Vikwazo kwa Urusi; Sarafu ya ruble ya Urusi yapanda thamani dhidi ya dola ya Marekani

Hahahah umenirudisha Google tarehe 22 Feb 2022 1 Usd was 78 Ruble today 1Usd is 102 Ruble hata Tanzania Usd imepanda mpaka 2303 purchase rate
 
Marekani asiponunua mafuta yako,hakuna mnunuzi mwingine duniani wa kukupa faida. Ndio maana akitaka kuyumbisha Bei ya mafuta anasimama kununua halafu anatumia reserve yake. Haya umewekewa vikwazo hayo mafuta yanapitia wapi? Kwa ni upunguani kushabikia vita ambayo kwetu inatupa maumivu. Ni mpumbavu tu wa kiwango chako anayeweza kushabikia vita hii ya kishenzi.
 
Hata ikipanda nani ataitumia hiyo pesa kufanya manunuzi yake kimataifa.

Sehemu kubwa ya Dunia bado inategemea Dola.
Ndg. Stroke unamatatizo sana ya kupinga mambo kabla hujasoma, mara nyingi umekua hodari wakupinga maono ya wenzio kumbe ni kwa sababu ya uvivu kusoma na si kupinga kwa hoja za uchambuzi katika uelewa wa mambo mbalimbali.

Sijajua kiwango chako cha uelewa na ujuzi wa mambo ya kidunia ila nahisi unamatatizo katika uelewa wako kwa kudhani kuwa wewe ni mjuvi wa mambo na kumbe ni zwazwa tu mkurupukia hoja usie jua lolote Mxieuzzzsss!!!

Mleta mada hajasema kuwa dola tayari imeanguka ndio maana kaongelea process

Jaribu kuappriaciate maoni ya wenzio kwa kutoa hoja kwa manufaa ya wana jukwaa wa JF sio kupinga tu ilimradi unapinga wakati hujui hata unachokipinga ni kitu gani.

Mleta Mada aliweka bayana katika maandishi yake, namnukuu kama ifuatavyo:

".... kuiondoa sarafu ya dola ni process,na hiyo wanayofanya Urusi ndio process yenyewe ..."

"... mataifa yamechukua muda mrefu kutafuta namna ya kuiangusha dola ..."

"... huwezi kutaka kuiangusha dola kwa mwaka mmoja au miezi ni muongo kama sio miongo mpaka karne ..."

" ... suala la dolar kuondoka ni suala la muda tuu na tayari dalili zimeanza kuonekana ..."

Mwisho wa kunukuu.

Ndg. Stroke siku zote MJUAJI ASIE JUA HATOJUA MAISHA YAKE YOTE [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Putin ananyooshwa kisawasawa hakosi propaganda, damu za watu atazilipa tu.

Ananyooshwa na nani? Putin ndiye kiboko wa nchi za Magharibi na Kibwengo wenu Marekani. Mpaka leo ameshindwa kuifunga anga ya Ukraine! Sababu ni nini? Si wanamuogopa mbabe Putin!

Vipi kuhusu damu za watu walio uwawa na Marekani kule Vietnam, Iraqi, Syria, Afghanstan, Libya, na kwingineko duniani! Zitalipwa na nani?
 
Aisee yaani MTU anapost utumbo kama na bado anapata wafusia wanaomsapoti? Tanzania tunahitaji elimu zaidi Kwa watoto wetu.
nchi zote ambazo Russia ameingia nao mikataba ya ununuzi WA mafuta wamegoma kufanya biashara Kwa kutumia ruble,kutokana na mikataba Yao inavyodai Russia ameshindwa na Hana namna...siku nyingine jaribu kuuliza Kwanza kabla ya kupost

 
Sijui unatoa wapi taarifa zako!
Leo hii 27/03/22 Russian ruble moja sawa na senti 20 za USA au TSH 20 za bongo! [emoji41][emoji851][emoji857]
Soma tena nahisi hauujaelewa
amesema
1 USD ilikuwa 139
kwa sasa 1 USD ni 97 baada kutolewa tangazo mafuta yatanunuliwa kwa rubble
hvyo kama viwango ni kweli basi URUSI inashangilia ushindi

sasa hizo figure ulizokuja nazo wewe hazina mashiko mbele ya mada iliyokuja mezani
soma tena uelewe
 
Hata ikipanda nani ataitumia hiyo pesa kufanya manunuzi yake kimataifa.

Sehemu kubwa ya Dunia bado inategemea Dola.

Acha kula bange kama matembele mkuu! Utaishia kutembea uchi mtaani.

Wenzio wanavuta sasa wewe unakula majani mabichi kama mbuzi! Dah!
 
Hahahaha

Alafu kwanini watu wakitokaga masomoni Russia dishi zinayumbaga au vodka nini
Wanawafanyia nini

Ova
Dr. Shika angekuwepo umaarufu ungepanda tena kwani angekuwa mchambuzi pekee wa kuaminika wa vita hii katika media zetu.
 

[emoji635][emoji3577]
 
Huyu Leslie Mbena, Ukweli ataujulia wapi??

Alisifu na kuabudu mwendakuzimu, na hakuwahi kupata uteuzi!
Akajaribu kugombea ubunge. Wajumbe vichwa vyao wakafanya Yao!

Sasa huenda Central Bank ya Russia ikamuona! Ikamlipa kwa propaganda hizi!

Ukweli mchungu ila ndio dawa inawabidi muinywe hamna namna
 
Sijui unatoa wapi taarifa zako!
Leo hii 27/03/22 Russian ruble moja sawa na senti 20 za USA au TSH 20 za bongo! [emoji41][emoji851][emoji857]

Utakuta wewe tarifa zako umetoa cnn au tbc[emoji16][emoji16]
 
Sijui unatoa wapi taarifa zako!
Leo hii 27/03/22 Russian ruble moja sawa na senti 20 za USA au TSH 20 za bongo! [emoji41][emoji851][emoji857]
Nchi ina viazi hii sio poa, umeambiwa rubble ilishuka hadi $1 = руб.139, leo $1 = руб.101. kwamba huoni kuwa ruble imekuwa strong against dollar kwa kipindi kifupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…