Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Nasikia Lissu yeye alikanyaga mshiko kama kawaida yake huwa haachi miaHakuwahi kuahidiwa bilioni tatu acheni uongo. Bilioni tatu unaijua?
Unazijua Bilioni tatu wewe? Hivi unakataaje 3B?Kama kweli aliweza kukataa TZS 3BIL kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende anahitajika.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Ndio maana nasema CCM ikae karibu na huyu mtuUnazijua Bilioni tatu wewe? Hivi unakataaje 3B?
Hapa Wabunge wanakumbuka sakata la 2014
Tofautisha kati ya Uzalendo na Ushamba,Kafulila ni mshamba unakataaje 3B halafu home majanga😀
Hawa ndio vijana wa Taifa hili waliopo😀😀
Wewe NI mbongo kwelikweli
Hawa ndio vijana wa Taifa hili waliopo
Jamaa ananifikirisha sana kama kweli hili jambo ni kweli anamoyo wa pekee sana3B
99.9999% ya Watu Duniani Hufa pasipo KUMILIKI Wala kuona kiwango hicho cha pesa
Tanzania vijana wa kizalendo wakutafuta na tochi ila kule CHADEMA na Upinzani ndio huapati ata mmojaKama kweli aliweza kukataa TZS 3BIL kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende anahitajika.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Kweli wewe nyondenyondeTofautisha kati ya Uzalendo na Ushamba,Kafulila ni mshamba unakataaje 3B halafu home majanga😀
Sawa wewe unaweza kukataa hata mil 10?Kweli wewe nyondenyonde
Huna akili kabisa
Mimi hata 100bn siwezi kuiuza nchi yangu.Sawa wewe unaweza kukataa hata mil 10?
Umeshawahi lakini kushika hata 100mil?Mimi hata 100bn siwezi kuiuza nchi yangu.
Hata kama bado ila siwezi kufanya UsalitiUmeshawahi lakini kushika hata 100mil?
Wanataja tu billion 3, wanafikiri ni hela ndogo,Hakuwahi kuahidiwa bilioni tatu acheni uongo. Bilioni tatu unaijua?
Huwezi kukosa sehemú ya kuficha pesaWanataja tu billion 3, wanafikiri ni hela ndogo,
Hata angepewa angeoficha wapi na Hana biashara ya kuitakatisha,
Mama wa hela ya mboga aliingiza kwenye shule yake, ndio ikatakata ile bilion na nusu,