Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Tanzania kupata ajira imekuwa shida sana. Na kwa mambo yanavyoenda, itazidi kuwa ngumu. Maana sasa hivi hakuna ajira, wadogo zetu wanaonufaika na elimu bure wakiaanza ingia mtaani itakuwaje?

Ukweli ni kwamba Serikali haitoweza kutengeneza idadi ya ajira tunazo hitaji, sisi kama raia inabidi tutafute fursa mbadala. Fursa ambazo kwa macho ya kawaida hatuzioni. Na wengi wetu, hata fursa ukitajiwa, unaidharau au kuino haifai. Wengine ni mpaka uone watu wanapiga hela ndo unashtuka.

Mfano: Kabla ya Uber kuanza, mtu angekuambia ana aidia ya kuanzisha kitu kama uber, ungemwelewa? Ukizingatia kuwa tuna Bodaboda, Daladala, Mwendokasi, Taxi na Bajaji. Kiukweli asilimia kubwa tunge mwona mjinga. Hata kama ni mshikaji wako, ungesema kafeli kichizi. Ona sasa Uber ilipo.

Na sababu pekee Uber imekubali, ni kuwa waalinzishi wana mfuko mrefu wa kuitangaza kwenye Tv na maredio. Bila hivyo, ingawa idea ni nzuri wengi tungeona haiofanya kazi bila hata kuijaribu.

Tanzania hapa, tuna watu wapo vizuri kichwani, wana idea mpya na zinaweza kutunufaisha wengi. Tatizo hawana kipato cha kuitangaza. Na hata wakijaribu kuitangaza kwenye facebook, instagram na humu kwenye Jamii forums, wengi tuna zizarau na kuona hazito lipa. Bila kuzijalibu, kuuliza inavoanya kazi au angalau kumsaidia kushare tangazo lake.

Kuna watu humu wapo kwenye vitengo vizuri sana. Tuna watangazaji, waandishi wa habari, watu wenye followers kibao kwenye social media, lakini hamffanyi chochote kumsaidia.

Hata kama unataka akulipe kumfanyia hiyo kitu, mcheki PM, maana awezi kujua kuwe wewe upo kwenye nafasi unayoweza msaidia. Ingia PM yake, salimianeni fresh, muulize kuhusu idea yake na kwa nini anadhani itafanya kazi. Ikibidi, pigianeni simu, pangeni mkutane na kadhalika.

Fikiria kuwa, idia yako ikipata waandishi habari wa 5 tu humu ndani, wakasema wata kusaidia kuongelea idea yako kwenye gazeti, redio, taarifa ya habari au kukutaja tu kwenye twitter yake yeke followers wengi, inaweza ikawa ndo mwanzo wa wewe kutoka.

Nimetoa mfano wa uber kwa kuwa kuna idea flani nataka kuitaja hapa. Idia ambayo, kuna watu wataanza kusema ni utapeli au haitofanya kazi ama haita nisaidia.

Idea hiyo ni ishu ya freelancing. Freelancing ina maana ni ajira ya kujitegemea za muda mfupi mfupi. Mfano. Dj au MC anafanya freelancing, yaani anaitwa kwenye sherehe, anafanya kazi anapokea chake anasepa. Anaitwa sehemu nyingine na nyingine na nyingine.

Sisi kama Watanzania, kana kazi nyingi tunaweza kuzifanya kama freelancing. Shida ni kuwa;
1. Hatujui au tuna zi dharau kwamba haiwezekani kama ilivyo wazo la Uber.
2. Platform au sehemu ambayo, itarahisisha kupata wateja kwa kazi utakayo amua kufanya freelancing.

Wengi humu, tunaujua mtandao wa www.kupatana.com. Huu mtandao, siyo kwamba watu walikuwa hawauzi viwanja, simu, tv na magari kabla ya mtandao kuwepo, huu mtandao umerahisisha, yaani ukiingia pale, utapata chohote unachohitaji.

Vivyo vivyo, kuna mtandao huu wa www.ajiras.com. Huu mtandao ni ajili ya freelancing. Yaani, kama unavyosema nauza simu kwenye kupatana, unaweza sema na choma nyama au natengeneza logo, website, au ni mwandishi kwenye huu mtandao wa ajiras.com. Kinachotokea, watu wanao hitaji hiyo huduma, wanakupata pale na kuu ajiri uwafanyie kazi. Watu kama Djs, MC, watu wa mapambo, wapiga picha, wasusi, wapaka ina, tatoo, wachoraji (kama wakina Masoud Kipanya), wachimba visima, wapima viwanja na kadhalika. Wote wanaweza kujiunga na kuonyeza kazi wanazoweza kuzifanya.
Buyer.jpg


Tatizo ni kama nilivyosema hapo juu, wengi bado tunaidharau, waanzilishi ni vijana hawana mtaji wa kutosha kusema kuitangaza saaana kwenye TV na radio. Maana unakuta unaambiwa kutangaza laki 4 au 6 kwa mara moja.

