Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
We Mzee jiangalie wewe🤣🤣🤣😜😜Dah!!! Ngoja nifunge bakuli langu😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Mzee jiangalie wewe🤣🤣🤣😜😜Dah!!! Ngoja nifunge bakuli langu😁
NB:MSIMSUMBUE NDUGU YETU PM MKADHANI ANAZO AJIRA.[emoji23]NAMKUBALI SANA MSHANA JR Mshana Jr KUNA KIPINDI NILIKWAMA SANA NIKAMCHEK ANICHEKIE JAPO KIBARUA. BILA SHIDA JAMAA ALINIOMBA CV NA AKAOMBA NIENDE TUONANE KIBAHA. ALIONESHA MOYO WA KUNISAIDIA KWA DHATI.
SIKUFANIKIWA KWENDA KWA SABABU NILIKUWA MBALI KWA WAKATI ULE, ILA NI MTU POA SANA. SIJUI KAMA ANAKUMBUKA HILI, ILA MIMI HUWA NAKUMBUKA SIKU ZOTE.
UBARIKIWE SANA NDUGU Mshana Jr
NB:MSIMSUMBUE NDUGU YETU PM MKADHANI ANAZO AJIRA.
Naendelea kujiangalia mkuu😁😁😁 sijaona kasoro yoyote kwangu, mvi tu ndio unataradadi taratibu😀😀We Mzee jiangalie wewe🤣🤣🤣😜😜
[emoji173][emoji173][emoji173]Ni mshauri mzuri pia....Yesu akutunze kaka Mshana Jr
🤣🤣🤣🤣Mvi ni busara,,natumaini unaendeleaje kuwa Bora zaidiNaendelea kujiangalia mkuu😁😁😁 sijaona kasoro yoyote kwangu, mvi tu ndio unataradadi taratibu😀😀
Wanasema eti nipake super black, nawaambia haiji kutokea. Mabadiliko lazima uyakubali, shida ni pale zitakapoanza kuota huko unyamwezini😅😅😅🤣🤣🤣🤣Mvi ni busara,,natumaini unaendeleaje kuwa Bora zaidi
Wacha ziote tu,natumai utawaonyesha wazee wenzio kisanga ni kuanza kuziexpose Kwa watoto wadogo,watashangaa sana🤣🤣🤣achana nayo supa blackWanasema eti nipake super black, nawaambia haiji kutokea. Mabadiliko lazima uyakubali, shida ni pale zitakapoanza kuota huko unyamwezini😅😅😅
😅😅😅😅nimecheka sana, "kisanga ni kuanza kuziexpose kwa watoto wadogo"😆😆Wacha ziote tu,natumai utawaonyesha wazee wenzio kisanga ni kuanza kuziexpose Kwa watoto wadogo,watashangaa sana🤣🤣🤣achana nayo supa black
Kuna watu mnawajadili hapa ila mngeyajua maisha yao ya uhalisia mngeumbuka mno kwani kamwe hawana ukubwa huo, umaarufu huo au hata utajiri huo ila basi tu.1. Nahisi Mshana Jr ni huyo wa kwenye avatar.
2. Nahisi anafanya kazi ya kuhifadhi miili ya marehemu kwenye hospitali moja hapa mjini.
3. Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.
4. Sidhani kama panya wanakatiza karibu yake.
Nimecheka sana Witty!!![emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] upo mkuu??
🤣🤣🤣🤣Jitunze.😅😅😅😅nimecheka sana, "kisanga ni kuanza kuziexpose kwa watoto wadogo"😆😆
Akikasirika anatumaga kila Uzi utakaompendeza[emoji28]Hiyo number Moja sio unahisi,alishatumaga picha yake ndio yeye,Uzi wake wa selfika sijui
Hii sio dalili njema uzeeni utasumbua raiaKuna watu mnawajadili hapa ila mngeyajua maisha yao ya uhalisia mngeumbuka mno kwani kamwe hawana ukubwa huo, umaarufu huo au hata utajiri huo ila basi tu.
Hana baya,wengine tunajificha utasema bange😁Akikasirika anatumaga kila Uzi utakaompendeza[emoji28]
Hana shida Mtani wangu huyo...
Au nakosea mkuu?Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app