Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

UPDATED
Unaweza kujoin telegram group kwa wenye maswali na maelekezo kwa kuclick hapa
telegram group link

Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa sugu sana. Ni vijana wengi tunaohitimu vyuo na sekta ya ajira ina nafasi ambabzo haziwezi kutosheleza makontena ya wahitimu yanayomwagwa mtaani kila mwaka.
Mimi ni mmoja wapo wa wahanga waliokosa ajira na kuihangaika sana kuzunguka na vyeti mtaani hadi nikakata tamaa tu baada ya mwaka mmoja nikaachana na kutafuta ajira mpaka Mungu aliponiona na kunipa plan B.
Kujiajiri mara nyingi kunahitaji mtaji hata kilimo pia kinahitaji mtaji kwahiyo wengi wanaosema mkajiajiri utakuta wao wameajiriwa.

Leo nita share nanyi njia ambayo mtu unaweza kujiajiri ukatengeneza pesa ambayo hata wale walioajiriwa wanaiota.

Kuna kitu kinaitwa freelancing. Nadhani wengi mmeshwahi kusikia kuna kazi unaweza kufanya mtandaoni na kulipwa. Na najua wengi mlishwahi kujaribu na mwisho unagundua hakuna ukweli na wala huambulii chochote na wengi mtu akiwambia kuna kazi unaweza fanya mtandaoni ukalipwa utaishia kusema ni utapeli.
Lakini ukweli ni kwamba ndiyo kuna kazi unaweza fanya mtandaoni na ukalipwa, tatizo ni kujua zipi fake na zipi za ukweli.
kuna kufanya surveys, hizi hazina malipo ya maana na mitandao mingi inatoa shopping vouvhers na siyo ela. Mfano wake ni opinion panel ambbayo inatoa kati ya 0.50 pound kwa kila survey utakyopewa na inaezekana upewe moja kila week sasa kwa mustakhabari huo huwezi tengeneza pesa ya maana zaidi ya kupoteza muda.
Kuna referals, Kuna mitandao inadai inatoa ela kwa kurefer watu wengine wajiunge. Nimejaribu kuipitia mitandao mingi ipo amayo kweli inatoa ela lakini ni kiasi kidogo hata kufikisha 10$ kwa miezi sita ni kazi. Na may zaidi mitandao mingi ya hiovyo ni ya uongo.

Ipi mitandao ya kweli na nitajuaje kama kama kazi zilizopo ni za kweli.
Kwanza kabisa zingatia hili, hakuna free money. Ukiona mtandao unakuahidi kukulipa pasipo kufanya kazi yoyote ya maana jua huo mtandao ni fake/scam. Inaidi ufanye kazi.
Pili ela unayoahidiwa kulipwa iendan na kazi, siyo unaambiwa utype page moja then ulipwee $200, katika akili ya kawaida utaona kabisa malipo hayaendani na kazi.
Tatu tumia mitandao ina yo review na kukwambbia kama mtandao flani ni Legit au scam.


Jinsi ya kutengeneza pesa.
Katika kufanya kazi mtandaoni kama freelancer nimeweza kuja na list ya mitandao ambayo ninaiamini.
1. Fiverr: Huu ni wa uhakika kabisa kuna kazi nyingi sana humu. Ila inahitaji utengeneza profile na portfolio ya maana maana wanafanya screening ya nguvu kabbla ya kukuruhusu kuanza kugombea kazi zilizo postiwa.
Kuna kila aina ya kazi kuanzia kutype, graphics, we designing, content writting, music, animation, Legal Documents yani kazi zote uzijuazo wewe. Na jambbo la kushangaza ni kwamba kuna hadi wa tanzania wanapost humu wakitafuta freelancers wa kuwafanyia kazi zao.
Freelancer. Huu ni mtandao mwingine ninaouamini na nimefanya kazi nyingi hapa na babdo ninaendelea kufanya walau kila siku kazi 2 mpaka 5. Tatizo la huu mtandao kuna matapeli kutoka Asia ambao wanapenda kupost akzi za data entry zikiwa na malipo makubwa sana mfano type 30 pages for $250. Ukiona hivi machale inabidi ya kucheze. Pia malipo na kazi zote zinabidi zifanyie kwenye platform yenyewe maana mpaka mtu anakupa kazi wao freelancer wanakuwa washa hold ile ela mliyoelewana ili ukimaliza waiachie kwenye account yako sasa hawa matapeli wanakushauri mkaelewane kwenye email ukiona hivyo jua ni matapeli maana kwanza policy ya freelancer ni kuwork within the paltform ili msitapeliane. Uwa wanaondoa matangazo yao lakini incase ukikutana na scenario ya namna jua umekumbana na tapeli.
Kuna mtandao mwingine unaitwa Guru nao ni kama freelancer.
Kuna mmoja huu sasa si wa freelancer ila unaitwa Kentar Futures. Hawa watu wanalipa ela sana sana unaweza kuhisi ni matapeli ila ni kweli mtupu na nimefanya nao kazi kwa muda mrefu japo ni kwa msimu kazi zao zinaweza kuja mfululizo miezi sita halafu zikakata hata kwa miez sita mingine lakini zikianza kuja unakuta unapewa kazi kila week kazi moja na kila kazi ukimaliza unalipwa $450. Inategemea ni kazi gani ila sometimes uwa malipo anashuka kama ni kazi ndogo ya siku 4 unakuta wanalipa $115 na wanalipa direct via money wire.

