Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Yaan najiuliza hao watu walikuwaga wanaandika nini ?mi siwezi andika mabitu marefuUpo kwenye mtihan unakuta mwana anatumia vifaa vyote vya mkebe hafu wewe kapuku hahahaha ... Another booklet please akat wewe ndo kwanza page tatu unahangaika wapi ukondens hata kanyimbo ili umeonekana umeandika sana nyie jaman shule ... Shule achen iitwe shule .. Nawasalimu ndugu zangu pcb popote mlipo ... Phosphoenol pyruvate halet tena pyruvate now days wala atp .. Naye vyuma vimekaza .......
Kuna teacher wetu mmoja wa bios advance alkua anataka uandike vitu ving ..hafu hasomYaan najiuliza hao watu walikuwaga wanaandika nini ?mi siwezi andika mabitu marefu
Na akawa anasahihisha tu[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna teacher wetu mmoja wa bios advance alkua anataka uandike vitu ving ..hafu hasom
Wana wakaona isiwe taabu wakawa wana condense nyimbo za lil wayne kwenye pepa
Na kuna pepa niliongoza .... Nilikua narudia yale nayoyaandika nltaka niprove ujinga wa mwalimuNa akawa anasahihisha tu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kuna pepa niliongoza .... Nilikua narudia yale nayoyaandika nltaka niprove ujinga wa mwalimu
huyu jamaa ni Genius..,doh!alipiga mahesabu makali ..maana asingenyang'anya karatasi wangetulazimisha kusign OUT then ambaye angemiss wangejua ndio aliyekimbia so angekamatwa alafu yy angetaja mtu aliyemleta kufanya paper jamaa alisepa na ushahidi ππππ
yale majaa ya DIT yapo smart hadi kwenye utapeli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh
sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu
nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea ππππ
Hahahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh
sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu
nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea ππππ
Hahahahaa nshawahi kuipata hii hali, nilikua sioni kitu yani empty, nilitamani kupiziKuna wakat pepa ikiwa ngumu na muda unaenda, nilikuwa najihisi bao linataka kutoka
Umenichekesha sana nakumbuka UD kuna jamaa alimeza kitini chezea kushikwatukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh
sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu
nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea ππππ
Inabidi uandike muandiko mkubwa ili uende nae sawa katika uchukuaji wa makaratasiUpo kwenye mtihan unakuta mwana anatumia vifaa vyote vya mkebe hafu wewe kapuku hahahaha ... Another booklet please akat wewe ndo kwanza page tatu unahangaika wapi ukondens hata kanyimbo ili umeonekana umeandika sana nyie jaman shule ... Shule achen iitwe shule .. Nawasalimu ndugu zangu pcb popote mlipo ... Phosphoenol pyruvate halet tena pyruvate now days wala atp .. Naye vyuma vimekaza .......
kipindi cha UE kunakuwaga na vituko vya kila aina aseeUmenichekesha sana nakumbuka UD kuna jamaa alimeza kitini chezea kushikwa
Hahaaa Umenikumbusha 4m four..MIE NILIKUWA NA KOPI MASWALI KATIKA question paper NAHAMISHIA KATIKA booklet.. mpaka muda unafika..
alaf MTIHANI wa MATHEMATICS unalala USINGIZI HAUJI.. unakuwa BORED.. alaf masaa ma 3.. unachoka.. unaanza kuhesabu mabati... ukichoka unalalia desk kama MBWA KOKO.. yaan hatari
Yaani kwenye Advance Maths kuna mtu alitumia booklet 3embu jaribu kuwafatilia hao watu ambao walikuwa na tabia ya ku request next booklet ili tu kuweka watu wawe nervous uone walivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi sanaa toba nafsi yangutukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh
sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu
nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea ππππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] smart hadi utapeliialipiga mahesabu makali ..maana asingenyang'anya karatasi wangetulazimisha kusign OUT then ambaye angemiss wangejua ndio aliyekimbia so angekamatwa alafu yy angetaja mtu aliyemleta kufanya paper jamaa alisepa na ushahidi ππππ
yale majaa ya DIT yapo smart hadi kwenye utapeli