Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
...🤔🤔🤔.. duh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...🤔🤔🤔.. duh!
Niko Mafia nikifika Msata ninaweza kupata updates
Jr[emoji769]
Uko mafia sehem gani mkuu? Usisahau kupitia hapo Ibiza maeneo ya kilindoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehe teheKama mazoezi yenyewe ni yale ya kupigwa na matofali kichwani halafu ukute mjeda mwenyewe aliye mafunzoni ni mtoto wa mama ataachaje kufwa wajameni.....
Sent using Jamii Forums mobile app
May be ilikuwa ajali tu.
Hata mafunzo ya kikomando hawawezi kufa askari wanafunzi 10 kwa mkupuo.
Tatizo maaaskari wa vyeo vya chini wanapoachiwa kusimamia vijana wanawapa mafunzo na kazi ambazo haziko kwenye ratiba ya mafunzo.
Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake, mto una maji mengi anatokea kichaa mmoja anawalazimisha vijana waingie kuogelea huku wengine tangu wazaliwe hawajawahi kuugusa hata mfereji.
Hapa ndipo Ajali huweza kutokea
Yaani wale makoplo ni shida sana! Tena usimkute mkufunzi ana stress au kwenye platoon yenu kuwe na demu anamtaka, haaaa haaaa haaaa mbona mtaivaUmeongea ya kweli kabisa
Ata enzi niko kule JKT kulikuwa na watafuta sifa, wanaona wakifanya hivyo wataonekana vidume zaidi na kupata madem kirahisi
Sent from my iPhone using JamiiForums
JKT ni kitengo ndani ya JWTZ.Sio JKT ni JWTZ
[emoji3][emoji3][emoji3] aki nmecheka ingawa sio Cha kuchekeshaau walikuwa kwenye lile zoezi la kupigwa na tofali utosini??
mkuu hii inatokana na nini maana wale walitoka kwenye zoezi la ruti na haikua ndefu sana kufika kikosini wakaanza kuanguka tu.