Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

Nakumbuka zile pepa za Econometrics na Management Accounting ilikua tukiisha iona pepa nawacheki client wenzangu maana tulikua tuna network na server moja. Basi tukijikuta tuaangaliana na jua hii ya leo ni harusi kila mtu bila bila. Tunachomoka na pepa moja kwa moja kutafuta vyeti vya hospitali kwamba hatukufanya tulikua wagonjwa.
 
Upo kwenye mtihan unakuta mwana anatumia vifaa vyote vya mkebe hafu wewe kapuku hahahaha ... Another booklet please akat wewe ndo kwanza page tatu unahangaika wapi ukondens hata kanyimbo ili umeonekana umeandika sana nyie jaman shule ... Shule achen iitwe shule .. Nawasalimu ndugu zangu pcb popote mlipo ... Phosphoenol pyruvate halet tena pyruvate now days wala atp .. Naye vyuma vimekaza .......
Yaan najiuliza hao watu walikuwaga wanaandika nini ?mi siwezi andika mabitu marefu
 
alipiga mahesabu makali ..maana asingenyang'anya karatasi wangetulazimisha kusign OUT then ambaye angemiss wangejua ndio aliyekimbia so angekamatwa alafu yy angetaja mtu aliyemleta kufanya paper jamaa alisepa na ushahidi 😀😀😀😀

yale majaa ya DIT yapo smart hadi kwenye utapeli
huyu jamaa ni Genius..,doh!
aliwaza mbali hatari
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀
Hahahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀
Umenichekesha sana nakumbuka UD kuna jamaa alimeza kitini chezea kushikwa
 
Upo kwenye mtihan unakuta mwana anatumia vifaa vyote vya mkebe hafu wewe kapuku hahahaha ... Another booklet please akat wewe ndo kwanza page tatu unahangaika wapi ukondens hata kanyimbo ili umeonekana umeandika sana nyie jaman shule ... Shule achen iitwe shule .. Nawasalimu ndugu zangu pcb popote mlipo ... Phosphoenol pyruvate halet tena pyruvate now days wala atp .. Naye vyuma vimekaza .......
Inabidi uandike muandiko mkubwa ili uende nae sawa katika uchukuaji wa makaratasi
 
MIE NILIKUWA NA KOPI MASWALI KATIKA question paper NAHAMISHIA KATIKA booklet.. mpaka muda unafika..

alaf MTIHANI wa MATHEMATICS unalala USINGIZI HAUJI.. unakuwa BORED.. alaf masaa ma 3.. unachoka.. unaanza kuhesabu mabati... ukichoka unalalia desk kama MBWA KOKO.. yaan hatari
Hahaaa Umenikumbusha 4m four..
Pepa la Mock ya TAHOSA mtihani haueleweki ilikua Math dogo mmoja yeye kazi yake alihesabu manen yote yalyoandikwa Tahosa Alianza kuhesabu upande wa Row akamalizia na Colum. Hakujaza kitu
 
Kipindi nipo Chuo hakuna mitihani iliyokua inanifanya nihesabu wingi wa watu kama mitihani ya code..hahaha

Unaona mwenzio anashusha macode unaishia kutumbua macho kwenye booklet dah
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi sanaa toba nafsi yangu

Ila wewee jamaa una storiiiiiii
 
alipiga mahesabu makali ..maana asingenyang'anya karatasi wangetulazimisha kusign OUT then ambaye angemiss wangejua ndio aliyekimbia so angekamatwa alafu yy angetaja mtu aliyemleta kufanya paper jamaa alisepa na ushahidi 😀😀😀😀

yale majaa ya DIT yapo smart hadi kwenye utapeli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] smart hadi utapelii
 
Back
Top Bottom