Vijana Wawili kwa ajili ya Kazi ya Ulinzi Dar

Vijana Wawili kwa ajili ya Kazi ya Ulinzi Dar

Comrade Liu Yang

Senior Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
161
Reaction score
282
Na uhitaji wa haraka sana wa kijana wa Ulinzi katika ofisi yangu.

Vijana wawili watakao kuwa wanaingia kazini saa 3 usiku na kutoka saa 1 asubuhi.

Majukumu ni ULINZI wa Mali zinazolala Nnje ziwe salama.

Mshahara kwa mmoja ni 150,000

KAma nitapata DEIWAKA wa kulinda kwa siku mbili tatu hizi ninapoendelea tafuta walinzi wa kudumu pia Nitashukuru.

Mshahara wake per NIGHT ni 6000 usiku mmoja.

MAHITAJI YA KAZI :

BARUA YAKO YA UTAMBULISHO TOKA SERIKALI YA MTAA

MDHAMINI WALAU MMOJA ANAEKUJUA HATA UKIFA GHAFLA TUMPE MWILI WAKO AUPELEKE KWENU.

Karibu

Mawasiliano : NIPO ONLINE PM

Ni TAg Popote nitajibu.
 
Na uhitaji wa haraka sana wa kijana wa Ulinzi katika ofisi yangu.

Vijana wawili watakao kuwa wanaingia kazini saa 3 usiku na kutoka saa 1 asubuhi.

Majukumu ni ULINZI wa Mali zinazolala Nnje ziwe salama.

Mshahara kwa mmoja ni 150,000

KAma nitapata DEIWAKA wa kulinda kwa siku mbili tatu hizi ninapoendelea tafuta walinzi wa kudumu pia Nitashukuru.

Mshahara wake per NIGHT ni 6000 usiku mmoja.

MAHITAJI YA KAZI :





Karibu

Mawasiliano : NIPO ONLINE PM

Ni TAg Popote nitajibu.

Hela ni ndogo sana mimi nalipwa laki 4 na 50 lakini bado naiona ndogo sembuse hiyo 150k khaaa tena dar .
 
Na uhitaji wa haraka sana wa kijana wa Ulinzi katika ofisi yangu.

Vijana wawili watakao kuwa wanaingia kazini saa 3 usiku na kutoka saa 1 asubuhi.

Majukumu ni ULINZI wa Mali zinazolala Nnje ziwe salama.

Mshahara kwa mmoja ni 150,000

KAma nitapata DEIWAKA wa kulinda kwa siku mbili tatu hizi ninapoendelea tafuta walinzi wa kudumu pia Nitashukuru.

Mshahara wake per NIGHT ni 6000 usiku mmoja.

MAHITAJI YA KAZI :





Karibu

Mawasiliano : NIPO ONLINE PM

Ni TAg Popote nitajibu.
Duhh, kwa mshahara huo na masharti hayo unaonaje ukalinda Mali zako mwenyewe mkuu?
 
Back
Top Bottom