CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Eti mtu anasema Mbowe ni Alfa na Omega, hakika majuha ni wengi sana.Wajinga ni wengi- sio tu Bungeni bali hata huko kwenye vyama vya siasa, eti wanataka kukaa hadi wafikishe miaka 68 na ukiwauliza wana lipi la tofauti wanasema mtangulizi wao alikuwa hivyo- pathetic. Mwingine yuko huko anangangania awamu ya 3 badala ya Kulea wajukuu…
Ujinga ni mwingi- sijui tutafika lini Age of Enlightenment?
Hiyo ni sawa na kupiga punyetoNi hatari mtu anapouamini uongo aliotunga yeye mwenyewe.
Unahonga muamuzi halafu unasherehekea ushindi.
Hata nyinyi mnao ongozwa ni wajinga vile vile.Sisi tunaongozwa na wajinga haswa
Sawa.china ni ndio mzee vipi maendeleo ya taifa.Mabunge mengi hata ya weupe mtifuano ni mkali tu.Kuna wakati hisia huzidi na mieleka, ngumi, karate,judo,kutupiana chupa, kutukanana, kuzomeana kumeshuhudiwa Taiwan, Korea Kusini, Uingereza,Israel,Nepal, New Zealand, Venezuela n.k. Ni mabunge machache tu yenye utulivu wa kweli mathalani Uswisi. Yale ya Korea Kaskazini na China ya zidumu fikra za Mwenyekiti ambayo ni ya ndiyo mzee kuliko ya kwetu huwa na utulivu wa kukwepa adhabu na mara nyingi mambo huwa yameamuliwa kwenye kamati mbalimbali hivyo ni mwendo wa kutulia tu usionekane mtata. Sishabikii hayo mambo ya kina Lugola na vituko vingine vingi visivo tija ila bunge kwa namna moja linaakisi 'sehemu' ya jamii linalowakilishwa.
Ukiwemo wewe mkuuHata nyinyi mnao ongozwa ni wajinga vile vile.
Lakini wamelipataWajinga bado ni neno bora
kiongozi wa nchi anaandamana na Dotto Magari(huyu ni fundi wa matusi).Watu wenye akili utawatambua tu namna walivyo serious kwenye mambo ya msingi yanayohusu nchi.
Humu kugonga meza hovyo hovyo kama wendawazimu walio changanyikiwa huwezi kuta hawa watu wanafanya.
Makelele ya kijinga yasiyo na tija huwezi kuyasikia humu.
Vituko vya kijinga ni ngumu kujadiliwa,kupewa nafasi humu
Unaweza fikiri wote ni wanafunzi wapo kwenye chumba cha mtihani kumbe ni watu wazima wanajadili mambo ya msingiView attachment 3193586View attachment 3193588View attachment 3193595View attachment 3193598View attachment 3193599 Haya sasa vikao vya watu wajinga huku.
Utani wa Simba na Yanga unaletwa katika mambo muhimu ya kitaifa
Vituko vya watu kuruka sarakasi, mara kulia, mara kutaka kupigana ngumi.
Kutambiana mambo ya uchawi, mizaha katika kujadili bajeti.
Kogonga gonga meza hovyo, makelele yasiyo na tija kama vile sokoniView attachment 3193625View attachment 3193626View attachment 3193627View attachment 3193628View attachment 3193629View attachment 3193630View attachment 3193632
Muda mwingine ni rahisi kung'amua wajinga na wenye akili
MakubwaSawa.china ni ndio mzee vipi maendeleo ya taifa.
Wagonga Meza Tu Na Kuchukua SalaryTunabunge la hovyo mno ndg zangu. Ccm wengi wao ni wajinga akiwemo na mbunge wangu
Wanaotuangusha ni wajumbe kupenda rushwa aseeWagonga Meza Tu Na Kuchukua Salary