Vikao vya watu wenye akili na vya wajinga utofauti wake

Vikao vya watu wenye akili na vya wajinga utofauti wake

Tatizo linaazia hapa....

AKILIIII-696x538.png
 
Wajinga ni wengi- sio tu Bungeni bali hata huko kwenye vyama vya siasa, eti wanataka kukaa hadi wafikishe miaka 68 na ukiwauliza wana lipi la tofauti wanasema mtangulizi wao alikuwa hivyo- pathetic. Mwingine yuko huko anangangania awamu ya 3 badala ya Kulea wajukuu…
Ujinga ni mwingi- sijui tutafika lini Age of Enlightenment?
 
Mabunge mengi hata ya weupe mtifuano ni mkali tu.Kuna wakati hisia huzidi na mieleka, ngumi, karate,judo,kutupiana chupa, kutukanana, kuzomeana kumeshuhudiwa Taiwan, Korea Kusini, Uingereza,Israel,Nepal, New Zealand, Venezuela n.k. Ni mabunge machache tu yenye utulivu wa kweli mathalani Uswisi. Yale ya Korea Kaskazini na China ya zidumu fikra za Mwenyekiti ambayo ni ya ndiyo mzee kuliko ya kwetu huwa na utulivu wa kukwepa adhabu na mara nyingi mambo huwa yameamuliwa kwenye kamati mbalimbali hivyo ni mwendo wa kutulia tu usionekane mtata. Sishabikii hayo mambo ya kina Lugola na vituko vingine vingi visivo tija ila bunge kwa namna moja linaakisi 'sehemu' ya jamii linalowakilishwa.
 
Mabunge mengi hata ya weupe mtifuano ni mkali tu.Kuna wakati hisia huzidi na mieleka, ngumi, karate,judo,kutupiana chupa, kutukanana, kuzomeana kumeshuhudiwa Taiwan, Korea Kusini, Uingereza,Israel,Nepal, New Zealand, Venezuela n.k. Ni mabunge machache tu yenye utulivu wa kweli mathalani Uswisi. Yale ya Korea Kaskazini na China ya zidumu fikra za Mwenyekiti ambayo ni ya ndiyo mzee kuliko ya kwetu huwa na utulivu wa kukwepa adhabu na mara nyingi mambo huwa yameamuliwa kwenye kamati mbalimbali hivyo ni mwendo wa kutulia tu usionekane mtata. Sishabikii hayo mambo ya kina Lugola na vituko vingine vingi visivo tija ila bunge kwa namna moja linaakisi 'sehemu' ya jamii linalowakilishwa.
Ila kupiga sarakasi na utani wa Simba na Yanga bungeni ni sisi tu.
 
Back
Top Bottom