wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Goodbye to petrodollarHahahah umenirudisha Google tarehe 22 Feb 2022 1 Usd was 78 Ruble today 1Usd is 102 Ruble hata Tanzania Usd imepanda mpaka 2303 purchase rate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goodbye to petrodollarHahahah umenirudisha Google tarehe 22 Feb 2022 1 Usd was 78 Ruble today 1Usd is 102 Ruble hata Tanzania Usd imepanda mpaka 2303 purchase rate
UNGEMSHAULI JBIDEN ILI ZELENSKY ASIVUNJE MAKUBALIANO WALIOKWISHA SAINI MIAKA 20 ILIYOPITA, LEO HALI INGEKUA SHWARI KABISA.Mrusi wa buzza katika ubora wako,,
Achen kushangilia Vita visivyo na msingi,, watu wanauawa ,, watu wanakimbia makazi yao kisa Vita nyinyi mnaleta propaganda zenye mahaba yasiyo na tija!!
Inaonekana ulifurahi kuona Iddi Amin akitunishia msuli Tanzania sio!!?
Aisee yaani MTU anapost utumbo kama na bado anapata wafusia wanaomsapoti? Tanzania tunahitaji elimu zaidi Kwa watoto wetu.
nchi zote ambazo Russia ameingia nao mikataba ya ununuzi WA mafuta wamegoma kufanya biashara Kwa kutumia ruble,kutokana na mikataba Yao inavyodai Russia ameshindwa na Hana namna...siku nyingine jaribu kuuliza Kwanza kabla ya kupost
Pole sana yani unatuonyesha yale Mh Rais amesema watu wana ma vyeti ila humna kitu... Hiyo Rub unapitishia wapi? Nenda kesho kanunue hayo mafuta kesho kwa rub bank 🏦 yeyote ukifanikiwa njoo hapa unitukane... 😭😭😭😭🤐🤐🤐VIKWAZO KWA URUSI;SARAFU YA RUBLE YA URUSI YAPANDA THAMANI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.
Leo 15:30pm 27/03/2022
Respect for Russia,who dare to stand up against the West,Baada ya vikwazo vingi vya Ulaya na Marekani kwa Urusi,Urusi imetangaza kuuza mafuta na Gesi kwa sarafu yake ya ruble,Masaa 24 baada ya Urusi kutangaza kuuza mafuta na Gesi kwa ruble, sarafu hiyo imepanda maradufu na kuifanya iwe na nguvu mbele ya dollar na Euro,Juzi thamani ya ruble kwa dola ilikuwa hivi,$1 sawa na Ruble 139 na leo $1 sawa na Ruble 97 huku ni kuimarika kwa hali ya juu kwa sarafu ya ruble,Uarabuni napo wameanza mchakato wa kuanza kuuza mafuta kwa kutumia sarafu ya Yuan ya China.
Thamani ya pesa ni matumizi yake,uhitaji wa sarafu ya ruble ya Urusi ili kuweza kununua mafuta na Gesi kunapandisha matumizi ya pesa hiyo ya ruble,kwa sasa thamani ya dola ipo juu sababu ya uhitaji wake katika kununua vitu nje ya nchi,hamani ya dola inakuja kwenye upande wa kufanya miamala,Telegraphic transfer (TT) kupitia mfumo wa SWIFT,kwa siku kuna miamala mingi ya dola hapa duniani kwa sasa,lakini punde tutaiona miamala mingi ya sarafu ya ruble kwa ajili ya kuagiza mafuta na Gesi,tukumbuke pia tunaweza kuanza kuona miamala ya sarafu ya yuan ya China ikiagiza bidhaa mbalimbali iwapo China itaamua hivyo,Tanzania inaongoza kwa 80% kununua bidhaa mbalimbali toka China.
