Vikosi vya Israel vinawashambulia kikatili Wakisto wa Orthodox huko Jerusalem kwa kupinga mauaji ya halaiki huko Gaza

Vikosi vya Israel vinawashambulia kikatili Wakisto wa Orthodox huko Jerusalem kwa kupinga mauaji ya halaiki huko Gaza

Dini zote zililetwa.
Allah ni mungu wa kiarabu na anasikia lugha moja tu ya kiarabu.
Wewe ngozi nyeusi unayejifananisha na mwaarabu, bila kutumia lugha ya mwaarabu hakusikii. Hata bila kuvaa nguo za waarabo allah hakutaki.
Hii hatari.
 
Aitotokea myahudi kumshambulia myahudi. Alafu Kuna mkristo gani hapo anapigwa? Sikia hakuna mkristo utamwingizia chuki awachukie wayahudi.hilo wamefanikiwa waarabu tu kwa waislamu
Hakuna muislam anaye wachukia wayahudi kwa sababu kuna wayahudi kibao wanaishi ndani ya nchi za muislam na wanaishi vizuri tu na waisilam.

Wenye chuki na wayahudi ni nyinyi maana wakristo ndo wana historia ya kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi na sio waisilam.

Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa wakristo wanao jipendekeza kwa wayahudi ni nyinyi warokole kutoka bara la giza na sio wakristo wote duniani.

Mfano ukienda America ya kusini ni mataifa ya wakatoriki lmlakini jaribu kuwakejeli wapalestina uone kama hujaenda jela.
 
Hakuna muislam anaye wachukia wayahudi kwa sababu kuna wayahudi kibao wanaishi ndani ya nchi za muislam na wanaishi vizuri tu na waisilam.

Wenye chuki na wayahudi ni nyinyi maana wakristo ndo wana historia ya kufanya maangamizi dhidi ya wayahudi na sio waisilam.

Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa wakristo wanao jipendekeza kwa wayahudi ni nyinyi warokole kutoka bara la giza na sio wakristo wote duniani.

Mfano ukienda America ya kusini ni mataifa ya wakatoriki lmlakini jaribu kuwakejeli wapalestina uone kama hujaenda jela.
Maisha ya unafiki ndiyo kitu kinawaponza. Mbona hamkulaani hamas kurusha maroketi. Leo mmepeleka hii vitu kuonekana ya kidini mwezako kasema wayahudi wanawapiga wakristo hakuna mkristo mjinga wa kumpandikiza chuki. Kama mlivyopandikizwa chuki na waarabu ili wapate sapoti kila kitu wanaweka udini.
 
🤔hii video inawezekana ni ya siku nyingi haihusiani na vita ya sasa
Na ni Orthodox Jews sio Christians.
Orthodox Jews ndiyo wale wenye siasa Kali kabisa hawamtambui palestina.
Hujui kitu wewe, hao ni wakristo wanakula kibano kutoka kwa Waisraeli, tukikwambieni Israeli ni wahuni tu hawana dini hao hamsikii. Eti Taifa teule mavi ya kuku.
 
Natanyahau siku zake zimebakia chache bye bye, israel hawezi vita hayo maboom alio rusha kweli yamewaua wanawake na watoto lakini hakuna alichopata kwenye hi vita



HAMASI hakuivunja ipo pale pale, matekwa wako pale pale lziima wataomba vita isimame wenyewe 😄 Israel hana uwezo wa kuwashinda Hamasi
 
Wanaukumbi.

Zionist forces brutally assault Orthodox Jews in the streets of Jerusalem for opposing genocide in Gaza. Haven’t seen this kind of state violence against Jews since Nazi Germany.

Images like this destroy the myth that the State of Israel is Jewish.
Ile kauli ya kuwa ni vita ya kidini sijui inathibitishwaje
 
Images like this destroy the myth that the State of Israel is Jewish.
Nimesikia kama jamaa anasema "...bwana sikiliza bwana" hukua anarudi ndani bila shuruti
 
BREAKING: ISRAELI SETTLERS BURN OLIVE TREES WEST OF NABLUS IN THE WEST BANK

Hamas are hiding in olive trees in the West Bank right?
When you do atrocities like this expect to breed hatred .
 
When you do atrocities like this expect to breed hatred .
Inawezekana una umri mdogo kati ya Palestine na Israel nani kaanza kumfanyia ukatili mwenzake?
 
Acha propaganda! Acha mpigwe kwanini mliwachokoza! Acha mpate kibondo mpaka akili ziwakae sawa!

Mwamposa ameshakuambia kuwa UKIILANI ISRAEL NA WEWE UTALAANIWA,HUWEZI KUWAZA VINGINEVYO MGALATIA
 
Gaidi hata akijiita mkristo akule chuma ru.
Mnatafuta huruma kwa Wakristo.

Tumesema gaidi apigwe popote msikitini au kanisani

Enyi wagalatia msio na akili,ni nani anawaongopea??

UNASEMA MUNGU WAKO NI YESU,WELL AND GOOD,LAKINI WANA WA ISRAEL AMBAO WEWE UNAWASHANGILIA SI NDIYO HAO HAO UNAOSEMA WALIMSULUBISHA MUNGU WAKO YESU PALE MSALABANI??

SASA KIPI KINACHOKUFANYA UMTUKUZE ALIEMUUA MUNGU WAKO??
 
Enyi wagalatia msio na akili,ni nani anawaongopea??

UNASEMA MUNGU WAKO NI YESU,WELL AND GOOD,LAKINI WANA WA ISRAEL AMBAO WEWE UNAWASHANGILIA SI NDIYO HAO HAO UNAOSEMA WALIMSULUBISHA MUNGU WAKO YESU PALE MSALABANI??

