Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kama kweli Wewe siyo mfia chama sasa imekuwaje umechomekea hili?Ukiweza kusoma bila kutanguliza hisia utajua kuwa sisi wengine siyo wafia vyama...tunalima na kupongeza kotekote fairly
Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda].
Kama kweli Wewe siyo mfia chama sasa imekuwaje umechomekea hili?
Ndugu zangu nyie mnapenda sana kufanya utani unaofanana na ukweli!Mengine ni utani tu na wewe!
Si wengine hatuchukulii kila kitu cha humu kimaanani kivile.Ndugu zangu nyie mnapenda sana kufanya utani unaofanana na ukweli!
Basi wabunge wa CCM watakuwa ni mazuzu kweli.
Hao wabunge wana uwezo wa kuwapamgia CCM kwamba Rais asiwe mwenyekiti wa chama?!
Dah!This is a fact
kwa hawa wabunge wetu wa ndiooo umajisumbua hasa ukizingatia wao ndio wengi bungeniKwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.
Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda[emoji23]].
Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.
Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.
Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.
Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.
Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.
Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.
Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.
Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
Wale ndio Mzee wa kijani hawana hiyo nguvu. Na hivi kuna SMG ndo hawatajaribu kabisa. Sahau ndugu yangu sisi tumemwachia Mungu atoe hukumuKwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.
Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda[emoji23]].
Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.
Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.
Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.
Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.
Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.
Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.
Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.
Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
CCM ni laana ya taifa.Ndio umejua leo!? Hao huwa wanaunga mkono chochote anachosema mwenyekiti wao. Umewahi kuona wapi mtu anapata kura asilimia mia. Na wale wanaonyesha kupinga wanazuiwa kuingia kwenye vikao vya maamuzi.
Kama upendi saga chupa ubwie mnafki mkubwa wewe.Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.
Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda[emoji23]].
Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.
Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.
Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.
Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.
Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.
Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.
Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.
Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
Ufahamu umekurudia wewe LB 7Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.
Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda[emoji23]].
Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.
Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.
Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.
Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.
Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.
Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.
Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.
Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
Yeye mwenyewe ni mbuzi tu.unapigia mbuzi gitaa.
Usichokijuwa tu ni kwamba hao wote wawili ni wasukuma.Nyani Ngabu katika ubora wake leo, naona leo mmeamua wewe na Mzee Mwanakijiji kutoa single moja.
Sisi wananchi tunapongeza Rais kufanyia vikao ikulu kwani tumeshachoka kusimamishwa barabarani masaa matatu kisa msafara."Mwenyekiti wa CCM kamuomba Rais" kufanyia vikao vya CCM ikulu. Nahisi hivyo.
Dah!
Unajua kuna mambo mengine mtu unadhani ni common sense tu....kwamba they are a no-brainer...lakini unakuta kuna mamtu hayaoni na hayaelewi.
I mean...suala kama hili la CCM kufanya mikutano yao ikulu ni jambo ambalo wala halihitaji mjadala kabisa. Ni suala ambalo mtu yeyote kwa kutumia busara tu za kawaida anapaswa alione kuwa si sahihi katika mazingira [ya vyama vingi] tuliyonayo!
Moja ya mambo ambayo nilikuwa japo na matumaini kidogo na huyu Ngosha lilikuwa ni hili la CCM kufanyia mikutano ikulu.
Nilidhani [maybe naively] kwamba kwa vile jamaa anajipambanua kuwa ni a no-nonsense guy basi labda atauondolea mbali huo utaratibu lakini wapi!
Hii nchi bana....