Kwa namna moja ama nyingine uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ulikuwa ni mpango mkakati wa kumdhoofisha kiuchumi Marekani and the so-called NATO,kiwango cha mfumuko bei ni kikubwa Ujerumani ni 12% haijawahi kutokea tangu vita vya Hitler, Ujerumani wanategemea mafuta na Gesi ya Mrusi,Hispania 9% haijawahi kushuhudia kwa zaidi ya miaka 40, Uingereza bei ya mafuta inakaribia kufumuka kwa 80% kuelekea 100%
Tayari Urusi imechukua hatua mpya ya kuondoa kabisa utegemezi kwa sarafu ya dola ili kukabiliana na mashinikizo ya vikwazo vya Marekani na utumiaji mbaya wa sarafu ya dola unaofanywa na Washington kama nyenzo ya kuiwekea mashinikizo Moscow,punde si punde sarafu ya ruble itaingia kwenye mfumo wa kimataifa wa fedha na kuwa sarafu mbadala wa dola,Baada ya mgogoro wa Ukraine wa mwaka 2014,Russia imekuwa ikiandamwa kwa kupewa vikwazo vikali vya Marekani na Umoja wa Ulaya,
Siku zote Marekani imekuwa ikiitumia dola, ambayo ndiyo sarafu kuu ya kigeni inayotumika katika miamala ya kimataifa, kama silaha ya kuziwekea mashinikizo nchi zingine,imeutumia vibaya mara kadhaa na kwa maslahi yake kwenye utegemezi wa makampuni, mabenki na mifumo ya fedha ya kimataifa kwa sarafu ya dola kama nyenzo na silaha ya kuzilazimisha nchi zingine zifuate matakwa yake au kuzibana zisifuate siasa na sera zisizoipendeza nchi hiyo. Jambo hili limezikera si nchi pinzani pekee bali hata nchi waitifaki wa Ulaya na Washington na kupelekea kujitokeza taratibu fikra ya pamoja kimataifa ya kuzuia mwendelezo wa utumiaji kimaslahi wa sarafu ya dola unaofanywa na Marekani kwa ajili ya kuzishinikiza kiuchumi, kibiashara na hata kifedha nchi zingine hasa zilizo wapinzani au washindani wa nchi hiyo.
Kutokana na vikwazo vikali ilivyowekewa urusi , ikiwa ni pamoja na kuteneganishwa rasmi na dola na euro, taasisi za kifedha za Urusi kama mabenki yamemelazimika kugeukia sarafu yao ya ruble na sarafu ya yuan ya China,Benki ya VTB inayomilikiwa na serikali ya Urusi imewapa wateja wake fursa ya kufungua akaunti ya akiba ya Ruble na Yuan ya Uchina ambayo inatoa kiwango cha juu cha riba cha asilimia 8%.ni dhahiri kama wataunda 'coalition' katika maswala ya kisarafu kwa kuachana na dola, basi wazi marekani itaanguka kiuchumi,Combination ya Mchina na Mrusi ni jinamizi kwa nchi za magharibi,mmoja atafanya kazi ya kutandika magharibi kijeshi, upande mwingine utamtandika magharibi kiuchumi,kazi ipo kwa Ulaya na Marekani,wao kapu la mayai limebebwa na taifa moja la Marekani, Mmarekani akianguka kijeshi basi hata na kiuchumi anapotea,
Nimalizie kwa kutanabaisha ya kwamba kuiondoa sarafu ya dola ni process,na hiyo wanayofanya Urusi ndio process yenyewe,tumetoka kwenye dola dola dola kila upande,kila kitu kina mwisho,mataifa yamechukua muda mrefu kutafuta namna ya kuiangusha dola,huwezi kutaka kuiangusha dola kwa mwaka mmoja au miezi ni muongo kama sio miongo mpaka karne,hata uchina walitolewa katika masuala ya anga ya kituo kinachomilikiwa na US ila mpaka kua na kituo chao ilichukua miongo kadhaa iliyokaribia karne,hivyo basi suala la dolar kuondoka ni suala la muda tuu na tayari dalili zimeanza kuonekana.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Uko nyuma ya wakati!! Pole!! Pitia posts kwenye Uzi huu upate taarifa zaidi!!Aisee yaani MTU anapost utumbo kama na bado anapata wafusia wanaomsapoti? Tanzania tunahitaji elimu zaidi Kwa watoto wetu.
nchi zote ambazo Russia ameingia nao mikataba ya ununuzi WA mafuta wamegoma kufanya biashara Kwa kutumia ruble,kutokana na mikataba Yao inavyodai Russia ameshindwa na Hana namna...siku nyingine jaribu kuuliza Kwanza kabla ya kupost
Hoja zimewaishia mnakimbilia matusi!!Ulichokiandika unakijua wewe na demu wak😵va
Wewe ndio hamna kitu!! Unaponda post ambayo wengine wanavuna madini!! Pole Sana!!Pole sana yani unatuonyesha yale Mh Rais amesema watu wana ma vyeti ila humna kitu... Hiyo Rub unapitishia wapi? Nenda kesho kanunue hayo mafuta kesho kwa rub bank 🏦 yeyote ukifanikiwa njoo hapa unitukane... 😭😭😭😭🤐🤐🤐
Kupanda kwa thamani ya fedha sio kigezo cha kuimarika uchumi. Pesa ya Japan, Yen ina thamani ndogo sana ukilinganisha na pesa za nchi zingine. Na majuzi hapa walitaka kuipunguza tena thamani hadi nchi kubwa kama Marekani, China na Uingereza wakalalamika. Je, Japan ina uchumi mdogo?VIKWAZO KWA URUSI;SARAFU YA RUBLE YA URUSI YAPANDA THAMANI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.
