Vimbwanga na Visa vya mahusiano ya JF

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nafuatilia kwa kucheka mno..Haki umenichekesha..

Kwamba utamtoa mtu damu[emoji23][emoji23][emoji23]
Naona shughuli tunayo... Usinisahau kwenye maandalizi Mama..
Ntamtoa damu atakaejaribu kujiingiza kwa namna yeyote ile kwenye hii kapo....😁
Sitaki hata wasemwe.
Kwenye kamati lazima uwepo, hata Dinazarde atakuwepo
 

Ok umeeleweka mkuu.
 
Chawa kama chawa....!!!hongera!!!
 
Maana yule hakumcheleweshea ndoa na huyu tunataka haraka sana aoe tule biriani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mmmh afu wewe, inamaana hii miaka miwili ya jf tayari ndoa, tayari watoto???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mmmh afu wewe, inamaana hii miaka miwili ya jf tayari ndoa, tayari watoto???
More than two years mbona dada kathibitisha kwenye uzi wake watu walimuhoji huko....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…