Vijana wetu 10 waliokuwa kwenye mafunzo ya JWTZ wamepoteza maisha

Vijana wetu 10 waliokuwa kwenye mafunzo ya JWTZ wamepoteza maisha

Nitakua wa mwisho kuamini kuwa ni mafunzo ndio yalisababisha.

Wamefia mafunzoni lakini bado siamini kuwa mafunzo ndio yaliyopelekea vifo vitokee.

So sad.
 
May be ilikuwa ajali tu.

Hata mafunzo ya kikomando hawawezi kufa askari wanafunzi 10 kwa mkupuo. Tatizo maaaskari wa vyeo vya chini wanapoachiwa kusimamia vijana wanawapa mafunzo na kazi ambazo haziko kwenye ratiba ya mafunzo.

Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake, mto una maji mengi anatokea kichaa mmoja anawalazimisha vijana waingie kuogelea huku wengine tangu wazaliwe hawajawahi kuugusa hata mfereji.

Hapa ndipo Ajali huweza kutokea.
Maelezo yatolewe na jwtz sio ramli kama hizi. Hujui kilichotokea, watueleze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha siku tulikroo sehemu senyenge zimesukwa kiasi kwamba ukinyanyua mgongo kidogo tuu umeisha umbe kulikuwa hakujafanyiw usafi siku nyingi (japo ni sehemu maalum kwa kazi hiyo)kumbe kuna manyingu bhana yaani wee acha tuliipata fresh
May be ilikuwa ajali tu.

Hata mafunzo ya kikomando hawawezi kufa askari wanafunzi 10 kwa mkupuo. Tatizo maaaskari wa vyeo vya chini wanapoachiwa kusimamia vijana wanawapa mafunzo na kazi ambazo haziko kwenye ratiba ya mafunzo.

Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake, mto una maji mengi anatokea kichaa mmoja anawalazimisha vijana waingie kuogelea huku wengine tangu wazaliwe hawajawahi kuugusa hata mfereji.

Hapa ndipo Ajali huweza kutokea.
 
Naomba msaada kuwa hii ikoje, vifo vimetikea January 30,
Lakini orodha ya waliokufa sijaiona.
Hi inakuwaje?
Screenshot_20200203-191602_Chrome.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom