Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Una wasiwasi atakuwa Sanga,Chaula,Ngairo au Chengula?Mtego huo mkuu
hizo mambo nazijua sana
Ngoja nikae kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una wasiwasi atakuwa Sanga,Chaula,Ngairo au Chengula?Mtego huo mkuu
hizo mambo nazijua sana
Ngoja nikae kimya
Kumekucha mkuuUna wasiwasi atakuwa Sanga,Chaula,Ngairo au Chengula?
OK kuna kampuni zinatoza 250Suma MALIPO yao gharama kwa mtu mmoja wanataka 500k
Haya ndiyo maneno sasa.Siyo ulinde halafu asubuhi uambulie nauli tu.Kwanza tangazo lisomeke..."WANATAFUTWA MAAFISA USALAMA"...!Ongeza mshahara angalau uanzie milioni mbili.kung'atwa na mbu usiku unaweza kuugua malaria.
Anunue upinde na mishale alinde mwenyewe. Mbona rahisi tu.Halafu hiyo 150 awe anajinunulia alizeti za kukaanga atafune.Hela ndogo sana hiyo hutopata wa kulinda lala mwenyewe
Namchombeza aongeze dau."Miya hamusini" kwa leo hii ni ndogo ingawa naamini atawapata wahitaji wa kibarua.Mkuu Moisemusajiografii mbona umeuvalia njuga uzi wa mwenzio?
Acha wanaoweza kwenda waende,ajira ngumu...hiyo 150K kuna mtu anawish sana kuipata kwa mwezi
👍Namchombeza aongeze dau."Miya hamusini" kwa leo hii ni ndogo ingawa naamini atawapata wahitaji wa kibarua.
NB;Asichukie.Mimi huwa ni chizi tu namchangamsha.Akinuna shauri yake.
Obrigado!🙏
Kila la heri kwa kukeshea nauli ya kurudia Kisarawe kila siku?Nooo!Aongeze mshahara.Bosi amekuwa bosingwa.Kila lakheri.
Direct me one boss pleaseOK kuna kampuni zinatoza 250
Ndo uwaongeze maisha yapo gari sana huwezi kumlipa mtu 150k alafu afanye kazi vizuri ,angalieni makampuni kama SGA, GARDAWORLD NA G4S wenye mshahara standard mpaka watu wao wanafanya kazi kwa ubora.hongera