Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
NAKAZIAModerator YinYang , Maxence Melo hili suala ni very sensitive nadhani ni vizuri lichukuliwa uzito wake ili Jamiiforums ibaki na heshima yake. Maana nina wasiwasi kama kila mtu atakaa kwa sababu zake akaamua kuandika mambo sensitive kama haya bila hata kuweka ushahidi tutaelekea kubaya.