Sisi kama wana Jamii Forum,
1. Tutumie hii fursa kujiajiri.
2. Kama upo kwenye nafasi flani, maana naamini kuna mpaka viongozi humu, angalieni mnaweza fanya nini kuisogeza hii project.

Pia kuna watu wenye Online TV, angalia basi kinachoweza kufanyika.

Mnaweza comment, kunifuata PM au kuwasiana kwa njia ya info@ajiras.com au 0717 686 155.
Kama unamjua mtu anayewaza fanya lolote, tafadhali mtag hapa aje kuona.

Mimi naanza kuwa tag wachache ninaowajua. Mtanisamehe kwa kuwa tag bila idhini yenu na kwa maelezo kuwa marefu sana GuDume AdvocateFi rikiboy Victoire tindo Pascal Mayalla Bishop Hiluka Mshana Jr Geza Ulole joto la jiwe Tony254 MK254

Asanteni.
NB: Mimi ni mmoja wa wamiliki wa huu mtandao, isije onekana kama najaribu kuficha.
 
Tanzania kupata ajira imekuwa shida sana. Na kwa mambo yanavyoenda, itazidi kuwa ngumu. Maana sasa hivi hakuna ajira, wadogo zetu wanaonufaika na elimu bure wakiaanza ingia mtaani itakuwaje?

Ukweli ni kwamba Serikali haitoweza kutengeneza idadi ya ajira tunazo hitaji, sisi kama raia inabidi tutafute fursa mbadala. Fursa ambazo kwa macho ya kawaida hatuzioni. Na wengi wetu, hata fursa ukitajiwa, unaidharau au kuino haifai. Wengine ni mpaka uone watu wanapiga hela ndo unashtuka.

Mfano: Kabla ya Uber kuanza, mtu angekuambia ana aidia ya kuanzisha kitu kama uber, ungemwelewa? Ukizingatia kuwa tuna Bodaboda, Daladala, Mwendokasi, Taxi na Bajaji. Kiukweli asilimia kubwa tunge mwona mjinga. Hata kama ni mshikaji wako, ungesema kafeli kichizi. Ona sasa Uber ilipo.

Na sababu pekee Uber imekubali, ni kuwa waalinzishi wana mfuko mrefu wa kuitangaza kwenye Tv na maredio. Bila hivyo, ingawa idea ni nzuri wengi tungeona haiofanya kazi bila hata kuijaribu.

Tanzania hapa, tuna watu wapo vizuri kichwani, wana idea mpya na zinaweza kutunufaisha wengi. Tatizo hawana kipato cha kuitangaza. Na hata wakijaribu kuitangaza kwenye facebook, instagram na humu kwenye Jamii forums, wengi tuna zizarau na kuona hazito lipa. Bila kuzijalibu, kuuliza inavoanya kazi au angalau kumsaidia kushare tangazo lake.

Kuna watu humu wapo kwenye vitengo vizuri sana. Tuna watangazaji, waandishi wa habari, watu wenye followers kibao kwenye social media, lakini hamffanyi chochote kumsaidia.

Hata kama unataka akulipe kumfanyia hiyo kitu, mcheki PM, maana awezi kujua kuwe wewe upo kwenye nafasi unayoweza msaidia. Ingia PM yake, salimianeni fresh, muulize kuhusu idea yake na kwa nini anadhani itafanya kazi. Ikibidi, pigianeni simu, pangeni mkutane na kadhalika.

Fikiria kuwa, idia yako ikipata waandishi habari wa 5 tu humu ndani, wakasema wata kusaidia kuongelea idea yako kwenye gazeti, redio, taarifa ya habari au kukutaja tu kwenye twitter yake yeke followers wengi, inaweza ikawa ndo mwanzo wa wewe kutoka.

Nimetoa mfano wa uber kwa kuwa kuna idea flani nataka kuitaja hapa. Idia ambayo, kuna watu wataanza kusema ni utapeli au haitofanya kazi ama haita nisaidia.

Idea hiyo ni ishu ya freelancing. Freelancing ina maana ni ajira ya kujitegemea za muda mfupi mfupi. Mfano. Dj au MC anafanya freelancing, yaani anaitwa kwenye sherehe, anafanya kazi anapokea chake anasepa. Anaitwa sehemu nyingine na nyingine na nyingine.

Sisi kama Watanzania, kana kazi nyingi tunaweza kuzifanya kama freelancing. Shida ni kuwa;
1. Hatujui au tuna zi dharau kwamba haiwezekani kama ilivyo wazo la Uber.
2. Platform au sehemu ambayo, itarahisisha kupata wateja kwa kazi utakayo amua kufanya freelancing.

