Vijana Wenzangu, Connection za Maisha zipo Bar na Kwenye Viwanja!

Pombe inaajiri kazi na pombe inafukuza kazi. Pombe inajenga na pombe inaharibu, unaweza kufanikiwa saana kwenye pombe.
 
Kaka, unacheza kamari na hela ya mkopo?
 
Waeleze hao.Siyo kukaa kwenye jua kali wanabugia kahawa na kashata zilizolala wiki mbili.
 
😅😂 ndio maana vijana wengi sikuhiz mnafirwa... Kumbe mna akili mbovu hivi...
 
Duuh kwakweli bado sijakutana na mtu aliyefanikiwa kwenye pombe zaidi ya kupata hasara tu.
 
[emoji28][emoji23] ndio maana vijana wengi sikuhiz mnafirwa... Kumbe mna akili mbovu hivi...
Ulishawahi fanyiwa au ndio unaowafanyia



Kuna Mzee alikuwa analewesha vijana anawalawiti ulizia kilichompata na kama Kuna mtu alishikwa ndio utajua mambo vizuri
 
Mambo ya hovyo kama yapi?
 
Duuh hii ndiyo jf[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Dili gani utasikia kuuza viatu[emoji38][emoji38]
 
Vaa vizuri pendeza nenda sehemu expensive utakutana na expensive people na Hawa wana connection na wako informative...

Ukienda cheap places utakutana na cheap people na cheap people can not take you any where... Zaidi ya hasara za hapa na pale & vice versa is true...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…