Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Mwanahabari wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
1,588
Reaction score
956
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3BIL kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende anahitajika.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Unazijua Bilioni tatu wewe? Hivi unakataaje 3B?
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3BIL kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende anahitajika.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Tanzania vijana wa kizalendo wakutafuta na tochi ila kule CHADEMA na Upinzani ndio huapati ata mmoja
 
Hakuwahi kuahidiwa bilioni tatu acheni uongo. Bilioni tatu unaijua?
Wanataja tu billion 3, wanafikiri ni hela ndogo,
Hata angepewa angeoficha wapi na Hana biashara ya kuitakatisha,

Mama wa hela ya mboga aliingiza kwenye shule yake, ndio ikatakata ile bilion na nusu,
 
Wanataja tu billion 3, wanafikiri ni hela ndogo,
Hata angepewa angeoficha wapi na Hana biashara ya kuitakatisha,

Mama wa hela ya mboga aliingiza kwenye shule yake, ndio ikatakata ile bilion na nusu,
Huwezi kukosa sehemú ya kuficha pesa
 
Back
Top Bottom