Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hebu punguza maneno mingi tafuta kijiwe tuyajenge kwanza kiutu uzimu [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu punguza maneno mingi tafuta kijiwe tuyajenge kwanza kiutu uzimu [emoji23]
Nje ya hapo ni mpenda papuchi sana[emoji38][emoji38][emoji38]Mi namjua mtani wangu huyu ni mlevi mstaarabu ila ni mpiga kirungu mzuri sana akikuongelesha hela utatoa yaani ni kama ana kizizi,wakati mwingine anashika watu kwa kuwauzia dawa za kienyeji,na ni msabato mbobezi anaeijua dini.
Nje ya hapo ni mpenda papuchi sana[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
We anapaka mbaya...soma comments zake za nyuma...ila wasted sperm sijaona[emoji16][emoji16]Ha ha ha...
Ila kapunguza makali...Mzee wa Idiot[emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We anapaka mbaya...soma comments zake za nyuma...ila wasted sperm sijaona[emoji16][emoji16]
Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui watu wa JF tulimkosea nini jamani....
Mjukuu nipooo, kuna comments nazisoma nabaki kuchekea rohoni [emoji23].. Kuna vitu ni burudani tupu hapa dunianiMshana Jr babuu unaitwa hukuu, [emoji23][emoji23][emoji23]
HahaaaaaaaHe is a born again Christian japo usipime kina hapo, usije mfanya arudi kilingeni kukurushia miiba kwa wifi
Nimeshakutana naye na kupiga naye story nje ya JF. Ni mtu poa sana huyo mlutheri wa watu alafu mbona ameweka picha zake za kweli humu nyingi na watu wengi wanafahaiana naye nje ya JF nikiwemo mimi.1. Nahisi Mshana Jr ni huyo wa kwenye avatar.
2. Nahisi anafanya kazi ya kuhifadhi miili ya marehemu kwenye hospitali moja hapa mjini.
3. Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.
4. Sidhani kama panya wanakatiza karibu yake.
Hahaaaaaa, una msingizia bwana. Hana Roho hiyo. Namfahamu personally.8. Ana bifu la kudumu na FaizaFoxy hilo bifu la milele halifi
[emoji375][emoji419][emoji375]Hahaaaaaa, una msingizia bwana. Hana Roho hiyo. Namfahamu personally.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] full mtafutanoo. WoiiiihMjukuu nipooo, kuna comments nazisoma nabaki kuchekea rohoni [emoji23].. Kuna vitu ni burudani tupu hapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr mloge huyu anakutania.Ni mtuu fresh anapiga story na kila mtuu sema tu ni mchawi yani mshirikina ..na ana utoto pia kidogo
ni chapombe LAKINI akilewa anaongea point tupu....[emoji23]ni chapombe LAKINI akilewa anaongea point tupu....ni mlevi wa pombe ya k vant au konyagi ukimpa na nyama choma anafurahi kwelikweli au sio Mshana Jr