Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Tunajua amekulipa
 


Utumbili ni ujinga, unahangaika sana mitandaoni kujipost post, CCM sio wajinga hivyo hadi ujitangaze tangaze kila mitandao unajitangaza, huo ni ujinga mkubwa,, huna la maana lolote, CCM ni Chama chenye watu wenye akili nyingi mno, hata ujipost mara milioni, kama hufai hufai tu
 
Tofautisha kati ya Uzalendo na Ushamba,Kafulila ni mshamba unakataaje 3B halafu home majanga😀
Hakukataa

Kurudisha pesa iliyobaki kwenye miradi now wajibu

ILA jamaa sijui analipa kiasi gani kurushwa humu jf

Inanikumbusha MUSAFIRI DIOUF NA WAPII PAPAA MUNDENDE, 🎼🎺🎹 au ndanda Kosovo kichaa na pedejshee ndama
 
Hakukataa

Kurudisha pesa iliyobaki kwenye miradi now wajibu

ILA jamaa sijui analipa kiasi gani kurushwa humu jf

Inanikumbusha MUSAFIRI DIOUF NA WAPII PAPAA MUNDENDE, 🎼🎺🎹 au ndanda Kosovo kichaa na pedejshee ndama
Sijazungumzia mambo ya kurudisha pesa kwenye mradi jitulize soma vizuri
 
Ngoja tuone CCM kama kweli haitambui vijana Wazalendo kama huyu wakukataa 3b mchana kweupe
 
Idadi ya Chawa wa Kafulila JF inazidi ya Samia
 
CCM kama itamlea vizuri huyu bwana anaweza kuwa kama Nyerere wa pili
Ogopa sana Mtu anacheua 3b cash dollar.
 
3b😭😭😭😭
 
Ngoma ikipigwa sana mwishowe....

Angalieni msije mkaishia kumharibia; maana anaweza kuishia kuonekana kama threat kwa wenye mfumo!
 
Kafulila sio hazina kwa CCM tu mwandishi weka sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…