Vikwazo kwa Urusi; Sarafu ya ruble ya Urusi yapanda thamani dhidi ya dola ya Marekani

Kuna watu wanaamini mungu kawaotesha kwamba North Korea na South Korea ni zamu yao kuongoza dunia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
You woman,go cook for your children and take care of your husband. Who gave you permission to discuss issues that are for men???
Learn to shut your mouth.
 
Probably your good in English but very stupid in economics, re-read again the topic and come with strong arguments.
 
punguza povu , itakusaidia kutopoteza pesa ya sabuni
 
Ulichokiandika unakijua wewe na demu wak😵va
 
Haiaminiki mdau , hivi kwa akili ya kawaida vikwazo vyote alivyowekewa moscow yaani mtu anakuja jukwaani kirahisi anasepa moscow ruble imeimarika ,wakati wiki mbili zilizopita putini alikiri kabisa vikwazo vinatuumiza ila vumilieni
 
Acha uongo
Dola bado ipo juu
Sahihi, Dola yuko juu sana.
Maelezo yako yote ni kinyume na hali halisi.

Hii hapa ni Daily Chart toka katika Trading Platform Yangu.

Nadhani umeona hapo nilipo zungushia.

Price gap kubwa sana, ina reflect hali halisi jinsi RUB inavyo poromoka zaidi dhidi ya USD.
==


-Hii ni Weekly Chart
- Safari ya kuporomoka kwa RUB ilianza rasmi Tarehe 24 Oct. 2021, Tangia hapo haijawahi kuizidi US $ kwa thamani.
===
Ndugu Mwande na Mndewa tupe uthibitisho wa hicho ulicho andika.
 
Sio kufurahi ila tunaangalia jinsi wenye maslahi yao Ukraine walivyosababisha maafa haya Kwa waUkraine .Ilhali wakiuhadaa ulimwengu kuwa Urusi ndio sababu ya madhila ya watu wa ukraine 🤔
 
Kwa wale ambao hawakua wakifuatilia mambo kwa ukaibu, kumbuka hta JPM alishwahi kuwaambia Benki Kuu ya Tanzania, kwamba waanze kuhifadhi dhahabu badala ya dollar, wasomi wengi wakamuona yule mzee kama anachanganyika nk, wengi walimkosoa. Ila kuna mahali itafikia dollar litakua karatasi lisilo na thamani, unajikuta una makaratasi kibao benki yasiyo na thamani na hapo unarudi kuwa mtumwa.
 
Je, dollar itapoteza nguvu katika biashara duniani? China inafikiria kununua mafuta toka Saudi Arabia kwa Yuan, India na Russia wanataka ku-trade kwa rupee-ruble, these are major world trades. Mataifa ya East yanataka kuachana na mfumo wa swift, wanataka mfumo wao kwenye central bank zao. Mambo ya kumtegemea mmarekani tuwaachie EU manake hawa ni officially wake/allies wa mmarekani.
 
Kutu hujaweka chanzo, hatujaona breaking news kwenye televisheni yoyote hapa ulimwenguni
 
Huyu hajatuletea mambo ya block chain kweli huyu.Kakitu Kapo kama kamari hivi kwenye mambo ya forex trading,mjuzi wa uchumi atusaidie.
 
Sasa imekuaje Putin ameomba mataifa ya ulaya kununua mafuta ya urusi kwa pesa za urusi ili kuokoa sarafu yake isishuke thamani. kitu ambacho nimeona tayari rais wa ufaransa amekipinga
Ameomba au amewataka?
 
Mmarekani wa kwa mpalange bana.
 
Mashetani yakipiga picha ya pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…