Leo 15:30pm 27/03/2022
Respect for Russia,who dare to stand up against the West,Baada ya vikwazo vingi vya Ulaya na Marekani kwa Urusi,Urusi imetangaza kuuza mafuta na Gesi kwa sarafu yake ya ruble,Masaa 24 baada ya Urusi kutangaza kuuza mafuta na Gesi kwa ruble, sarafu hiyo imepanda maradufu na kuifanya iwe na nguvu mbele ya dollar na Euro,Juzi thamani ya ruble kwa dola ilikuwa hivi,$1 sawa na Ruble 139 na leo $1 sawa na Ruble 97 huku ni kuimarika kwa hali ya juu kwa sarafu ya ruble,Uarabuni napo wameanza mchakato wa kuanza kuuza mafuta kwa kutumia sarafu ya Yuan ya China.
Thamani ya pesa ni matumizi yake,uhitaji wa sarafu ya ruble ya Urusi ili kuweza kununua mafuta na Gesi kunapandisha matumizi ya pesa hiyo ya ruble,kwa sasa thamani ya dola ipo juu sababu ya uhitaji wake katika kununua vitu nje ya nchi,hamani ya dola inakuja kwenye upande wa kufanya miamala,Telegraphic transfer (TT) kupitia mfumo wa SWIFT,kwa siku kuna miamala mingi ya dola hapa duniani kwa sasa,lakini punde tutaiona miamala mingi ya sarafu ya ruble kwa ajili ya kuagiza mafuta na Gesi,tukumbuke pia tunaweza kuanza kuona miamala ya sarafu ya yuan ya China ikiagiza bidhaa mbalimbali iwapo China itaamua hivyo,Tanzania inaongoza kwa 80% kununua bidhaa mbalimbali toka China.
Kwa namna moja ama nyingine uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ulikuwa ni mpango mkakati wa kumdhoofisha kiuchumi Marekani and the so-called NATO,kiwango cha mfumuko bei ni kikubwa Ujerumani ni 12% haijawahi kutokea tangu vita vya Hitler, Ujerumani wanategemea mafuta na Gesi ya Mrusi,Hispania 9% haijawahi kushuhudia kwa zaidi ya miaka 40, Uingereza bei ya mafuta inakaribia kufumuka kwa 80% kuelekea 100%
Tayari Urusi imechukua hatua mpya ya kuondoa kabisa utegemezi kwa sarafu ya dola ili kukabiliana na mashinikizo ya vikwazo vya Marekani na utumiaji mbaya wa sarafu ya dola unaofanywa na Washington kama nyenzo ya kuiwekea mashinikizo Moscow,punde si punde sarafu ya ruble itaingia kwenye mfumo wa kimataifa wa fedha na kuwa sarafu mbadala wa dola,Baada ya mgogoro wa Ukraine wa mwaka 2014,Russia imekuwa ikiandamwa kwa kupewa vikwazo vikali vya Marekani na Umoja wa Ulaya,
Siku zote Marekani imekuwa ikiitumia dola, ambayo ndiyo sarafu kuu ya kigeni inayotumika katika miamala ya kimataifa, kama silaha ya kuziwekea mashinikizo nchi zingine,imeutumia vibaya mara kadhaa na kwa maslahi yake kwenye utegemezi wa makampuni, mabenki na mifumo ya fedha ya kimataifa kwa sarafu ya dola kama nyenzo na silaha ya kuzilazimisha nchi zingine zifuate matakwa yake au kuzibana zisifuate siasa na sera zisizoipendeza nchi hiyo. Jambo hili limezikera si nchi pinzani pekee bali hata nchi waitifaki wa Ulaya na Washington na kupelekea kujitokeza taratibu fikra ya pamoja kimataifa ya kuzuia mwendelezo wa utumiaji kimaslahi wa sarafu ya dola unaofanywa na Marekani kwa ajili ya kuzishinikiza kiuchumi, kibiashara na hata kifedha nchi zingine hasa zilizo wapinzani au washindani wa nchi hiyo.
