Vijana Wawili kwa ajili ya Kazi ya Ulinzi Dar

Mkuu Moisemusajiografii mbona umeuvalia njuga uzi wa mwenzio?

Acha wanaoweza kwenda waende,ajira ngumu...hiyo 150K kuna mtu anawish sana kuipata kwa mwezi
Namchombeza aongeze dau."Miya hamusini" kwa leo hii ni ndogo ingawa naamini atawapata wahitaji wa kibarua.
NB;Asichukie.Mimi huwa ni chizi tu namchangamsha.Akinuna shauri yake.
 
Mkuu ofisi iko wapi?
Na vipi kuhusu sare za kazi na vitendea kazi vingine??

Na ni vizuri ungelikua unaweka update kama umeshapata mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…