Nitaendela kuwahabarisha mengine mkiwa interested.
View attachment 869024
Mkuu hili group halipo mbona?
 
UPDATED
Unaweza kujoin telegram group kwa wenye maswali na maelekezo kwa kuclick hapa
telegram group link

Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa sugu sana. Ni vijana wengi tunaohitimu vyuo na sekta ya ajira ina nafasi ambabzo haziwezi kutosheleza makontena ya wahitimu yanayomwagwa mtaani kila mwaka.
Mimi ni mmoja wapo wa wahanga waliokosa ajira na kuihangaika sana kuzunguka na vyeti mtaani hadi nikakata tamaa tu baada ya mwaka mmoja nikaachana na kutafuta ajira mpaka Mungu aliponiona na kunipa plan B.
Kujiajiri mara nyingi kunahitaji mtaji hata kilimo pia kinahitaji mtaji kwahiyo wengi wanaosema mkajiajiri utakuta wao wameajiriwa.

Leo nita share nanyi njia ambayo mtu unaweza kujiajiri ukatengeneza pesa ambayo hata wale walioajiriwa wanaiota.

Kuna kitu kinaitwa freelancing. Nadhani wengi mmeshwahi kusikia kuna kazi unaweza kufanya mtandaoni na kulipwa. Na najua wengi mlishwahi kujaribu na mwisho unagundua hakuna ukweli na wala huambulii chochote na wengi mtu akiwambia kuna kazi unaweza fanya mtandaoni ukalipwa utaishia kusema ni utapeli.
Lakini ukweli ni kwamba ndiyo kuna kazi unaweza fanya mtandaoni na ukalipwa, tatizo ni kujua zipi fake na zipi za ukweli.
kuna kufanya surveys, hizi hazina malipo ya maana na mitandao mingi inatoa shopping vouvhers na siyo ela. Mfano wake ni opinion panel ambbayo inatoa kati ya 0.50 pound kwa kila survey utakyopewa na inaezekana upewe moja kila week sasa kwa mustakhabari huo huwezi tengeneza pesa ya maana zaidi ya kupoteza muda.
Kuna referals, Kuna mitandao inadai inatoa ela kwa kurefer watu wengine wajiunge. Nimejaribu kuipitia mitandao mingi ipo amayo kweli inatoa ela lakini ni kiasi kidogo hata kufikisha 10$ kwa miezi sita ni kazi. Na may zaidi mitandao mingi ya hiovyo ni ya uongo.

Ipi mitandao ya kweli na nitajuaje kama kama kazi zilizopo ni za kweli.
Kwanza kabisa zingatia hili, hakuna free money. Ukiona mtandao unakuahidi kukulipa pasipo kufanya kazi yoyote ya maana jua huo mtandao ni fake/scam. Inaidi ufanye kazi.
Pili ela unayoahidiwa kulipwa iendan na kazi, siyo unaambiwa utype page moja then ulipwee $200, katika akili ya kawaida utaona kabisa malipo hayaendani na kazi.
Tatu tumia mitandao ina yo review na kukwambbia kama mtandao flani ni Legit au scam.


