Labda ISIS nu Sunni ndiyo maana washia wa Iran hawaipendi.ISIS na Taliban wote wanaimani moja ila misimamo tofauti kabisa,ISIS wana siasa kali sana kuliko Taliban.Ndo maana hata ukiangalia syria,IRAN na washirika wake wanapambana nao wasiweze ku-exist sababu ya iman yao.Hata kiongozi wa kidini anayeheshimika IRAQ-Cleric Grand Ayatollah Ali-Sistan aliwaamuru waislamu wote waungane kubeba silaha ili wapambane nao wasiwepo IRAQ.
Daah aisee mkuu kama ni hivyo basi Afghanistan ndo kwaanza safari inaanza, watawakumbuka wamarekani na sidhani kama hao ISIS wanaweza kubali kukaa meza moja na taliban na serikali ili wawekane sawa.ISIS na Taliban wote wanaimani moja ila misimamo tofauti kabisa,ISIS wana siasa kali sana kuliko Taliban.Ndo maana hata ukiangalia syria,IRAN na washirika wake wanapambana nao wasiweze ku-exist sababu ya iman yao.Hata kiongozi wa kidini anayeheshimika IRAQ-Cleric Grand Ayatollah Ali-Sistan aliwaamuru waislamu wote waungane kubeba silaha ili wapambane nao wasiwepo IRAQ.
Si hata Biden nae aliliona hilo, na wanajeshi wa Afghanistan kutokua na uchungu na nchi yao na US akaona hapa naula bora nisepe tu.Kama ISIS kaingiza mguu wake huko, basi naanza kuelewa kwa ninj USA taratibu kaanza kuondoka Afghan...
Huenda ameshanusa kuwepo wa vita isiyokoma leo wala kesho...
Na itapanda zaidi, na muhun wa dunia atapita nayo burebure!Mkuu nimeona kwenye mtandao kilo moja ya opium ni $16,000.
Wachambuzi wanasema Afganistan kutatokea civil war ambayo itakuwa too costly kwa Russia na China,kwa sababu tatizo litakuwa kwenye mipaka zao-Pia china na russia wanahofia ugaid utaingia nchini mwao.Kama ISIS kaingiza mguu wake huko, basi naanza kuelewa kwa ninj USA taratibu kaanza kuondoka Afghan...
Huenda ameshanusa kuwepo wa vita isiyokoma leo wala kesho...
ISIS ndo kundi linaloogopeka sana-Angalia tu shida yake hapo mozambique-Nchi karibu nne zimeingia kupambana nao 🤣 🤣 🤣 .ISIS ya syria wanapambana na majeshi ya US,Russia,Turkey,Iran,Syria,SDF na kadhalika na bado hawajaishaDaah aisee mkuu kama ni hivyo basi Afghanistan ndo kwaanza safari inaanza, watawakumbuka wamarekani na sidhani kama hao ISIS wanaweza kubali kukaa meza moja na taliban na serikali ili wawekane sawa.
Washenzi ni wengi sana kwenye hilo taifa aiseeISIS,Mujahideen etc.
ila wote si wanataka Dola ya kiislam?Hawa watu wa muhammad ni watu wa ovyo sana
Si kwasababu mnawazidi idadi...wakishakuwa wengi say 60% huwezi kuzuia tenaHata huku kwetu huwa wanatamani kuleta chokochoko ila wanaishia kula virungu tu
ISIS Sunni Taliban ShiaMi nilidhani ni taliban na serikali ndo vina mvutano, yaani kuna ISIS tena. Kumbe ndio maana watu walikua wanaikimbia nchi yao walijua tu kitanuka.
Sada hao ISIS na taliban si wote waislam au wametofautiana kipi tena.
Na mataifa makubwa yanaitumia hiyo nchi kwenye mambo yao, china kwenye taarifa zao wanapasifu sana na kujaribu kuisafisha taliban kwa dunia. Na marekan na washirika wake ni kinyume wao wanaichafua na kuonesha hakuna amani, na hii habari lazma umeitoa huko kwa wana USA. Mchina na mmarekani wanafki sana aisee.
Bila muhamad Hawa watu wangekuwepo?muhammad hahusiki na huo upumbavu wa hao wa afghani kuwa na adabu wewe roho ya uovu..
Hizi stori ulizipatia msikiti Gani?Marekani ndo anafinance ISIS kama hujui
Sasa mbona huwa wanaogopeka sana kiiman ingawa ni wa sunni?ISIS Sunni Taliban Shia
Dunia inaenda kasi sana mkuu 🤣 🤣 🤣 -Basi tu😳😳,Inawezekana siku ina masaa 48 kama alivyosema meko 🤣🤣🤣
Sunni ndo wavaa suruali fupi eeh??ISIS Sunni Taliban Shia
Dunia inaenda kasi sana mkuu 🤣 🤣 🤣 -Basi tu😳😳,Inawezekana siku ina masaa 48 kama alivyosema meko 🤣🤣🤣