THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Pombe inaajiri kazi na pombe inafukuza kazi. Pombe inajenga na pombe inaharibu, unaweza kufanikiwa saana kwenye pombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaliwa kimasihara.
Pole sana mkuu.
Kaka, unacheza kamari na hela ya mkopo?Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.
Hata kama sio Mlevi,... Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.
Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali... Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa , nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.
Sio lazima unywe ... Wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni.
Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.
Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!!.
Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale , akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!
Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo !!.
Nimewaibia Siri !!.
Duh, pole mkuu.Sio hivyo kidogo nitapeliwe mkuu
ElezeaNimekutana na mtu bar akaninulia [emoji481] beer nikajua nimekutana na mtu wa maana kilichonitokea Mungu anajua[emoji24][emoji24][emoji24]
ElezeaSio hivyo kidogo nitapeliwe mkuu
Waeleze hao.Siyo kukaa kwenye jua kali wanabugia kahawa na kashata zilizolala wiki mbili.Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.
Hata kama sio Mlevi,... Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.
Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali... Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa , nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.
Sio lazima unywe ... Wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni.
Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.
Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!!.
Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale , akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!
Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo !!.
Nimewaibia Siri !!.
Ulishawahi fanyiwa au ndio unaowafanyia[emoji28][emoji23] ndio maana vijana wengi sikuhiz mnafirwa... Kumbe mna akili mbovu hivi...
Unafuatilia top top au hawa localDuuh kwakweli bado sijakutana na mtu aliyefanikiwa kwenye pombe zaidi ya kupata hasara tu.
Mambo ya hovyo kama yapi?Mkuu Mshana , Ukiwa mwenye uzoefu umenena , siwez kupinga .
Mimi sio Mlevi, na haitokaa Mimi kunywa pombe, , kidogo Ulevi wangu ni mbususu
Walakini nimekua na Tabia ya kutoka nakwenda viwanja kupunga upepo nakushangaaa watanzania.
Sio Bar za uchochoron ambazo ni Kuna madanga ya Buku ten ,na wanahitaji pombe tu.
Ni sehem ambazo ni za starehe hivi, muziki laivu bendi, Kuna nyama choma ya Kila aina n.k.
Hawa watu wenye konekishen, hawapendi Bar za uswazi na Wana mambo ya ovyo Giza linapoingia , ila Sasa unatulia unasoma mchezo .
[emoji38][emoji38]eti mtu mkubwa sana kwenye hii nchiNakubaliana nawe mkuu, nilikutana na mtu mmoja mkubwa sana kwenye hii nchi sehemu ya urabu, connection aliyonipatia mpaka leo namshukuru.
Duuh hii ndiyo jf[emoji38][emoji38][emoji38]Sio lazima kuwanunulia. Unaweza join pale counter au mezani ukachangia mada. Mm kuna koneksheni niliipata bar kwa jamaa mmoja kisa tuu nilimfurahisha nilipokuwa naibushania aseno against chelsea walipokuwa wanacheza.
Kumbe jamaa nae ni aseno damu. Akaniomba kila wkend niwe naenda pale kucheki epl. Then kuna dili moja akanipa na ikawa ni historia nyingine. Ila sikwenda pale purposely kutafuta koneksheni ni kama ilikuja enyewe
Dili gani utasikia kuuza viatu[emoji38][emoji38]Sio lazima kuwanunulia. Unaweza join pale counter au mezani ukachangia mada. Mm kuna koneksheni niliipata bar kwa jamaa mmoja kisa tuu nilimfurahisha nilipokuwa naibushania aseno against chelsea walipokuwa wanacheza.
Kumbe jamaa nae ni aseno damu. Akaniomba kila wkend niwe naenda pale kucheki epl. Then kuna dili moja akanipa na ikawa ni historia nyingine. Ila sikwenda pale purposely kutafuta koneksheni ni kama ilikuja enyewe
Kwenye maisha hukuna Dili ndogo Wala kwabwa inategemea upo kwenye hali gani na unahitaji niniDili gani utasikia kuuza viatu[emoji38][emoji38]