Vikoba, upatu, vyanzo vya wake za watu wengi kuchepuka

Hela za vikoba .wisho wa Mwaka anavuna 2M wewe umeambulia Mbususu mwaka mzima
 
Na hapo anajiona sababu ni mzuri kuna Msukuma.wake ananpa peda bila kujiuliza uliza.

Hapo ukijichomeka braza umekwisha utabaki kuilaumu ccm na mafisadi πŸ˜…πŸ˜…
 
Mshukuru sana huyo malaika wa Mungu aliyekushukia! 😁😁😁
 
Wanawake wanaojiingiza kwenye hiyo michezo mingi kwa wakati mmoja, wengi wao wangawa sana, hili swala watalipinga kwa nguvu kuficha aibu lakini tunawaona mtaani wanavyo sulubika, afu kwavile wanaingiliwa na wanaume tofauti tofauti hata nuru usoni wamepoteza
 
Ukiwa makini utajua, japo ni wasiri kweli ila kuna vishiria vingi vya kuona wanachofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…