Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona faida ya kukesha jeshini mimi.Mkuu kumbuka wapo kwenye mkesha so wanachoka sana hata ukiwapeleka km 10 wataona nikama 100
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lakini mkesha na staili ya vifo vyao ni tofauti,watu 10+ kufa ndani ya siku moja sio kawaida,tatizo sio umbali ila ni aina ya vifo vyaoMkuu kumbuka wapo kwenye mkesha so wanachoka sana hata ukiwapeleka km 10 wataona nikama 100
Sent using Jamii Forums mobile app
1:ABDALLAH RASHID ABDALLAHNaomba msaada kuwa hii ikoje, vifo vimetikea January 30,
Lakini orodha ya waliokufa sijaiona.
Hi inakuwaje? View attachment 1345564
Sent using Jamii Forums mobile app
ni Kamandi ya jeshi la wananchiJkt ni jeshi lililo kamilika kama majeshi mengine
Yani nikisikia mafia huwa napata hisia nisehemu ambayo sio tanzania.Uko mafia sehem gani mkuu? Usisahau kupitia hapo Ibiza maeneo ya kilindoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
'Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake'
No wonder jamaa hua wanawaita wenzao(police) ni raia wakakamavu.
dodge
sijakuelewa
1:ABDALLAH RASHID ABDALLAH
2:ISSA SHABAN TOZO
3:YOHANA EFRILAHA MZAVA
4:ANDREW LAWRENCE SOMOINE
5:GIFT EMMANUEL SIMWANGA
6:ATHUMAN KHAMIS MOHAMMED
7😛ATRICK ZENOBI MWANGAMA
8:MUBARAKH RAMADHAN MWENDEKI
9:KASSIM ALLY MTULIA
10:VENANCE JUVENANCE MSABILA
Jkt ingekuwa jeshi bila shaka ingekuwa na wanajeshi wake binafsi lakini nakwambia kamandi maana ipo chini ya JW na wale wanajeshi ni waajiriwa Wa jeshi La wananchi.ndio maana hata mkuu Wa Jkt mwenyewe ni mwajiriwa Wa jeshi la wananchi na anafanya kazi zake chini ya miongozo na miiko ya jeshi la wananchi Wa Tanzania.Tangu lini kamandi ikawa na mkuu wake anae teuliwa na Rais.???
JKT ni jeshi lililo kamilika na ndio maana lina mkuu wake na lina vikosi vyake.
Nahitaji kujua majina yao aisee,,duuu kuna mmoja maiki wangu yupo huko aisee
DohUmenikumbusha siku tulikroo sehemu senyenge zimesukwa kiasi kwamba ukinyanyua mgongo kidogo tuu umeisha umbe kulikuwa hakujafanyiw usafi siku nyingi (japo ni sehemu maalum kwa kazi hiyo)kumbe kuna manyingu bhana yaani wee acha tuliipata fresh
Sawa mkuu itakuwa kweli maana sijawahi kufanya kazi jeshini wala chombo chochote cha ulinzi.Wewe private sijui koplo wa jwtz inasikitisha kuona mpaka saivi hujui maana ya jkt.
Kwa hiyo hata kamandi za jwtz hujui zipo ngapi? [emoji44][emoji44] hebu tusibishane sana nenda kwa CO wako muulize kamandi za jwtz zipo ngapi na akupe na majina yake ukikuta jina la jkt njoo tuendelee na mada yetu.
bora ufight tu na mishe zako huko jkt vijana wanapoteza mda na ajira hamna
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi kwa Africa ni mojawapo ya kazi za kijinga kuwahi kutokea
Vijana wa JKT wakiingia police mara nyingi hupangiwa FFU wanawadharau sana police wenzao ambao hawakutokea jkt
Utaambiwa kafara...Inna lilahi waina ilaihi rajiuun
Kila nafsi itaonja umauti,,,wengine watasema wamerogwa, wamekufa majini mara mazoezini,,,siku zimefika tu.
Eti pushup wanapiga kwenye godoro.Police huwa tunawaita wanafunzi, wanapiga pushup kwenye godoro[emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila kweli mwalimu ni mjinga kweli..maana ndiye anazalisha..raisi....mawaziri..madaktari..wanajeshi.. engineers malecture.nk...halafu yeye anadharaulika kimaslahi na kijamii mfano hakuna!Bora wanajeshi kuliko walimu