Vikosi vya Israel vyapata kiwewe kuingia Gaza huku vikosi vya Marekani Mashariki ya Kati vikianza kushambuliwa

Vikosi vya Israel vyapata kiwewe kuingia Gaza huku vikosi vya Marekani Mashariki ya Kati vikianza kushambuliwa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Matangazo mengi kuhusu wanamgambo wa Hamas kinyume na uwezo wao inaonekana kumelitia hofu kubwa jeshi la Israel ambalo linaundwa zaidi na vijana wadogo.

Hayo yameonekana katika kurudiwa kwa ahadi na kuwatia moyo askari hao wakatishe mpaka kuingia Gaza.

Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant hapo jana alipovitembelea vikosi vyake vilivyopiga kambi kweny seng'enge na mpaka wa Gaza aliwaambia askari hao kuwa wamekuwa wakiiona Gaza kutoka mbali kwa muda mrefu, muda mfupi ujao mtaiona Gaza kutokea ndani .Kauli hiyo imezidi kuwatia hofu vijana hao waliokuwa wakimsikiliza, ikidhihirika kwenye nyuso zao.

Israeli defense chief says troops will soon see Gaza 'from inside'

Kwa upande mwengine mchecheto kama huo umeonekana kutoka kwa raisi Biden wakati akihutubia taifa hapo jana siku moja tangu arudi kutoka Israel.Katika hotuba yake aliweza kuwafananisha wanamgambo hao wa Palestina na nchi kubwa ya Urusi pale aliposema kwa kulalamika kuwa Putin na Hamas wanataka kulifuta taifa lake na lile la Israel lakini hawatoweza.

Akawataka wananchi wa Marekani wazidi kuiunga mkono serikali yao.
Raisi Biden alisema anakusudia kupeleka ombi baraza la congress ili waongeze mafungu ya fedha kwa ajili ya vita vya Ukraine na Israel. Hata hivyo maamuzi ya kuzidisha misaada kwa Ukraine kabla vita vya Gaza yalikwishakataliwa. Muda huu pia mabunge ya Marekani yapo kwenye mzozo wa uongozi wa spika hivyo maamuzi magumu kama hayo yanaweza kuchukua muda zaidi kufikiwa.

Biden says he will not let Hamas and Putin win
Hayo yote yakitokea kuna ishara mbaya kwa vikosi vya Marekani vilivyopo mashariki ya kati.Hapo jana meli ya kivita ya Marekani ilifanikiwa kurudisha droni zilizorushwa kuishambulia kutokea upande wa Yemen.

US troops attacked in Middle East

1697775832684.png

1697775893471.png
 
Matangazo mengi kuhusu wanamgambo wa Hamas kinyume na uwezo wao inaonekana kumelitia hofu kubwa jeshi la Israel ambalo linaundwa zaidi na vijana wadogo.

Hayo yameonekana katika kurudiwa kwa ahadi na kuwatia moyo askari hao wakatishe mpaka kuingia Gaza.

Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant hapo jana alipovitembelea vikosi vyake vilivyopiga kambi kweny seng'enge na mpaka wa Gaza aliwaambia askari hao kuwa wamekuwa wakiiona Gaza kutoka mbali kwa muda mrefu, muda mfupi ujao mtaiona Gaza kutokea ndani .Kauli hiyo imezidi kuwatia hofu vijana hao waliokuwa wakimsikiliza, ikidhihirika kwenye nyuso zao.

Israeli defense chief says troops will soon see Gaza 'from inside'

Kwa upande mwengine mchecheto kama huo umeonekana kutoka kwa raisi Biden wakati akihutubia taifa hapo jana siku moja tangu arudi kutoka Israel.Katika hotuba yake aliweza kuwafananisha wanamgambo hao wa Palestina na nchi kubwa ya Urusi pale aliposema kwa kulalamika kuwa Putin na Hamas wanataka kulifuta taifa lake na lile la Israel lakini hawatoweza.

