Vilabu vingi Vikubwa Afrika vikisafiri 'Pre Season' hasa nchi za 'Kitajiri' huwa zinasafirisha Dawa za Kulevya

Vilabu vingi Vikubwa Afrika vikisafiri 'Pre Season' hasa nchi za 'Kitajiri' huwa zinasafirisha Dawa za Kulevya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sijajua kwa Vilabu vya hapa Kwetu Tanzania ( na nahisi havina Upuuzi huu kwa Matajiri wake ni Watu na Wafanyabiashara Waaminifu na Wacha Mungu mno ), ila kwa Vilabu vingi Vikubwa vya Soka ( Mpira ) Barani Afrika ambavyo viko chini ya Matajiri ukiona tu Vinasafiri ama ndani ya Msimu wa Ligi au 'Pre Season' kwenda katika Nchi za Kitajiri ( Zilizoendelea ) jua ya kwamba kwa 99.99999% nyuma ya hizo Safari huwa kuna Kupeleka au Kufuata Dawa za Kulevya ( Ngada )
 
Sijajua kwa Vilabu vya hapa Kwetu Tanzania ( na nahisi havina Upuuzi huu kwa Matajiri wake ni Watu na Wafanyabiashara Waaminifu na Wacha Mungu mno ), ila kwa Vilabu vingi Vikubwa vya Soka ( Mpira ) Barani Afrika ambavyo viko chini ya Matajiri ukiona tu Vinasafiri ama ndani ya Msimu wa Ligi au 'Pre Season' kwenda katika Nchi za Kitajiri ( Zilizoendelea ) jua ya kwamba kwa 99.99999% nyuma ya hizo Safari huwa kuna Kupeleka au Kufuata Dawa za Kulevya ( Ngada )
Sasa kama issue hadi wewe unaijua…. Unadhani mamlaka za nchi zote hawajui na hawana mechanisms za kumaliza hiyo situation?
 
Sasa kama issue hadi wewe unaijua…. Unadhani mamlaka za nchi zote hawajui na hawana mechanisms za kumaliza hiyo situation?
Kuna mahala popote pale nimevitaja Vilabu vya Tanzania na kuitaka Serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka husika ya DCEA kuchukua hatua? Acha Kiherehere na Kukurupuka tafadhali sawa?

Hoja yangu iko Globally na siyo Locally kama unavyotaka Kulazimisha na ihisiwe hivyo.
 
Kuna mahala popote pale nimevitaja Vilabu vya Tanzania na kuitaka Serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka husika ya DCEA kuchukua hatua? Acha Kiherehere na Kukurupuka tafadhali sawa?

Hoja yangu iko Globally na siyo Locally kama unavyotaka Kulazimisha na ihisiwe hivyo.
Na wewe umeona popote nimeitaja Tanzania?

Mamlaka ni Kwa nchi zote na dunia nzima

War against narcotics ni Kwa wote
 
Kwahiyo akina Al Hilaly, Mamelody nk. Wote husafirisha unga makalioni?
Sijajua kwa Vilabu vya hapa Kwetu Tanzania ( na nahisi havina Upuuzi huu kwa Matajiri wake ni Watu na Wafanyabiashara Waaminifu na Wacha Mungu mno ), ila kwa Vilabu vingi Vikubwa vya Soka ( Mpira ) Barani Afrika ambavyo viko chini ya Matajiri ukiona tu Vinasafiri ama ndani ya Msimu wa Ligi au 'Pre Season' kwenda katika Nchi za Kitajiri ( Zilizoendelea ) jua ya kwamba kwa 99.99999% nyuma ya hizo Safari huwa kuna Kupeleka au Kufuata Dawa za Kulevya ( Ngada )
 
Naungana na wewe kupambana dhidi ya hii vita kubwa ya madawa ya kulevya. Ifikie wakati pre season iwe ni mara moja tu kila msimu unapoanza.
 
Naungana na wewe kupambana dhidi ya hii vita kubwa ya madawa ya kulevya. Ifikie wakati pre season iwe ni mara moja tu kila msimu unapoanza.
Jamani nawakumbusha tu si kwa ubaya lakini, ukishasema Pre-season hiyo ni lazima iwe mwanzoni mwa msimu. Hii ya Dubai hauwezi kuiita Pre-season. Labda Mid-Season itafaa zaidi.

Nimeliona hili tatizo la uelewa kwa wengi humu, nimeshamsikia mtu anahoji "wataendaje preseason wakati ligi huku inaendelea, wanatuvurugia tu ratiba!"
 
Sijajua kwa Vilabu vya hapa Kwetu Tanzania ( na nahisi havina Upuuzi huu kwa Matajiri wake ni Watu na Wafanyabiashara Waaminifu na Wacha Mungu mno ), ila kwa Vilabu vingi Vikubwa vya Soka ( Mpira ) Barani Afrika ambavyo viko chini ya Matajiri ukiona tu Vinasafiri ama ndani ya Msimu wa Ligi au 'Pre Season' kwenda katika Nchi za Kitajiri ( Zilizoendelea ) jua ya kwamba kwa 99.99999% nyuma ya hizo Safari huwa kuna Kupeleka au Kufuata Dawa za Kulevya ( Ngada )
Sasa wewe mzeeya,unafikiria pesa inatakatishwaje duniani kama sio kwa vita na drugs?
Kama hutumii tulia waaxhe wafu wakokotane
 
Back
Top Bottom