Sasa kama sio hoja uliiweka kwenye mada yako yanini, siinamaana hujui unachokiandika. Tumia akili chief, sasa unatuwekea hoja kwenye mada yako mwenyewe ambayo unaitaja tena sio hoja. Huoni kuwa hujui unachokitaka😂😂😂. Sasa kama sio hoja kilichokutuma uanzishe mada sasa ni nini, common sense is not common unajua. Acha shaming tactics chief, tumia hoja yakuelewekaHoja ya kuoa kurumbembe unaita hoja?
Sasa kama hujiamini siuachane nao silazima msemezane nao. Yaani nyani haoni...... ,😂😂😂😂 wewe unamaex mia mwanamke asiwe nao wakati wewe mwenyewe ni mmoja wa maex. Yaani unakubali kushindwa kujiamini maamuzi yako kabisa na mwanamke😂😂😂. Halafu chief, nilishamwambia mwenzako changia hoja sio kuattack mtu, yaani very petty and childish ujue. Hunijui sikujui, hujui marital status yangu lakini unaniattack personal life yangu, kweli umekosa kabisa hoja ya msingi ya kujibu😂😂😂. Vijana mkue aisee, hivi unapataje nguvu ya kuhukumu mwenzako na kumpunish wakati wewe mwenyewe ni mtuhumiwa, jibu hoja chief, mkue. Unawaza anguko lako kabla hata hujaweka plan yako into motion sasa hilo ni tatizo lingine la psychologia boss[emoji38][emoji38][emoji38] hapana mkuu nilitaka kujua kama me najua ulioa kitu ya mtu hutaki kukubali tu na kama ke najua unajiona uko sawa ila ukifuatikia matatizo mengi ya ndoa bro ni kutokana na wanawake wanakua na ma ex kibao ebu kufuatilia kama Kuna mwanamke ambae umemkoleza vizuri kitandani hata kama ameolewa bro ukitaka kurudi unahitaji jitihada ndogo tu xaxa wanasema ndoa inachangamoto xo kipindi ambacho uherewani na mwenzio inafikiri ex akitaka kurudi anatumia nguvu kubwa ni ngumu kumkosa mwanamke
Hapa umeyumba kichwa!Kuna Watu wajinga Sana. Kwa hiyo Kwa Akili zako za kunguni unafikiri Bikra ndio kila kitu ndani ya Ndoa?
Uzuzu ni kipaji.
Naaam..Me nimeoa manzi niliyemtoa bikra na nina mwaka ndani ya ndoa hakuna kuwa na hofu na maex wala kulinganishwa nakula kitu na box, kitu mang'anyu[emoji39][emoji39][emoji39]
Wewe ulowachafua unataka awaoe nani na nani ashee mikosi yako?Hivi kwa mtu msafi anayejitambua ambaye sio mzinzi anaweza kuoa Mwanamke ambaye Hana bikra kuanza kushare uchafu na mikosi?
Kijana bila bikra endelea kukataa ndoa acha wachafu na wazinzi waoane wao kwa wao.
Mimi sijamchafua mtu na Kuna Malaya Hana bikra anataka ndoa eti nimtolee posa nimemtimua yupo na 21 yrs sipendi uchafuWewe ulowachafua unataka awaoe nani
Waowaji wapo boss yaani Kuna watu wanapenda ConditionallyMimi sijamchafua mtu na Kuna Malaya Hana bikra anataka ndoa eti nimtolee posa nimemtimua yupo na 21 yrs sipendi uchafu
Wajinga ndo waliwaoWaowaji wapo boss yaani Kuna watu wanapenda Conditionally
Hii comment nzuri aseeA Misguided Youth in Pursuit of Vanity..........
Hii comment kamanisha nini...?Hii comment nzuri asee
Kamaanisha kijana asiye na hekima anayetafuta ubatili kwa hali na mali ubatili wenyewe ni uzinziHii comment kamanisha nini...?
Kijana mpotevu katika kutafuta ubatiliHii comment nzuri asee