Kutokana na vikwazo vikali ilivyowekewa urusi , ikiwa ni pamoja na kuteneganishwa rasmi na dola na euro, taasisi za kifedha za Urusi kama mabenki yamemelazimika kugeukia sarafu yao ya ruble na sarafu ya yuan ya China,Benki ya VTB inayomilikiwa na serikali ya Urusi imewapa wateja wake fursa ya kufungua akaunti ya akiba ya Ruble na Yuan ya Uchina ambayo inatoa kiwango cha juu cha riba cha asilimia 8%.ni dhahiri kama wataunda 'coalition' katika maswala ya kisarafu kwa kuachana na dola, basi wazi marekani itaanguka kiuchumi,Combination ya Mchina na Mrusi ni jinamizi kwa nchi za magharibi,mmoja atafanya kazi ya kutandika magharibi kijeshi, upande mwingine utamtandika magharibi kiuchumi,kazi ipo kwa Ulaya na Marekani,wao kapu la mayai limebebwa na taifa moja la Marekani, Mmarekani akianguka kijeshi basi hata na kiuchumi anapotea,
Nimalizie kwa kutanabaisha ya kwamba kuiondoa sarafu ya dola ni process,na hiyo wanayofanya Urusi ndio process yenyewe,tumetoka kwenye dola dola dola kila upande,kila kitu kina mwisho,mataifa yamechukua muda mrefu kutafuta namna ya kuiangusha dola,huwezi kutaka kuiangusha dola kwa mwaka mmoja au miezi ni muongo kama sio miongo mpaka karne,hata uchina walitolewa katika masuala ya anga ya kituo kinachomilikiwa na US ila mpaka kua na kituo chao ilichukua miongo kadhaa iliyokaribia karne,hivyo basi suala la dolar kuondoka ni suala la muda tuu na tayari dalili zimeanza kuonekana.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Nimekukubali kiongozi...VIKWAZO KWA URUSI;SARAFU YA RUBLE YA URUSI YAPANDA THAMANI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI.
Leo 15:30pm 27/03/2022
Respect for Russia,who dare to stand up against the West,Baada ya vikwazo vingi vya Ulaya na Marekani kwa Urusi,Urusi imetangaza kuuza mafuta na Gesi kwa sarafu yake ya ruble,Masaa 24 baada ya Urusi kutangaza kuuza mafuta na Gesi kwa ruble, sarafu hiyo imepanda maradufu na kuifanya iwe na nguvu mbele ya dollar na Euro,Juzi thamani ya ruble kwa dola ilikuwa hivi,$1 sawa na Ruble 139 na leo $1 sawa na Ruble 97 huku ni kuimarika kwa hali ya juu kwa sarafu ya ruble,Uarabuni napo wameanza mchakato wa kuanza kuuza mafuta kwa kutumia sarafu ya Yuan ya China.
Thamani ya pesa ni matumizi yake,uhitaji wa sarafu ya ruble ya Urusi ili kuweza kununua mafuta na Gesi kunapandisha matumizi ya pesa hiyo ya ruble,kwa sasa thamani ya dola ipo juu sababu ya uhitaji wake katika kununua vitu nje ya nchi,hamani ya dola inakuja kwenye upande wa kufanya miamala,Telegraphic transfer (TT) kupitia mfumo wa SWIFT,kwa siku kuna miamala mingi ya dola hapa duniani kwa sasa,lakini punde tutaiona miamala mingi ya sarafu ya ruble kwa ajili ya kuagiza mafuta na Gesi,tukumbuke pia tunaweza kuanza kuona miamala ya sarafu ya yuan ya China ikiagiza bidhaa mbalimbali iwapo China itaamua hivyo,Tanzania inaongoza kwa 80% kununua bidhaa mbalimbali toka China.
