Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Bora anitukane mimi ila sio wazazi wangu. Sijamtukana sehemu ila nimesema Muddy(56) alimbaka Bi. Aisha(9) kwani alimuoa akiwa hajitambui na kama ni kizazi cha sasa nagefungwa. Sasa kosa langu ji nini wakati quran ndio inasema jamaa alimuoa na kumuingilia Bi. Aisha akiwa na miaka 9?HUJANITUKANA MIMI SAWA ILA WATU WAZIMA KUTUKANANA MITANDAONI NI UTOTO.
WEWE WEKA HOJA AFU NA YEYE AKUJIBU KWA HOJA
MATUSI YA NINI WAKATI SISI WOTE WATANZANIA.
Mwambie sasa awe na heshima ili na yeye aheshimiwe.HUJANITUKANA MIMI SAWA ILA WATU WAZIMA KUTUKANANA MITANDAONI NI UTOTO.
WEWE WEKA HOJA AFU NA YEYE AKUJIBU KWA HOJA
MATUSI YA NINI WAKATI SISI WOTE WATANZANIA.
MTU AKIKUVUNJIA HESHIMA NA UKAMSTIRI HUTOPUNGUKIWA NA CHOCHOTE NDUGU YANGU.Mwambie sasa awe na heshima ili na yeye aheshimiwe.
Hauna unachokijua hata dini yako ufahamu toka lini Muisrael akawapenda Wakirsto wewe endelea na ushabiki mandazi.HII PROPAGANDA YA WAISLAMU NA WAARABU DHIDI YA WAZAYUNI.
WANADHANI WAKITAJA WAKRSTO BASI WATAFANYA WAYAHUDI WACHUKIWE NA WAKRSTO.
WANASAHAU MSINGI WA UKRSTO NI DINI YA KIYAHUDI.
Mkuu uyu jamaa ana kera sana nimemvilia mno yeye kila Post anayo Post ni razima awatukane na kuwakashifu waisilam kwani wamemkosea nn? na mbaya zaidi mtu kama huyo unaweza kuta ana ndugu kibao waisilam.MTU AKIKUVUNJIA HESHIMA NA UKAMSTIRI HUTOPUNGUKIWA NA CHOCHOTE NDUGU YANGU.
MSAMEHE TU
WEWE NDIO HUJUI MKUU NA UNATUMIA PROPAGANDA YA WAARABU NA WAISLAMU YA KUWACHUKIA WAYAHUDI.Hauna unachokijua hata dini yako ufahamu toka lini Muisrael akawapenda Wakirsto wewe endelea na ushabiki mandazi.
POLE SANA NA NDIO UTOFAUTI WA MAWAZO NA IMANI.KWANI MKUU MBONA KUNA WATU WANAPOSTI NA KUWAKASHIFU WAKRSTO KWA KUWAITA MASHOGA.Mkuu uyu jamaa ana kera sana nimemvilia mno yeye kila Post anayo Post ni razima awatukane na kuwakashifu waisilam kwani wamemkosea nn? na mbaya zaidi mtu kama huyo unaweza kuta ana ndugu kibao waisilam.
Mkuu kila mtu anahitaji heshima.
UTOFAUTI WA IMANI UPO ILA MATUSI NA KEJELI HAVIKUBALIKI NA UPO SAHII KABISA MKUU.Mkuu uyu jamaa ana kera sana nimemvilia mno yeye kila Post anayo Post ni razima awatukane na kuwakashifu waisilam kwani wamemkosea nn? na mbaya zaidi mtu kama huyo unaweza kuta ana ndugu kibao waisilam.
Mkuu kila mtu anahitaji heshima.
Wewe punguani kweli na wewe unajiona Muisrael mweusi wa Makete, hamas toka lini wameomba msaada kwa Wakirsto?WEWE NDIO HUJUI MKUU NA UNATUMIA PROPAGANDA YA WAARABU NA WAISLAMU YA KUWACHUKIA WAYAHUDI.
SASA WAMEZIDIWA NDIO WANATAFUTA SAPOTI YA WAKRSTO KINGUVU
NB: WAISLAMU HAWAJUI MSINGI WA DINI YA KIKRSTO NI DINI YA WAYAHUDI NA MUNGU WAO NI MYAHUDI YEHOVAH.
NA SIO ALLAH MUNGU WA KIARABU WA WAARABU NA WAISLAMU
Tena kweli mwambie, maana Hawa mujahideen kwao hata kitu kidogo tu watakipaisha kweli kweli na propaganda zao. Wakiristo tunajua kuwa tunatofautiana na Wayahudi, lakini hamna hata Moja WETU anayeazimia kwa Jina la Mungu wake kumuua na kumfutilia mbali mwenzie. Ila wao Waislam kupitia mafundisho ya yule Shetani MKUBWA kabisa wananatuita sisi wote the worst creatures (Aya 98:6) na wanataka kutuangamiza sisi wote.Acha propaganda! Acha mpigwe kwanini mliwachokoza! Acha mpate kibondo mpaka akili ziwakae sawa!
MKUU KILA SIKU WAISLAMU WAARABU NA HAMAS NA WAISLAMU WOTE DUNIANI WAGA WANAOMBA MSAADA KWA WAKRSTO WAWASAIDIE KATIKA KUENEZA CHUKI YAO KWA WAYAHUDI.Wewe punguani kweli na wewe unajiona Muisrael mweusi wa Makete, hamas toka lini wameomba msaada kwa Wakirsto?
Ndiyo maana nakuambia wewe punguani na Adolf Hitler naye?MKUU KILA SIKU WAISLAMU WAARABU NA HAMAS NA WAISLAMU WOTE DUNIANI WAGA WANAOMBA MSAADA KWA WAKRSTO WAWASAIDIE KATIKA KUENEZA CHUKI YAO KWA WAYAHUDI.
NB: WANASAHAU MUNGU WA WAYAHUDI NA WAKRSTO NI MMOJA YEHOVAH MUEBRANIA.
MKUU TATIZO LA WAISLAMU WA TANZANIA NA AFRIKA NA UARABUNI WAKIAMBIWA UKWELI WAGA WANATAFUTA PA KUEGEMEA KWA USHABIKI BILA UTAFITI.Ndiyo maana nakuambia wewe punguani na Adolf Hitler naye?
Kuna wayahudi wachache wenye siasa za maridhiano Hata upande wa waarabu wapo wenye siasa za maridhiano na wamelaani Kitendo walichofanya Hamas .Hii marekani jew rabbi ame muattack biden asitishe vita hawa ndio orthodox jews ni watu ambao wameishi na wapalestina kwa amani miaka yote kabla ya hawa settlers au wazayuni kuanza siasa zao za kizayuni
Siku hizi umekuwa msemaji wa Wakristu ?!Wanaukumbi.
Zionist forces brutally assault Orthodox Jews in the streets of Jerusalem for opposing genocide in Gaza. Haven’t seen this kind of state violence against Jews since Nazi Germany.
Images like this destroy the myth that the State of Israel is Jewish.
View attachment 2801079