Vijana wengi Watanzania asili ya Kiarabu na Wahindi wana Hela sana Dar, lakini hawatrendi na matukio kama wale wa Kitanzania na Afrika

Kiongozi umeandika bila nukta wala alama ya mkato, nimeona alama ya kuuliza tu.
 
H
Hela yenyewe ya poda
 
Kuna kitu ujaelewa wenye hizo asili wengi wao wameweka nje ya nchi za watu na mwisho wa siku unufaika waliopo hapa tanzania.
idi amin aliona mbali sana ila kwa vile kipindi kile alikuwa ditekta.
 
Kuna kitu ujaelewa wenye hizo asili wengi wao wameweka nje ya nchi za watu na mwisho wa siku unufaika waliopo hapa tanzania.
idi amin aliona mbali sana ila kwa vile kipindi kile alikuwa ditekta.
Idd amini hafai hata kwa kulumangia
 
Hakuna watu limbukeni kama hao vijana wa kiarabu na kihindi, binafsi nimetokea kuwadharau sana.
 
Watoto wa hayati Reginald Mengi, watoto wa mzee nani yule wa Precision, watoto wa mzee Kusaga unawasikia wapi? Wamezaliwa kwenye fedha, hao Wachagga baba zao wamefariki na wanaendelea ku run kampuni zilizo achwa na baba zao BUT unawasikia wapi? Sio Wahindi wala Waarabu wale but wapo kimya kama hawapo mjini vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…