Kwa namna moja ama nyingine uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ulikuwa ni mpango mkakati wa kumdhoofisha kiuchumi Marekani and the so-called NATO,kiwango cha mfumuko bei ni kikubwa Ujerumani ni 12% haijawahi kutokea tangu vita vya Hitler, Ujerumani wanategemea mafuta na Gesi ya Mrusi,Hispania 9% haijawahi kushuhudia kwa zaidi ya miaka 40, Uingereza bei ya mafuta inakaribia kufumuka kwa 80% kuelekea 100%
Tayari Urusi imechukua hatua mpya ya kuondoa kabisa utegemezi kwa sarafu ya dola ili kukabiliana na mashinikizo ya vikwazo vya Marekani na utumiaji mbaya wa sarafu ya dola unaofanywa na Washington kama nyenzo ya kuiwekea mashinikizo Moscow,punde si punde sarafu ya ruble itaingia kwenye mfumo wa kimataifa wa fedha na kuwa sarafu mbadala wa dola,Baada ya mgogoro wa Ukraine wa mwaka 2014,Russia imekuwa ikiandamwa kwa kupewa vikwazo vikali vya Marekani na Umoja wa Ulaya,
Siku zote Marekani imekuwa ikiitumia dola, ambayo ndiyo sarafu kuu ya kigeni inayotumika katika miamala ya kimataifa, kama silaha ya kuziwekea mashinikizo nchi zingine,imeutumia vibaya mara kadhaa na kwa maslahi yake kwenye utegemezi wa makampuni, mabenki na mifumo ya fedha ya kimataifa kwa sarafu ya dola kama nyenzo na silaha ya kuzilazimisha nchi zingine zifuate matakwa yake au kuzibana zisifuate siasa na sera zisizoipendeza nchi hiyo. Jambo hili limezikera si nchi pinzani pekee bali hata nchi waitifaki wa Ulaya na Washington na kupelekea kujitokeza taratibu fikra ya pamoja kimataifa ya kuzuia mwendelezo wa utumiaji kimaslahi wa sarafu ya dola unaofanywa na Marekani kwa ajili ya kuzishinikiza kiuchumi, kibiashara na hata kifedha nchi zingine hasa zilizo wapinzani au washindani wa nchi hiyo.
Kutokana na vikwazo vikali ilivyowekewa urusi , ikiwa ni pamoja na kuteneganishwa rasmi na dola na euro, taasisi za kifedha za Urusi kama mabenki yamemelazimika kugeukia sarafu yao ya ruble na sarafu ya yuan ya China,Benki ya VTB inayomilikiwa na serikali ya Urusi imewapa wateja wake fursa ya kufungua akaunti ya akiba ya Ruble na Yuan ya Uchina ambayo inatoa kiwango cha juu cha riba cha asilimia 8%.ni dhahiri kama wataunda 'coalition' katika maswala ya kisarafu kwa kuachana na dola, basi wazi marekani itaanguka kiuchumi,Combination ya Mchina na Mrusi ni jinamizi kwa nchi za magharibi,mmoja atafanya kazi ya kutandika magharibi kijeshi, upande mwingine utamtandika magharibi kiuchumi,kazi ipo kwa Ulaya na Marekani,wao kapu la mayai limebebwa na taifa moja la Marekani, Mmarekani akianguka kijeshi basi hata na kiuchumi anapotea,
Nimalizie kwa kutanabaisha ya kwamba kuiondoa sarafu ya dola ni process,na hiyo wanayofanya Urusi ndio process yenyewe,tumetoka kwenye dola dola dola kila upande,kila kitu kina mwisho,mataifa yamechukua muda mrefu kutafuta namna ya kuiangusha dola,huwezi kutaka kuiangusha dola kwa mwaka mmoja au miezi ni muongo kama sio miongo mpaka karne,hata uchina walitolewa katika masuala ya anga ya kituo kinachomilikiwa na US ila mpaka kua na kituo chao ilichukua miongo kadhaa iliyokaribia karne,hivyo basi suala la dolar kuondoka ni suala la muda tuu na tayari dalili zimeanza kuonekana.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Weshu, ukitegheeza..! Niughushia uko koongoi uiko.Nimekukubali kiongozi...
ha ha ha.... kumbe unakijua kimombo...Weshu, ukitegheeza..! Niughushia uko koongoi uiko.
Na je fedha kushuka sana thamani ndio kigezo chakuimarika KIUCHUMIKupanda kwa thamani ya fedha sio kigezo cha kuimarika uchumi. Pesa ya Japan, Yen ina thamani ndogo sana ukilinganisha na pesa za nchi zingine. Na majuzi hapa walitaka kuipunguza tena thamani hadi nchi kubwa kama Marekani, China na Uingereza wakalalamika. Je, Japan ina uchumi mdogo?