Wengi humu, tunaujua mtandao wa www.kupatana.com. Huu mtandao, siyo kwamba watu walikuwa hawauzi viwanja, simu, tv na magari kabla ya mtandao kuwepo, huu mtandao umerahisisha, yaani ukiingia pale, utapata chohote unachohitaji.

Vivyo vivyo, kuna mtandao huu wa www.ajiras.com. Huu mtandao ni ajili ya freelancing. Yaani, kama unavyosema nauza simu kwenye kupatana, unaweza sema na choma nyama au natengeneza logo, website, au ni mwandishi kwenye huu mtandao wa ajiras.com. Kinachotokea, watu wanao hitaji hiyo huduma, wanakupata pale na kuu ajiri uwafanyie kazi. Watu kama Djs, MC, watu wa mapambo, wapiga picha, wasusi, wapaka ina, tatoo, wachoraji (kama wakina Masoud Kipanya), wachimba visima, wapima viwanja na kadhalika. Wote wanaweza kujiunga na kuonyeza kazi wanazoweza kuzifanya.
View attachment 1277219

Tatizo ni kama nilivyosema hapo juu, wengi bado tunaidharau, waanzilishi ni vijana hawana mtaji wa kutosha kusema kuitangaza saaana kwenye TV na radio. Maana unakuta unaambiwa kutangaza laki 4 au 6 kwa mara moja.

Sisi kama wana Jamii Forum,
1. Tutumie hii fursa kujiajiri.
2. Kama upo kwenye nafasi flani, maana naamini kuna mpaka viongozi humu, angalieni mnaweza fanya nini kuisogeza hii project.

Pia kuna watu wenye Online TV, angalia basi kinachoweza kufanyika.

Mnaweza comment, kunifuata PM au kuwasiana kwa njia ya info@ajiras.com au 0717 686 155.
Kama unamjua mtu anayewaza fanya lolote, tafadhali mtag hapa aje kuona.

Mimi naanza kuwa tag wachache ninaowajua. Mtanisamehe kwa kuwa tag bila idhini yenu na kwa maelezo kuwa marefu sana GuDume AdvocateFi rikiboy Victoire tindo Pascal Mayalla Bishop Hiluka Mshana Jr Geza Ulole joto la jiwe Tony254 MK254

Asanteni.
NB: Mimi ni mmoja wa wamiliki wa huu mtandao, isije onekana kama najaribu kuficha.
Point yako sijaielewa umezunguka sanaaaa....
 
Sijapata ponti yako mara tukufate pm sijui piga simu no hii mara wwe ni miongoni mwa wamiliki sijui umemtag nani mzee wa kilinge ....bade utamtag na maxmelo
Huyo anatangaza biashara yake ya freelancing site kupitia hiyo tovuti yake. Lengo lake anataka kui-market hiyo website ijulikane na watu waanze kuitumia kama ilivyo freelancing sites nyingine kama Upwork, Proz.com n.k

Sema amezunguka sana kuelezea nia yake. Alipaswa awe direct to the point akielezea juu ya website yake...inafanya nini ? na itamnufaisha vipi mtu kama akiamua kuitumia? Pia aelezee revenue model ya business yake...maana najua itakuwa centered on gig or shared ecenomy.
 
we si useme tu kuwa unaomba msaada kuliko kusema kuna fursa ?
Unataka kutufanya sisi ndo tuwe fursa yenyewe mwe..mwe..mweee
 
Wengine tumejiajiri kitambo Sana!
Sema tunapiga miguu yote yote
Ila bado mleta uzi sijaelewa point yako

Ova
 
Sielewi kuwa ni pupa za kusoma au mnasoma nusu kuwahi ku comment au labda ni mazoea ya mada nyepesi nyepesi. Ni matajio yangu hii utaisoma yote. Uniambie wapi hujasoma. Naelezea paragraph moja moja.
1. Inaelezea tatizo la ajira Tanzania, na jinsi ani tusetegemee hali kubadilika, ukikumbuka kuwa, kwanzia elimu imekuwa bure, wanaojiunga na shule imeongezeka. Ikifika wakati wanamaliza chuo, tatizo la ajira litakuwa maradufu.

