHOTOKEA MPAKA KUFIKIA HAPO
1. Hoja ya kwanza "Sina mtaji"
Hoja hii imetokana na mambo yafuatayo;
a. Elimu aliyofundishwa huyo mtu tangu mdogo, aliyoyaona wazazi wake wanafanya, walimu waliomfundisha kwa zaidi ya miongo kadhaa ni kuwa "tegemezi". Kajifunza kuwa yeye hawezi kuwa na wazo na akalisimamia mwenyewe mpaka awepo mtu wa kumsukuma 'Mwajiri'.
b. Ana amini kuwa uwezo wa nje 'pesa' ndo una tafsiri utu wa mtu. Si kweli; ukitaka kuamini, mfilisi Mo*** au yule mwenzake Bakh*** waanze kwenye zero kabisaa kama wewe unayesema huna kitu; tuje tuwapime baada ya miaka 10, je, mtakuwa sawa? Kama una uhakika kuwa mtakuwa sawa basi kweli tatizo ni pesa, lakini uki-reason kuwa hamtaweza kuwa sawa basi ujue sababu ya hivyo ulivyo siyo pesa but something else!
Angalizo kwa wazazi; " Acheni kutufanya wanenu Human things, Tunaomba mtulee kama Mungu alivyotuumba Human beings"
-Mtoto atakuwa na degree au P.h.d lakini ataona hawezi kufanya chochote kwa sababu hana (Things: pesa, gari, somebody n.k)
-Mnafikiri wimbi la wapiga mizinga under 25 linalozungumzwa na kulalamikiwa huko mtaani limetokea wapi kama siyo hao tuliowalea kama Human things? Yeah they have education, and a lot of energy, but They need things!
2. Hoja ya pili; "Kuanza chini, mmmmh! Maana ya kukaaa darasani ilikuwa nini?"
Hoja hii inatokana na yafuatayo;
a. Uoga wa "nitaonekanaje kwa jamii inayonizunguka?" Ndg waalimu huko mashuleni, mtoto alikuwa akifeli, mnamfanya afeel au aone kuwa kufeli ni kitu kibaya sana.
Si kweli kuwa kufeli ni jambo baya, bali ni sehemu ya kujifunza, utajifunzaje kama hakuna makosa? Na shuleni nimekuja kufanya nini mpaka mnanifanya nione kuwa "perfect" ndo kujifunza khaaaa! Kama niko perfect nisingekuja kupanguswa kamasi class kwako. Mtoto wa mwenzio akikosa swali, acha kumkashifu, kumzomea na kumtenga hadi stream! Jamani!
Hiyo mentality ya (nitonekanaje) imetokea hapo, mtu wa hovyo ni yule aliyefeli, au mtu wa chini ni yule ambaye hakwenda shule. Mmewadanganya watoto wa watu na vi- stream vyenu weee, na vimaksi na viripoti vya nani kawa wa kwanza na ni nani kawa wa mwisho, matokeo yake ndo hayoooo! Wanaamini kuwa aliyefaulu ataenda mbele na kupata ajira mapemaaa! Haya sasa yuko mtaani.
NDUGU MHITIMU ZINGATIA HILI LITAKUSAIDIA; ukweli ni kwamba "Huko shuleni wenzako tulikuwa tunanoa shoka vizuri, ili ukifika muda wa kukata miti (mti wa umaskini, mti wa ujinga na mingineyo) shoka lisitusumbue kwa sababu ni butu.
Hayo mashoka unayoyaona mtaani na unahisi " they don't make any progress, look at them, i went to school and now I'm back, what have they done?"
Ni kwa sababu hayako sharp, au pengine hayafahamu wajibu wao. Lakini wewe mwenzetu tayari umenolewa hebu anza kuonesha ufanisi wako, ili na wale wenzako ambao hawakujaaliwa kupata kauwezo kama kako, waone kwa vitendo. "The way you take thing's from zero to hero"
Jamaani! Umefika uwanja wa kazi unauliza 'miti ilokatwa iko wapi?' Wakati sisi tunakusubiri wewe ndo utoneshe wenzio jinsi ya kuiangusha hiyo mipingo?
b. Watoto wengi wanasomea vitu wasivyovipenda, kamwona mjomba mwalimu anafundisha baasi naye anataka kuwa mwalimu, kasikia shangazi kawa engineer basi naye anataka.
Siyo hivyo tu; ndugu, Jamaa, wazazi na marafiki walipiga debe kweli kweli; "Acha ujinga wewe, somea kitu fulani kwani humuoni fulani?"
A problem!
Huwezi kumlazimisha mtu kama huyo a "start small". Hana passion, hana purpose hana dream na hicho alichosomea, anachotaka pesa tu. Unaona madhara ya kulea "HUMAN THINGS?"
Ok, kwa hiyo hoja si "Kukosa mtaji," ila ni "uamuzi tu", Au??"Hakuna chuo kinachofundisha kujiajiri au kuajiriwa"
Kila taaluma inakupa mbinu, ujuzi na maarifa ya kukuwezesha kuimudu na kuiendeleza taaluma husika isipokuwa kujiajiri au kuajiriwa ni maamuzi tu.
Umetisha, ngoja nifatilie kitambulisho cha Magufuli maana mtendaji ananichelewesha.
AaahaKitambulisho Cha mwaka huu kinaexpire baada ya wiki mbili subiri mwaka uanze
Hivi ni mimi peke yangu ninayeona kazi ninayofanya ni ngumu sana?