CONNECTION NI KUFANYA KAZI NA UZALISHAJI MALI BAS. BAR MTU ANAENDA KUTULIZA AKILI BAADA YA KUFANYA KAZI AU BAADA YA KAZI. BAR NI KIJIWE CHA UMBEA WATU WANAKUTANA KUSTAREHESHA BARAZA.Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.
Hata kama sio Mlevi,... Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.
Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali... Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa , nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.
Sio lazima unywe ... Wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni.
Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.
Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!!.
Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale , akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!
Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo !!.
Nimewaibia Siri !!.
FANYENI KAZI NYIE