Jinsi ya kutengeneza pesa.
Katika kufanya kazi mtandaoni kama freelancer nimeweza kuja na list ya mitandao ambayo ninaiamini.
1. Fiverr: Huu ni wa uhakika kabisa kuna kazi nyingi sana humu. Ila inahitaji utengeneza profile na portfolio ya maana maana wanafanya screening ya nguvu kabbla ya kukuruhusu kuanza kugombea kazi zilizo postiwa.
Kuna kila aina ya kazi kuanzia kutype, graphics, we designing, content writting, music, animation, Legal Documents yani kazi zote uzijuazo wewe. Na jambbo la kushangaza ni kwamba kuna hadi wa tanzania wanapost humu wakitafuta freelancers wa kuwafanyia kazi zao.
Freelancer. Huu ni mtandao mwingine ninaouamini na nimefanya kazi nyingi hapa na babdo ninaendelea kufanya walau kila siku kazi 2 mpaka 5. Tatizo la huu mtandao kuna matapeli kutoka Asia ambao wanapenda kupost akzi za data entry zikiwa na malipo makubwa sana mfano type 30 pages for $250. Ukiona hivi machale inabidi ya kucheze. Pia malipo na kazi zote zinabidi zifanyie kwenye platform yenyewe maana mpaka mtu anakupa kazi wao freelancer wanakuwa washa hold ile ela mliyoelewana ili ukimaliza waiachie kwenye account yako sasa hawa matapeli wanakushauri mkaelewane kwenye email ukiona hivyo jua ni matapeli maana kwanza policy ya freelancer ni kuwork within the paltform ili msitapeliane. Uwa wanaondoa matangazo yao lakini incase ukikutana na scenario ya namna jua umekumbana na tapeli.
Kuna mtandao mwingine unaitwa Guru nao ni kama freelancer.
Kuna mmoja huu sasa si wa freelancer ila unaitwa Kentar Futures. Hawa watu wanalipa ela sana sana unaweza kuhisi ni matapeli ila ni kweli mtupu na nimefanya nao kazi kwa muda mrefu japo ni kwa msimu kazi zao zinaweza kuja mfululizo miezi sita halafu zikakata hata kwa miez sita mingine lakini zikianza kuja unakuta unapewa kazi kila week kazi moja na kila kazi ukimaliza unalipwa $450. Inategemea ni kazi gani ila sometimes uwa malipo anashuka kama ni kazi ndogo ya siku 4 unakuta wanalipa $115 na wanalipa direct via money wire.

Nitaendela kuwahabarisha mengine mkiwa interested.
View attachment 869024
Ndugu, this is the good thread umeleta, nakupongeza kwa hilo, Nimekuwa nikifanya pia kama freelancer hasa kwenye translations na transriptions from English to Swahili and the vice versa, ukiwa na fursa pia usisite kuni PM tuone ni jinsi gani tunaeza ifanya.
 
Yes ukijiunga unapewa mwez mmoja free na baada ya hapo utakuwa unalipa monthly fee kila mwezi kutegemea na aina ya akaunti uliyo nayo mfano mm nalipa dollar kumi kila mwez
Mkuu nmeshajiregister fiverr.. But bado cjajuaaa naanzaje kupata kaz mkuu... Msaada tafadhalli
 
Nilichukua likizo yangu ya Mwezi nikiwa nimejiandaa kuanzisha biashara, na kweli nikafungua gori vizuri kabisa nilishiriki kwa asilimia 100 kuendesha biashara,kisha nikamuagiza kijana kutoka mkoani ili ajifunze kipindi nikiwepo na lengo langu ikisimama niache kazi.

Ilikaa poa mpaka raha kabisa, niliajiri kijana wa pili,wa kwanza nilimpangia chumba,nikamuwekea godoro analaa fresh na maisha yake yanaendelea vizuri

Aisee vijana wakaanza kushindwa kusimamia vizuri,wanafanya mambo yao, ghafla nilisikia kijana anasema anataka kwenda kijijini akawa mbogo nikampa nauri akaondoka na kwa kuwa tayari nilisharudi kazini nikaifunga biashara mtaji nikanunua kiwanja nikajenga kajumba, nikarudi utumwani.

Kwa changamoto nilizoziona sasa hivi narudi kwa gia kubwa zaidi .
 
Inategemea umeajiriwa wapi. Mm sehemu ambayo nimeajiriwa Kamwe siwezi Acha maana nina elimu ya kawaida hata diploma haijafika ninaliowa mshahara take home ni 1.5 milion kwa mwezi na kama ntatia figisu za safari na kazi za nje na night allowance na extra duties napata minimum laki 5. Yani katika mwezi nikikosa kabisa napata laki 2. Sasa naanzaje kuacha kazi??? Nikifikiria watanzania wengi kwenye ajira mf. Walimu na watumishi wa halmashauri manesi, na wengine mshahara haufiki hata Laki 6.