Akawataka wananchi wa Marekani wazidi kuiunga mkono serikali yao.
Raisi Biden alisema anakusudia kupeleka ombi baraza la congress ili waongeze mafungu ya fedha kwa ajili ya vita vya Ukraine na Israel. Hata hivyo maamuzi ya kuzidisha misaada kwa Ukraine kabla vita vya Gaza yalikwishakataliwa. Muda huu pia mabunge ya Marekani yapo kwenye mzozo wa uongozi wa spika hivyo maamuzi magumu kama hayo yanaweza kuchukua muda zaidi kufikiwa.

Biden says he will not let Hamas and Putin win
Hayo yote yakitokea kuna ishara mbaya kwa vikosi vya Marekani vilivyopo mashariki ya kati.Hapo jana meli ya kivita ya Marekani ilifanikiwa kurudisha droni zilizorushwa kuishambulia kutokea upande wa Yemen.

US troops attacked in Middle East

View attachment 2786937
View attachment 2786938
Takbiir
 
Naona ugumu kwa upande fulan. Harakat al-Muqawama al-Islamia( hamas). Hizo harakat hizo ndio shida inaanzia hapo. Labda nikuelezee pengine hujaelewa. Vita hivi ni kama vinachukua picha ya vita vya dini,shida inaanzia hapo.upande wa hamas wana shauku ya kufa.upande mwingine wana hamu ya kuishi. Ukishajua falsafa hio kwa mjuz atakwambia vita hio ngumu sana sana. Lets wait and see
 
Matangazo mengi kuhusu wanamgambo wa Hamas kinyume na uwezo wao inaonekana kumelitia hofu kubwa jeshi la Israel ambalo linaundwa zaidi na vijana wadogo.

Hayo yameonekana katika kurudiwa kwa ahadi na kuwatia moyo askari hao wakatishe mpaka kuingia Gaza.

Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant hapo jana alipovitembelea vikosi vyake vilivyopiga kambi kweny seng'enge na mpaka wa Gaza aliwaambia askari hao kuwa wamekuwa wakiiona Gaza kutoka mbali kwa muda mrefu, muda mfupi ujao mtaiona Gaza kutokea ndani .Kauli hiyo imezidi kuwatia hofu vijana hao waliokuwa wakimsikiliza, ikidhihirika kwenye nyuso zao.

Israeli defense chief says troops will soon see Gaza 'from inside'

Kwa upande mwengine mchecheto kama huo umeonekana kutoka kwa raisi Biden wakati akihutubia taifa hapo jana siku moja tangu arudi kutoka Israel.Katika hotuba yake aliweza kuwafananisha wanamgambo hao wa Palestina na nchi kubwa ya Urusi pale aliposema kwa kulalamika kuwa Putin na Hamas wanataka kulifuta taifa lake na lile la Israel lakini hawatoweza.

Akawataka wananchi wa Marekani wazidi kuiunga mkono serikali yao.
Raisi Biden alisema anakusudia kupeleka ombi baraza la congress ili waongeze mafungu ya fedha kwa ajili ya vita vya Ukraine na Israel. Hata hivyo maamuzi ya kuzidisha misaada kwa Ukraine kabla vita vya Gaza yalikwishakataliwa. Muda huu pia mabunge ya Marekani yapo kwenye mzozo wa uongozi wa spika hivyo maamuzi magumu kama hayo yanaweza kuchukua muda zaidi kufikiwa.

Biden says he will not let Hamas and Putin win
Hayo yote yakitokea kuna ishara mbaya kwa vikosi vya Marekani vilivyopo mashariki ya kati.Hapo jana meli ya kivita ya Marekani ilifanikiwa kurudisha droni zilizorushwa kuishambulia kutokea upande wa Yemen.

US troops attacked in Middle East

View attachment 2786937
View attachment 2786938
Nimwaona wanajeshi w Israel hawana morali kabisa
 
Back
Top Bottom