Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Mafunzo yaliiva na morari kede
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
marehemu wanafika wangapi?Ila nasikia kwenye kozi akifa mtu ndo inaonekana kozi imewaivisha vijana,Daaah Anyway Nimempoteza rafiki yangu kipenzi .RIP Venance. figganigga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yatolewe na jwtz sio ramli kama hizi. Hujui kilichotokea, watueleze.May be ilikuwa ajali tu.
Hata mafunzo ya kikomando hawawezi kufa askari wanafunzi 10 kwa mkupuo. Tatizo maaaskari wa vyeo vya chini wanapoachiwa kusimamia vijana wanawapa mafunzo na kazi ambazo haziko kwenye ratiba ya mafunzo.
Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake, mto una maji mengi anatokea kichaa mmoja anawalazimisha vijana waingie kuogelea huku wengine tangu wazaliwe hawajawahi kuugusa hata mfereji.
Hapa ndipo Ajali huweza kutokea.
Tunaomba utujuze mkuuNiko Mafia nikifika Msata ninaweza kupata updates
Jr[emoji769]
Mambo mengine ya kijeshi hayasemwi.
Kule mbwa na farasi walimimbia kifaru peke yake aliweza kuvumilia mpaa sasa yuko hukoDepo huwaga si mchezo wa kitoto.
5/5
May be ilikuwa ajali tu.
Hata mafunzo ya kikomando hawawezi kufa askari wanafunzi 10 kwa mkupuo. Tatizo maaaskari wa vyeo vya chini wanapoachiwa kusimamia vijana wanawapa mafunzo na kazi ambazo haziko kwenye ratiba ya mafunzo.
Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake, mto una maji mengi anatokea kichaa mmoja anawalazimisha vijana waingie kuogelea huku wengine tangu wazaliwe hawajawahi kuugusa hata mfereji.
Hapa ndipo Ajali huweza kutokea.
Tusubiri taarifa Rasmi ya jeshi
au walikuwa kwenye lile zoezi la kupigwa na tofali utosini??
wamefariki ata bado awajala tunda kimasihara..manake wanajeshi nasikia huwa wanaliana kimasihara..anyway R.I.P.
Hata siku moja hawawezi kutoa idadi kamili ya vifoTusubiri taarifa Rasmi ya jeshi
Tumepishana. aiseeDah Ibiza.. My favorite guest... Niko hapa kwenye mishe ya prawns.. Nisipoondoka leo tukutane Ibiza jioni tafadhali
Jr[emoji769]
Msalimie rasi nyoka uko mafiaNiko Mafia nikifika Msata ninaweza kupata updates
Jr[emoji769]
Ila nasikia kwenye kozi akifa mtu ndo inaonekana kozi imewaivisha vijana,Daaah Anyway Nimempoteza rafiki yangu kipenzi .RIP Venance. figganigga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Israel yupo kazini kunyakua roho za watu.Habari za vifo zimeanza sasa. Ndani ya wiki 1 roho zaidi ya 50 zimepotea. Mungu atuepushie mabalaa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wale makoplo ni shida sana! Tena usimkute mkufunzi ana stress au kwenye platoon yenu kuwe na demu anamtaka, haaaa haaaa haaaa mbona mtaiva
Sent using Jamii Forums mobile app