Vijana Wenzangu, Connection za Maisha zipo Bar na Kwenye Viwanja!

Vijana Wenzangu, Connection za Maisha zipo Bar na Kwenye Viwanja!

Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.

Hata kama sio Mlevi,... Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.

Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali... Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa , nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.


Sio lazima unywe ... Wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni.

Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.

Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!!.


Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale , akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!


Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo !!.


Nimewaibia Siri !!.
CONNECTION NI KUFANYA KAZI NA UZALISHAJI MALI BAS. BAR MTU ANAENDA KUTULIZA AKILI BAADA YA KUFANYA KAZI AU BAADA YA KAZI. BAR NI KIJIWE CHA UMBEA WATU WANAKUTANA KUSTAREHESHA BARAZA.

FANYENI KAZI NYIE
 
😂😂😂
Kule bar kuna maroho yanayomeza pesa.. Nilikuwa mwendaji mzuri sana wa bar connections nyingi sana pesa ilikuwa inakuja bila taarifa kutumia laki 5 kwa wiki kipindi hicho haikuwa shida.. Ila sijui zile pesa zilikuwa zinaenda wapi
Unaanza kunitisha Sasa Mkuu
 
Halafu vijana muelewe connection zinakuja jinsi unavyoishi. Sasa kama ngazi ya familia tu ni kero unadhani huku nje tutakuamini? Jitahidi kuanzia kwenye familia yako una nidhamu na unachapa kazi... mtaani kwako pia uwe na mahusiano mazuri na watu.

Kama huwa unaenda kanisani au msikitini hakikisha huko pia unaishi kwa namna ya kuaminika. Utashangaa unaletewa msosi mezani kabisa. Pambana sana kuwa na nidhamu na kufanya kazi kwa bidii hata kama ni kuosha vyombo nyumbani. Huko Bar kuna hatari nyingi mno.
 
Co
Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.

Hata kama sio Mlevi,... Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.

Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali... Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa , nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.


Sio lazima unywe ... Wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni.

Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.

Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!!.


Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale , akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!


Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo !!.


Nimewaibia Siri !!.
Connection za Bar nyingi ni vapour mkuu! Ungesema unafahamiana na watu tu basi! Lakini kupeana michongo ya maana ya biashara na hela ni kidogo sana ila maneno ni matamu sana!
 
CONNECTION NI KUFANYA KAZI NA UZALISHAJI MALI BAS. BAR MTU ANAENDA KUTULIZA AKILI BAADA YA KUFANYA KAZI AU BAADA YA KAZI. BAR NI KIJIWE CHA UMBEA WATU WANAKUTANA KUSTAREHESHA BARAZA.

FANYENI KAZI NYIE

Fanya kazi sanaz uwezavyo .... Usitegemee kua na Mahusiano ya watu wazito wazito ambao unaishia kuwaona kwenye TV, kama huchangamani kwenye sehem wanazopenda kuwepo.


Na nikupitia kuchangamana na watu, ndipo na Raman unacholewa .
 
Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.

Hata kama sio Mlevi,... Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.

Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali... Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa , nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.


Sio lazima unywe ... Wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni.

Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.

Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!!.


Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale , akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!


Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo !!.


Nimewaibia Siri !!.
Nakubaliana nawe mkuu, nilikutana na mtu mmoja mkubwa sana kwenye hii nchi sehemu ya urabu, connection aliyonipatia mpaka leo namshukuru.
 
Bar Kuna madili ya ovyo .. Connection zipo LinkedIn ila madogo hawataki wao kulamba lips TikTok na Instagram then ndo wanajifanya watoto wa town.

Kusema la haki nimekutana na watu wengi wa maana Facebook kushinda mitandao yote..
Facebook ina watu wa kila namna, binafsi imenikutanisha na watu wengi sana na imeninufaisha sio mara moja
 
Huko ndo kuwa chawa kwenyewe! Kuna gharama kuilinda koneksheni. Hao uliwataja wana mishahara, posho, milungura na upgaji mkubwa. Hawanywi tena serengeti wala konyagi.

Je unao uwezo wa kuwalewesha kwa mapombe ya hadh yao ya bei mbaya?

KAMA UNATAKA MICHONGO KUWA NA KONTENTI KICHWANI NA UCHANGIE MIJADALA KWA WELEDI.
Sio lazima kuwanunulia. Unaweza join pale counter au mezani ukachangia mada. Mm kuna koneksheni niliipata bar kwa jamaa mmoja kisa tuu nilimfurahisha nilipokuwa naibushania aseno against chelsea walipokuwa wanacheza.

Kumbe jamaa nae ni aseno damu. Akaniomba kila wkend niwe naenda pale kucheki epl. Then kuna dili moja akanipa na ikawa ni historia nyingine. Ila sikwenda pale purposely kutafuta koneksheni ni kama ilikuja enyewe
 
Nimekutana na mtu bar akaninulia [emoji481] beer nikajua nimekutana na mtu wa maana kilichonitokea Mungu anajua[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Sio lazima kuwanunulia. Unaweza join pale counter au mezani ukachangia mada. Mm kuna koneksheni niliipata bar kwa jamaa mmoja kisa tuu nilimfurahisha nilipokuwa naibushania aseno against chelsea walipokuwa wanacheza.

Kumbe jamaa nae ni aseno damu. Akaniomba kila wkend niwe naenda pale kucheki epl. Then kuna dili moja akanipa na ikawa ni historia nyingine. Ila sikwenda pale purposely kutafuta koneksheni ni kama ilikuja enyewe
Hii ndo trick nzuri
Go out to enjoy n mix in discussions
Sio kutuma vinywaji kwa wanaume wenzio
 
Back
Top Bottom