Vilinge vilivyothibitishwa maeneo mbalimbali nchini

Vilinge vilivyothibitishwa maeneo mbalimbali nchini

Ala! Kumbe Sumbawanga na Kigoma hamna kitu!
Sumbawanga na kigoma hawana mbwembwe. Ila ukienda ndio utajua.
Ziwa Tanganyika ndio nguzo kuu inauounganisha Sumbawanga kihoma na kongo.
Kisha unaenda kufuata bonde la kati mpaka Niger huko ndio chanzo kikuu cha mtu mweusi na maajabu yote ya mwafrika. Ogopa kigoma kule kuna mafundi.
Naishi nyanda za juu kusini watu pekee ukanda huu ni wakinga walau wanajaribu, jaribu nikilinganisha na nyumbani maghaibi na usukumani, huku bado sana.
Wapangwa wao wanasifiwa kwa kuoga tu na si tiba kwa jumla wake.
Mimi kama mtu wa kutoka bonde la Tanganyika mtu anaweza kumuogopa ni msukuma. Wasukuma wanajua tiba sana sana.
 
Sumbawanga na kigoma hawana mbwembwe. Ila ukienda ndio utajua.
Ziwa Tanganyika ndio nguzo kuu inauounganisha Sumbawanga kihoma na kongo.
Kisha unaenda kufuata bonde la kati mpaka Niger huko ndio chanzo kikuu cha mtu mweusi na maajabu yote ya mwafrika. Ogopa kigoma kule kuna mafundi.
Naishi nyanda za juu kusini watu pekee ukanda huu ni wakinga walau wanajaribu, jaribu nikilinganisha na nyumbani maghaibi na usukumani, huku bado sana.
Wapangwa wao wanasifiwa kwa kuoga tu na si tiba kwa jumla wake.
Mimi kama mtu wa kutoka bonde la Tanganyika mtu anaweza kumuogopa ni msukuma. Wasukuma wanajua tiba sana sana.
Kweli mkuu unawafahamu, Ogopa Mkinga wa Kipagalo na Iniho, Ogopa Mpangwa wa Maholong'wa na Kimelembe lakini ogopa zaidi Mmanda wa Lifua na Ngelenge. 🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom