Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
-
- #181
Misemo iliyofanya vijana wa zamani wasiwekeze
1. Ponda Mali kufa kwaja.
2. Hasara Roho Pesa Makaratasi.
Tujitambue.Wewe endelea kukomaa na wanasiasa wenzako akina mbowe wemewekeza kwenye mahoteli
Sawa Mkuu!Hakuna jipya chini ya jua isipokua kula, kunywa, na kumfurahia mke wa ujana wako. Hayo yote fanya uku ukiweka tumaini lako Kwa Mungu
Hakuna anaejua,kufika au kutokufika na ukifika utalaumu amaa!!!!Huo uzee wenyewe watafika? Acha watu waienjoy
Sawa😄 🤣 Hata Somaliland wanawashinda mkataba wao na DP ni miaka 33 tu
Hao wanajielewa tuwaache, wengine wenye akili za kusukumwa ndo tunawatahadhalisha,majuto ni mjukuu!Tunatishana sana kuna watu wanakunywa na wanapambania maisha yao vizuri na watoto wanasoma vizuri kabisa
Kufa tutakufa sawa,tafadhali muhimu
Sawa mkuu,nimekukubaliWell said 👏. Kama mtu hajafika huko anaweza asielewe unaongea nini hapa lkn huo ndio ukweli. Kuna umri ukifika utatamani urudishe miaka nyuma ili uweke mambo sawa lkn inakuwa too late. Kudos kwa wazee wazamani, unaweza ukamuona mzee yupo yupo tu, kawaida tu, kumbe bank ana akiba ya kutosha
Ni kweliSio wote wenye NEEMA ya kuwa kwenye siasa
Hapo ndipo pabaya,maana watoto wao watakosa vya kurithi.Tena vijana wa sasa hivi ndiyo wanatanua na mali za urithi sasa watoto wao sijui itakuwa je siku za usoni? MJISAHIHISHE HAMJACHELEWA!!!!!!
TrueAsante Mzee wangu.
"Save to Invest"
#YNWA
Za kuambiwa changanya na zako.Subiri yakukute utalia peke Yako,tutakusikia ila hatutakusaidia!
Sawa nayo ni maamuzi!Kwa kutishana huko sasa itafika watu wanakula bata huku anajiandalia sindano ya sumu, Uzee ukija akiona haelewi najifunga tu kuliko kuishi kwa mateso
Hapo Sasa!Chakuambiwa changanya na chako
Lakini sio maskini wa Mali!