Vijana wetu 10 waliokuwa kwenye mafunzo ya JWTZ wamepoteza maisha

Kama mazoezi yenyewe ni yale ya kupigwa na matofali kichwani halafu ukute mjeda mwenyewe aliye mafunzoni ni mtoto wa mama ataachaje kufwa wajameni.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Umeongea ya kweli kabisa
Ata enzi niko kule JKT kulikuwa na watafuta sifa, wanaona wakifanya hivyo wataonekana vidume zaidi na kupata madem kirahisi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umeongea ya kweli kabisa
Ata enzi niko kule JKT kulikuwa na watafuta sifa, wanaona wakifanya hivyo wataonekana vidume zaidi na kupata madem kirahisi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani wale makoplo ni shida sana! Tena usimkute mkufunzi ana stress au kwenye platoon yenu kuwe na demu anamtaka, haaaa haaaa haaaa mbona mtaiva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…