Hapo ndo hawezi piga ndege wawili kwa jiwe Moja, vigezo na mashart kuzingatiwa, no job, no vikoba, no business, no marafiki, hiyo unaitwa Stay home.Anataka bado kuhudumiwa na wewe huku akibadilisha ladha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo hawezi piga ndege wawili kwa jiwe Moja, vigezo na mashart kuzingatiwa, no job, no vikoba, no business, no marafiki, hiyo unaitwa Stay home.Anataka bado kuhudumiwa na wewe huku akibadilisha ladha
Duh! Wee kiboko. Ila ahikilia hapo hapoHapo ndo hawezi piga ndege wawili kwa jiwe Moja, vigezo na mashart kuzingatiwa, no job, no vikoba, no business, no marafiki, hiyo unaitwa Stay home.
Hapo hapaachiwi, otherwise unakula za usoDuh! Wee kiboko. Ila ahikilia hapo hapo
Yani Solomoni unalitendea hali jina lako vilivyoo 😂😂😂 na unawakandaa mzee bwana mtumishiisio wote ndio ila tulioko field tunawaona wanavyojaa kwenye radar...
Tena 20k nyingi sana, wengine wanatoa free ili kujiwekea uhakika wa rejesho lijalo😅😅
View attachment 3223301
hhhhahWacha wakope tuwagonge vzr
Umeninukuu vibaya Tena sana akili yako umeipeleka mbali kana kwamba nahitaji zaid ya 20 Ili kulala na mtu 🙄🙄 hellow sio Kila mtu Yuko unavotafakari na ubongo wako au kuona mtu ame comment sehem bas ndo ukavusha na akili yako kwamba hebu acha kuchukulia Kila mwanamke kwenye negative way mnawakosea watu Kwa fikra zenu potofuKwenye comment yako ulionesha 20K ni ndogo kulala na mwanume. Ndio maana nikakuuliza hvyo.
Pengine una kiwango chako.
Kwenye comment yako ulionesha 20K ni ndogo kulala na mwanume. Ndio maana nikakuuliza hvyo.
Pengine una kiwango chako.
Haya sorry sana mwanamke.Umeninukuu vibaya Tena sana akili yako umeipeleka mbali kana kwamba nahitaji zaid ya 20 Ili kulala na mtu 🙄🙄 hellow sio Kila mtu Yuko unavotafakari na ubongo wako au kuona mtu ame comment sehem bas ndo ukavusha na akili yako kwamba hebu acha kuchukulia Kila mwanamke kwenye negative way mnawakosea watu Kwa fikra zenu potofu
Nawadharau mwanamke anayelala na mwanaume sababu ya 20 wakat mtu akipika uji siku tatu anazaid ya iyo elf 20 Sasa wewe akili yako ukaipelekaa mbal so sorry kipenz
Ni kwamba wanatofautiana dau.Haya
Haya sorry sana mwanamke.
Pengine comment yako nilielewa vibaya, ila akili yangu haikufikiria mbali, nilikuuliza tuu swali.
Mfano hapo kwenye paragraph ya mwisho umesema , unamdharau mwanamke anaelala na mwanaume sababu ya elf 20.
Bado unatengeneza maswali,
Je mwanmke aenalala na mwanaume sababu ya milioni 1,
Huyu humdharau?
KAma ni hivyo haina haja ya kumdharau mwingine, maana wote lengo mojaNi kwamba wanatofautiana dau.
Jf bwana eti 20k sio hela kubwaya kutoa uchi....naona sasa people wana hukulia poa hela in a country where majority live under a dollar a dayUmeninukuu vibaya Tena sana akili yako umeipeleka mbali kana kwamba nahitaji zaid ya 20 Ili kulala na mtu 🙄🙄 hellow sio Kila mtu Yuko unavotafakari na ubongo wako au kuona mtu ame comment sehem bas ndo ukavusha na akili yako kwamba hebu acha kuchukulia Kila mwanamke kwenye negative way mnawakosea watu Kwa fikra zenu potofu
Nawadharau mwanamke anayelala na mwanaume sababu ya 20 wakat mtu akipika uji siku tatu anazaid ya iyo elf 20 Sasa wewe akili yako ukaipelekaa mbal so sorry kipenz
Madame B I miss youHuo ndio ukweli.