2 & 3. Sisi kama vijana, inabidi tuweze ona fursa kwa jicho la mbali, siyo mpaka imekukalia usoni. Mfano: Kabla ya uber kuanza, mtu angaleta mada hapa kuwa anaanzisha business ya design ya uber, wengi msingeelewa kama ambavyo hamjaelewa hapa. Mngeona haiwezi fanya kazi hasa ukizingatia kuna Bodaboda, Bajaji, Taxi, Daladala na Mwendokasi. Maana mngesema haiwezi fanya kazi bongo, au kama kawaida mngesema ni utapeli.😀😂🤣

4 & 5 Kutokana na utomaso wetu na kuto kuona mbali, idea ya biashara yoyote ambayo haija zoeleka, hata kama ni nzuri (Uber imetengengeza ajira kwa vijana wengi sana) tunaikataa na kusema utapeli au haiffanya kazi bongo. Mpaka mwanzilishi awe na hela sana. Otherwise ina fail. Tanzania tuna vijana wenye uwezo mnzuri tu, wanaanzisha vitu ila zina fail siyo kwa kushindwa kuanza, bali kwa kukosa support na kushindwa kueleweka na vijana wengi ambao wanajua biashara pekee ni kufungua bar, saluni na kadhalika, Na kuwa biashara za mtandaoni haziwezi fanya kazi bongo ama ni utapeli. Matokeo yake tuna ilaumu serikali kuwa haino vipaji wakati hata sisi wenyewe hatuvioni vilevile. Tuna potezea.

6. Kama kila mmoja kwa nafasi yake, angeweza kumsupport mwingine vijana tungekuwa mbali. Mfano: Marekani wana mtandao ambao, una post idea, invention au project yako, na kiasi cha fedha kinachohitajika, watu wana changia. Ukiweka bongo, comment 100 za mwanzo utakazo pata ni kuwa ni utapeli. Kwanini niache kufanya mambo yangu ni msaidie mwingine. Hata kama ni sh 100. Sisi wengi tuna roho mbaya, hatusaidiani, tunasaidia pale kwenye vitu vyenye manufaa moja kwa moja kwetu. Ndio maana hata mchango wa harusi, mtu anasema nichange wakati siendi? Ningekuwa naenda ningechanga.

7. Mchango siyo lazima fedha, hata kupost Tangazo la mwenzio kwenye page yako. Au kuandika constructive comment na siyo kumkatisha mtu tamaa. Siyo tu kwa post yangu, kwa post za wengine pia. Nenda PM, mshauri, muhoji, muulize anahitaji nini idea yake ipige japo hatua moja.

8 & n...Hizi zinaongelea idea mpya, idea mbayo wengi hamjaeilewa kwa sababu ni ngeni masikioni mwenu, sawa na mtu angepost idea ya Uber kabla haijaanza. Wengi msingeielewa, na wengi wenu mngesema ni utapeli au mambo mengine kama mlivyo comment.
Na mbaya zaidi, unakuta wengi mlio comment hata hiyo website (www.ajiras.com) hamjaifungua kuona ikoje au nambo gani. mmekimbilia tu kusema hamuelewi.

Labda niulezee kwa kifupi: Ajiras ni sehemu ya kuuza huduma, huuzi kitu bali unaaza huduma. Ina maana kama wewe ni mtaalamu wa kutengeneza logo, unaweka pale ili upate wateja. Hii ikiwemo ajira ambazo wengi hatujajua kuwa ni ajira. Nitatoa Mfano mmoja.

Mchoma nyama ajira yake ni bar, lakini kuna watu wengi wanafanya sherehe nyumbani na wengependa kumpata mtu wa kuwachomea nyama nyumbani. Tatizo hawakujui, uwajui, ukiweka kwenye ajiras kuwa labda unachoma nyama kila kilo elfu 20. Ina maana wanaohitaji watakupata pale na kukuita ukapige kazi kwenye sherehe yao. Bila hivyo, utabaki bar miaka yote.

Hapo hujahitaji mtaji wa kufungua kibanda cha nyama wa la chochote, ni ujuzi wako tu. Vivyo inaweza fanyika kwa kazi nyingine kama kuitwa kujaza gesi ya AC ya gari au kufanya service kama kumwaga oil, ama kuosha kapeti na kadhalika.

Hizo zote ni ajira ambazo tunashindwa kuzifanya kwa kuwa tuna zizarau au tulikuwa hatuna sehemu ya kujitangaza.

Mwisho, sababu ya kuandika hii na kusema watu waitanaze siyo kujipa faida, bali kupeleka hii fursa ya kujiajiri kwa vijana wengi. Vijana wengi wajue kuwa kuna fursa kama hii.

LAkini wengi wenu, kila kitu mnawaza kuwa mtani nufaisha mimi na wamiliki wa www.ajiras.com. Hata, hivvyo ajiras inamfumo wa affiliation wa kupata commission kwa kila mauzo au manunuzi kutokana na link yako.

Sijui mtasema na hapa hamjaelewa ???? Proffesor Goddess Tape measure maishamema quier Marwa_J_Merengo vulturine vulture Njopino manengelo Hardbody REJESHO HURU kilwakivinje mrangi

Haya sasa, nimetulia nasubiri mapovu au ban
 
Hahahaha daah watu wa humu sio poa imebidi mleta uzi aunyambue tena uzi wake baada ya kula za uso na najua za uso zinakuja tena kama mvua
 
Back
Top Bottom