Vijana wengi sio dhaifu (Simps) tatizo ni mitishamba

Vijana wengi sio dhaifu (Simps) tatizo ni mitishamba

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Tukitoa changamoto zingine zinawaandama vijana wa kiume ila hili la kuwa dhaifu (simp) kwa wapenzi wao ni changamoto inayozidi kuwa kubwa. Vijana wengi wamepoteza mwelekeo na kujikuta kwenye majuto baada ya kuingia kwenye mahusiano na wanawake makatili. Huku mtandaoni kumekuwa na wanaharakati wanaowaita vijana kama hao kwa jina baya la SIMP.

Kwa kiasi fulani nakiri kuwa kuna vijana wapumbavu wasioutumia vyama uanaume wao kwenye uhusiano. Ila wengi hujikuta kwenye matatizo baada ya mitishamba kufanya kazi (kulogwa).

Vijana wengi wanafanyiwa mambo ya kishirikina na kujikuta wanakuwa kama mazezeta mbele ya wanawake. Ukitoa wachungaji, mitume na manabii feki kuna kundi kubwa la waganga wa jadi wanaojitafunia hela za wanawake wanaoenda kuloga wanaume zao.

Kwa wale mnaojidanganya uchawi haupo endeleeni hivyohivyo hadi pale mtakapojikuta mikononi mwa hawa maharamia wa mapenzi. Kijana kama huwezi kufuata misingi ya dini yako ya Kikristo au kiislamu hakikisha unaenda huko Kigoma katikati ya Ziwa Tanganyika kujiweka sawa kimila ili kuepusha kuchezewa kijinga.

Kuna dogo mmoja hapa akiambiwa mwanamke wake kakutwa gesti na mwanaume mwingine yeye huenda kumuuliza huyo manzi kama ni kweli alivyoambiwa. Manzi humjibu kuwa hizo ni habari za uchonganishi. Dogo naye hukubaliana naye kiduwanzi.
 
Tukitoa changamoto zingine zinawaandama vijana wa kiume ila hili la kuwa dhaifu (simp) kwa wapenzi wao ni changamoto inayozidi kuwa kubwa. Vijana wengi wamepoteza mwelekeo na kujikuta kwenye majuto baada ya kuingia kwenye mahusiano na wanawake makatili. Huku mtandaoni kumekuwa na wanaharakati wanaowaita vijana kama hao kwa jina baya la SIMP.

Kwa kiasi fulani nakiri kuwa kuna vijana wapumbavu wasioutumia vyama uanaume wao kwenye uhusiano. Ila wengi hujikuta kwenye matatizo baada ya mitishamba kufanya kazi (kulogwa).

Vijana wengi wanafanyiwa mambo ya kishirikina na kujikuta wanakuwa kama mazezeta mbele ya wanawake. Ukitoa wachungaji, mitume na manabii feki kuna kundi kubwa la waganga wa jadi wanaojitafunia hela za wanawake wanaoenda kuloga wanaume zao.

Kwa wale mnaojidanganya uchawi haupo endeleeni hivyohivyo hadi pale mtakapojikuta mikononi mwa hawa maharamia wa mapenzi. Kijana kama huwezi kufuata misingi ya dini yako ya Kikristo au kiislamu hakikisha unaenda huko Kigoma katikati ya Ziwa Tanganyika kujiweka sawa kimila ili kuepusha kuchezewa kijinga.

Kuna dogo mmoja hapa akiambiwa mwanamke wake kakutwa gesti na mwanaume mwingine yeye huenda kumuuliza huyo manzi kama ni kweli alivyoambiwa. Manzi humjibu kuwa hizo ni habari za uchonganishi. Dogo naye hukubaliana naye kiduwanzi.
Simping ni kutokana na malezi, mwanaume analelewa kuwa kiumbe mwanamke ni cha kuonea huruma, na mwanaume ni wa kubeba mateso yote, mwanaume anakuwa raised akiaminishwa mwanamke hawezi fanya kosa, na akifanya sababu ni yeye, matokeo yake tunapata mwanaume asie na msimamo
 
Kuna hichi kamsemo sasa hivi baadhi ya wanaume wanatumia ili waonekana wastarabu eti.
Siwezi kumpiga mwanamke...i.eandikwa wap usimpige mtoto akikosea?kamsemo cha kijinga kweli me namtangwa kama unga..ndio haya mambo wanaletewa mambo ya baltazary,bora ibe lakini ajue akikamatwa na anakatwa bega
 
Tafuten hela maskin mwenzenu kamchoma mwanaume mwenzake kisa wivu wa mapenz oya matajir wenzangu tukutane mliman city nina jambo langu
 
Tukitoa changamoto zingine zinawaandama vijana wa kiume ila hili la kuwa dhaifu (simp) kwa wapenzi wao ni changamoto inayozidi kuwa kubwa. Vijana wengi wamepoteza mwelekeo na kujikuta kwenye majuto baada ya kuingia kwenye mahusiano na wanawake makatili. Huku mtandaoni kumekuwa na wanaharakati wanaowaita vijana kama hao kwa jina baya la SIMP.