SASA KIPI KINACHOKUFANYA UMTUKUZE ALIEMUUA MUNGU WAKO??
Wagalatia ni wakazi wa galatia...ndio ninyi magaidi msio na akilli...Paulo aliwakemea
 
Alokwambia Wayahudi wanapigania dini ni nani?

Wayahudi wanapigania eneo lao ambalo kila likitaka kukaa salama, wajinga wachache kutoka Gaza wanawachokoza, sasa ikitokea yeyote ataonyesha kuwa kinyume nao haijarishi ni myunani wala Mkristo ni risasi!

Pumbavu kabisa, watu wanatetea aridhi yao halafu mtu anatumia dini yake kuwaharasi kwa nini asichezee kichapo?
POOR GALATIAN,SASA UNAONGEA KITU GANI??

TEH TEH TEH,KAMA UNACHOSEMA NI KWELI KUWA WAYAHUDI HAWAPIGANII DINI,KINACHOWAFANYA MSEME KWAMBA MGOGORO HUO UPO UMEANDIKWA KWENYE BIBLE NI NINI??

MIND YOU THAT,HAO WAYAHUDI BIBLE HAWAIKUBALI KAMA KITABU CHAO,NYINYI MNA SIMAMIA KIPI KUWAPA JUSTIFICATION KWA HIKO WANACHOKIFANYA
 
Endeleeni kula kichapo, Israeli hawana dini acheni kujipendekeza, mnazani wenzenu hao.

Maskini,wanawashangilia waisrael kwa kuwauwa wapalestina na kuwapa hongera kumbe na ndug zao pia wana kula shaba??teh teh teh
 
Israel kuipiga Hamas ni kwa usalama wa waisrael wote wakiwamo hao othodx , wanapinga maana yake wanawaunga mkono Hamas, haki yao ni moja tu kuuliwa.
Usiwe mnafiki,rejea nchi kama Iran anamsaidia adui anaua, syria na kwingineko kote.
Wakati wa vita nchi inashikamana yote kwa maslahi ya nchi husika.

Tuseme kwamba hicho unachokisema ni sahihi,unachoshangilia wewe kama mkristo wa kiafrika ni kipi sasa,ISRAEL KUPIGA HAMAS AU ISRAEL KUUWA EVEN WAKRISTO WENZAKO AMBAO WAPALESTINA KWA MGONGO NA KIGEZO KWAMBA WANAWAPIGA HAMAS??
 
Enyi wagalatia msio na akili,ni nani anawaongopea??

UNASEMA MUNGU WAKO NI YESU,WELL AND GOOD,LAKINI WANA WA ISRAEL AMBAO WEWE UNAWASHANGILIA SI NDIYO HAO HAO UNAOSEMA WALIMSULUBISHA MUNGU WAKO YESU PALE MSALABANI??

SASA KIPI KINACHOKUFANYA UMTUKUZE ALIEMUUA MUNGU WAKO??
Sikiliza ewe gaidi;

Galatia ni mji uko UTURUKI kitovu cha waislamu wengi zaidi.

Paulo alijaribu kuwafundisha kuhusu Yesu lakini hawakuelewa kitu.

Ndipo akasema Enyi Wagalatia msio na akili....

Hivyo ujuu Mgalatia ni mwabudu sanamu kama wewe tu
 
Sikiliza ewe gaidi;

Galatia ni mji uko UTURUKI kitovu cha waislamu wengi zaidi.

Paulo alijaribu kuwafundisha kuhusu Yesu lakini hawakuelewa kitu.

Ndipo akasema Enyi Wagalatia msio na akili....

Hivyo ujuu Mgalatia ni mwabudu sanamu kama wewe tu

ha ha ha ha,teh teh teh

AMA HAKIKA WAGALTIA MNA SHIDA KUBWA SANA,THATS WHY MWAMPOSA ANAWAUZIA MCHANGA YEYE ANAENDA ZAKE JENGA HOTELS MAFIATI MBEYA,SASA UNA KATAA KUWA WEWE SIYO MGALATIA??

NITAKUSHITAKI KWA MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU ASIKUOMBEE KWA MWANAWE KIPENZ,TEH TEH TEH
 
Sikiliza ewe gaidi;

Galatia ni mji uko UTURUKI kitovu cha waislamu wengi zaidi.

Paulo alijaribu kuwafundisha kuhusu Yesu lakini hawakuelewa kitu.

Ndipo akasema Enyi Wagalatia msio na akili....

Hivyo ujuu Mgalatia ni mwabudu sanamu kama wewe tu

Baina ya mimi na wewe muabudu sanamu ni nani??

WEWE SI UMEFIKIA HADI HATUA YA KUCHONGA SANAMU LA MARIA MTAKATIFU,NA SANAMU LA MWANAWE YESU KISHA UKAYAWEKA KANISANI NA KUYAABUDU??USHAHIDI SI UPO WAZI KABISA HUO UNAO MWENYEWE??

NA USIVYO NA AKILI UNAENDA KWA LILE SANAMU NA KULIOMBA ET MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU TUNAOMBA UTUOMBEE KWA MWANAO,WEWE...!!!YAANI MUNGU AWE NA MAMA KWELI??

NA WEWE NAN ALIKUAMBIA MARIA ANAFANANA HIVYO KAMA ULIVYOMCHONGA??UNA LAANA WEWE...
 
Wanaukumbi.

Zionist forces brutally assault Orthodox Jews in the streets of Jerusalem for opposing genocide in Gaza. Haven’t seen this kind of state violence against Jews since Nazi Germany.

Images like this destroy the myth that the State of Israel is Jewish.

View attachment 2801079
waliambiwa waondoke Gaza, kama wamebaki wacha wapigwe wakome kabisa.
 
Back
Top Bottom