Anaerejesha 300k kila mwezi na anaerejesha 50K kila mwezi, wanagongwa kwa bei tofauti tofauti.KAma ni hivyo haina haja ya kumdharau mwingine, maana wote lengo moja
Je wanaopewa laki 5 na trip za dubai kama misa? Hao huwadharau?? Tusidanganyane mkuu kila mwanamke ana pricetag ndo mana unashupalia huwez kwa elf 20 akati umeulizwa ingekua 100k je? Hapo huo uji atatembeza siku ngap na vicoba wamemkalia kooni rejesho? Kwa mbaali labda mwanamke anaeweza kusema hana price ni yule kaolewa bikra kwa kujitunza na kukwepa vishawishi basi! But na yeye kuna wakali hajakutana nao tu.Nawadharau mwanamke anayelala na mwanaume sababu ya 20 wakat mtu akipika uji siku tatu anazaid ya iyo elf 20 Sasa wewe akili yako ukaipelekaa mbal so sorry kipenz
Ficha jina mkuusio wote ndio ila tulioko field tunawaona wanavyojaa kwenye radar...
Tena 20k nyingi sana, wengine wanatoa free ili kujiwekea uhakika wa rejesho lijalo😅😅
View attachment 3223301
Kama ni mtafutaji sio hela yakumfanya mwanamke kujiuza hao wanaomba omba ni kwamba wanapenda vya Bure mie nasema 20k sio hela kwangu sababu najua kuzichangaJf bwana eti 20k sio hela kubwaya kutoa uchi....naona sasa people wana hukulia poa hela in a country where majority live under a dollar a day
umejuaje mkuu?Yani Solomoni unalitendea hali jina lako vilivyoo 😂😂😂 na unawakandaa mzee bwana mtumishii
Kwan hamisa anajiuzza?? Yule ni mpenz wake he can do anything for kama mentality zenu zinasema hamisa anajiuzza sawa ila mim nachojua wale ni watu wenye mahusiano na mwanaume ameona amtoe mpenz wake out wanaume wa tz mnaona kero na kuumia kuona mwanaume anaspend pesa zake Kwa mwanamke wake mwisho wake ndo et mwanamke anajiuza hamjawah kua positive na hii ni sababu pesa hamna hizi kelele zisingekuwepoJe wanaopewa laki 5 na trip za dubai kama misa? Hao huwadharau?? Tusidanganyane mkuu kila mwanamke ana pricetag ndo mana unashupalia huwez kwa elf 20 akati umeulizwa ingekua 100k je? Hapo huo uji atatembeza siku ngap na vicoba wamemkalia kooni rejesho? Kwa mbaali labda mwanamke anaeweza kusema hana price ni yule kaolewa bikra kwa kujitunza na kukwepa vishawishi basi! But na yeye kuna wakali hajakutana nao tu.
Na hakuna Cha maana wanafanya...!Wakuu, kama kama mkeo anacheza upatu, vikoba etc. Ana you asilimia kubwa sana za kuchepuka.
Kibaya zaidi hawa wake zetu wanacheza hii michezo kwa siri.
Unakuta mkeo ana mchezo wa buku kwa siku, elfu kumi kila ijumaa, ana mchezo wa elfu 10 kwa mwezi wapo 50, laki mbili kwa mwezi wapo kumi.
Ana kikoba kila week anapeleka elfu 30, mwisho wa mwezi anapeleka elfu 50, kiingilio cha kikoba 200,000, broo utagongewa tu, kibaya zaidi wanacheza kwa siri.
Hata pale anapokwama anaona nongwa kukueleza, anajikuta anashawishika huko nje. Haoni shida kuutoa mwili wake atatue shida zake (asiaibike)
Vikoba vinawapeleka puta wanawake wanahaha kutafuta pesa za marejesho, siyo waajiriwa, wafanya biashara, mama wa nyumbani.