Kwa kiasi fulani nakiri kuwa kuna vijana wapumbavu wasioutumia vyama uanaume wao kwenye uhusiano. Ila wengi hujikuta kwenye matatizo baada ya mitishamba kufanya kazi (kulogwa).

Vijana wengi wanafanyiwa mambo ya kishirikina na kujikuta wanakuwa kama mazezeta mbele ya wanawake. Ukitoa wachungaji, mitume na manabii feki kuna kundi kubwa la waganga wa jadi wanaojitafunia hela za wanawake wanaoenda kuloga wanaume zao.

Kwa wale mnaojidanganya uchawi haupo endeleeni hivyohivyo hadi pale mtakapojikuta mikononi mwa hawa maharamia wa mapenzi. Kijana kama huwezi kufuata misingi ya dini yako ya Kikristo au kiislamu hakikisha unaenda huko Kigoma katikati ya Ziwa Tanganyika kujiweka sawa kimila ili kuepusha kuchezewa kijinga.

Kuna dogo mmoja hapa akiambiwa mwanamke wake kakutwa gesti na mwanaume mwingine yeye huenda kumuuliza huyo manzi kama ni kweli alivyoambiwa. Manzi humjibu kuwa hizo ni habari za uchonganishi. Dogo naye hukubaliana naye kiduwanzi.
Simp kirefu chake ni nini?
 
Tafuten hela maskin mwenzenu kamchoma mwanaume mwenzake kisa wivu wa mapenz oya matajir wenzangu tukutane mliman city nina jambo langu
Unaenda angalia misambwanda ya warembo hapo mlimani city au sio
 
Simp kirefu chake ni nini?
Hicho sio kifupi, ndio neno kamili.

Simp (/sɪmp/) is an internet slang term describing someone who shows excessive sympathy and attention toward another person, typically to someone who does not reciprocate the same feelings, in pursuit of affection or a sexual relationship.
 
Hicho sio kifupi, ndio neno kamili.

Simp (/sɪmp/) is an internet slang term describing someone who shows excessive sympathy and attention toward another person, typically to someone who does not reciprocate the same feelings, in pursuit of affection or a sexual relationship.
Eeh sasa umeandika kingereza tena wakati nilishasemaga mie mwenzenu nikikuwa back bencher. The only english i know is "are we together?" Translate basi so that i comprehend 😜
 
Unachanganya maana ya neno "simp." Kirefu chake ni Simpleton. Simp ni internet slang yenye maana ya mtu anayeonyesha excessive attention, empathy na sympathy kwa mtu asiye-reciprocate the same treatment kwa kutegemea kupata sex au sexual attention, most of the time linakuwa-applied in a parasocial relationships. Sio kwa mtu mliye-engaged tayari. Kiufupi hilo neno halina maana intended kwenye Kiswahili.

Now naelewa kwanini unadhani kujua kiingereza ni kitu kikubwa. Let alone kudhani Rais wa nchi fulani anaongea fluent English. Learn your words simple internet person.
 
Unachanganya maana ya neno "simp." Kirefu chake ni Simpleton. Simp ni internet slang yenye maana ya mtu anayeonyesha excessive attention, empathy na sympathy kwa mtu asiye-reciprocate the same treatment kwa kutegemea kupata sex au sexual attention, most of the time linakuwa-applied in a parasocial relationships. Sio kwa mtu mliye-engaged tayari. Kiufupi hilo neno halina maana intended kwenye Kiswahili.

Now naelewa kwanini unadhani kujua kiingereza ni kitu kikubwa. Let alone kudhani Rais wa nchi fulani anaongea fluent English. Learn your words simple internet person.
Acha kulia lia hakuna babako humu.
 
Acha kulia lia hakuna babako humu.
Hahaha, Naona unakimbilia maneno yenu ya kitoto, I hit the nerve didn't I? Narudia tena, kiingereza ni kitu cha kawaida sana. It's nothing special. Kama ni kitu kikubwa ni kwako tu.

What a damn pathetic idiot. And you better learn the damn words!
 
Hahaha, Naona unakimbilia maneno yenu ya kitoto, I hit the nerve didn't I? Narudia tena, kiingereza ni kitu cha kawaida sana. It's nothing special. Kama ni kitu kikubwa ni kwako tu.

What a damn pathetic idiot. And you better learn the damn words!
Umekuja hadi kwenye huu uzi kulilia kuwa unajua kiingereza. Aibu hii. Siku moja hudhuria debate kwenye shule ya kata ujisikilize. Jinsi wanavyoongea ndo wewe unavyoongea.
 
Back
Top Bottom