Mimi binafsi nina kila sababu za kuendelea kubembeleza ajira maisha yaende. Japo najua faida ya kujiajiri ila kwa sasa Maisha ni magumu. Unaweza anzisha business entity yako na ikafa huku unaiona. Vikwazo ni vingi mara Kodi, ushuru, Tozo na Chuma ulete humohumo mdororo wa uchumi na vingine vingi
Mwanangu usiache komaa, ila cha msingi anzisha biashara yoyote unayoona inalipa
 
Binadamu tunatofautiana,watu wote hawawezi kuwa ma-risk takers,ndio maana kuna masikini na matajiri,watumwa na mabwanyenye.Kuajiriwa kuna mwisho,na mara nyingi mwisho wake huwa sio mzuri.Kuna biashara nyingi sana za kufanya zinazohitaji mitaji midogo mfano;tafuta wamama wajane kama watano hivi,wafungulie genge kila mmoja;na kwa kila mmoja wekeza laki 2.Baada ya hapo anza kukusanya mapato.
 
Mkuu tunashinndwa kujiunga na group link yako inasema group halipo msaada tafadhali
 
Hizi kazi nzuri sana japo zinahitaji kujituma sana Uaminifu sana, nimefanya kazi Elence na Odesk kipindi hicho now inaitwa upwork, ukijituma vema na ukapangilia vitu vizuri kwa mwezi waweza pata $ 1000 + , vijana mliopo chuo na wale wasio na kazi changamkieni fursa hizo pesa ipo
 
Hizi kazi nzuri sana japo zinahitaji kujituma sana Uaminifu sana, nimefanya kazi Elence na Odesk kipindi hicho now inaitwa upwork, ukijituma vema na ukapangilia vitu vizuri kwa mwezi waweza pata $ 1000 + , vijana mliopo chuo na wale wasio na kazi changamkieni fursa hizo pesa ipo
Mkuu nimekuelewa vip wewe ulifanyaje mpaka ukawa unapata hizo kazi maana nimeona ukiwa new member ni changamoto kupata
 
Mi naomba unipe hints ya nini cha kufanya mpaka kuwa na account ili niwe na access za hizo kazi? MixedFrank TAVEATT
Mkuu ni rahisi, Just go to www.upwork.com then register kama mtu Job secker the tengeneza profile yako vema, baadae wataaprove profile yako pamoja na detail zako then unaanza kuomba kazi kulingana na upeo wako, mimi ilinichukua wiki moja baada ya kuomba kazi kama 10 hivi kupata kazi ya kwanza baada ya hapo ikawa rahisi kupata kazi
 
Mkuu ni rahisi, Just go to www.upwork.com then register kama mtu Job secker the tengeneza profile yako vema, baadae wataaprove profile yako pamoja na detail zako then unaanza kuomba kazi kulingana na upeo wako, mimi ilinichukua wiki moja baada ya kuomba kazi kama 10 hivi kupata kazi ya kwanza baada ya hapo ikawa rahisi kupata kazi
Mkuu tunaomba msaada wako kwenye profile unaweka vitu gani vya muhimu kwa mfano mtu wa taaluma ya takwimu
 
Mkuu nimekuelewa vip wewe ulifanyaje mpaka ukawa unapata hizo kazi maana nimeona ukiwa new member ni changamoto kupata
Siri kubwa kwa upande wangu kipindi naanza nilikuwa naomba kazi ambazo zimepostiwa na wazungu hasa UK na USA ambazo zinatakiwa kufanyika hapa Tanzania wakati wao hawapo huku bongo, competitor wangu wengi walikuwa wakenya na wachache sana watanzania, (TZ Tupogi nyuma vitu vingi), hivyo tu mkuu. Pia unapomba kazi uoneshe kuwa unaweza bila shaka na usidanganye
 
Freelancer wananilipa kwa money wire, kentar futures nao kwa money wire, guru na fevvr payoneer, kuna wengine nao nafanya nao mara moja moja wao wananilipa kwa paypal but account yangu ya paypal haijafunguliwa tz kuna mtu hayuko tz anaitoa na kuinitumia kwa njia nyingne.

Ningependa unipe maujuzi kidogo kuhusu money wire, fevvr payoneer, nataka kuzitumia, na je ni rahisi kwa hapa tanzania kupata malipo yako.?
 
Mkuu tunaomba msaada wako kwenye profile unaweka vitu gani vya muhimu kwa mfano mtu wa taaluma ya takwimu
Mkuu Just tengeneza uoneshe ujuzi wako, na elimu yako, sample ya kazi zako ulizowai kufanya, videos, reports etc, zaidi check PM yako nimekutumia sample
 
Mkuu Just tengeneza uoneshe ujuzi wako, na elimu yako, sample ya kazi zako ulizowai kufanya, videos, reports etc, zaidi check PM yako nimekutumia sample
Naomba nami ntumie mkuu pm kama hutojali
 
Back
Top Bottom