Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Good idea, kama coupon ya 5k ukiingia utajua watumia nini.Wauze coupon tu, ukiingia ndani ununue utakacho.
Hii ni njia nzuri ya kupembua mchele na chuya niliyoiona sehemu moja hapo mjini Dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good idea, kama coupon ya 5k ukiingia utajua watumia nini.Wauze coupon tu, ukiingia ndani ununue utakacho.
Hii ni njia nzuri ya kupembua mchele na chuya niliyoiona sehemu moja hapo mjini Dar.
ni kukosa ubunifuWakuu Salam sana,
Nipo Moro town, nikaona siyo mbaya nikafungue mwaka wakati napata vyombo murua.
Kichwani mwangu nikafukiria Samaki Samaki, Star Park na Eli's Pub.
Sasa nimeenda star park nakuta kingilio ni Bia 2 mlangoni, nikasepa, Samaki Samaki nakuta pamejaa afu pako wazi na Kuna manyunyu, nikaenda Eli's Pub nikakuta pako poa sana space bado ipo ndo nipo now.
Ila Star Park wamenikera, kwa zama hizi bado tunaweka vingilio mlangoni lazima, mfano mim sinywi Bia nakunywa pombe Kali why unilazimishe ninunue hizo Bia zako. Kiufupi hii imenikera na sijaipenda.
Wanapunguza machawa, ombaomba, Wezi wa bia zilizo baki nusu na vibakaWakuu Salam sana,
Nipo Moro town, nikaona siyo mbaya nikafungue mwaka wakati napata vyombo murua.
Kichwani mwangu nikafukiria Samaki Samaki, Star Park na Eli's Pub.
Sasa nimeenda star park nakuta kingilio ni Bia 2 mlangoni, nikasepa, Samaki Samaki nakuta pamejaa afu pako wazi na Kuna manyunyu, nikaenda Eli's Pub nikakuta pako poa sana space bado ipo ndo nipo now.
Ila Star Park wamenikera, kwa zama hizi bado tunaweka vingilio mlangoni lazima, mfano mim sinywi Bia nakunywa pombe Kali why unilazimishe ninunue hizo Bia zako. Kiufupi hii imenikera na sijaipenda.
Huna baa hujaimiliki biashara hiyo huna experience kaa kimya. Watu wanaingia baa za bei za juu kuzuga na kusubiri ofa, hawana hela ya kununua vinywaji vyaoKupembua mchele na chuya ni kuuza Bia shilingi elf Saba na Soda elf Nne na wala hakuna sababu ya kutoza kiingilio kama uwanja wa mpira.
Ni kweli kabisa. Nilipotea njia.Wewe umeshazeeka,. Hao watoto wa 2000 ndo size yao tulia ulee wajukuu.
Kama ndiyo hivyo basi Bar za hotelini zingejaa hao wazugaji, Bar za local ndiyo zina wazugaji lakini Bar zenye viwango vya kimataifa hakuna wazugaji yani uende Park Hyatt ukae Bar kwakuzuga bila kununua kitu wahudumu wakuangalie na ma supervisor wakuangalie tu. Tanzania inabidi tufanye Biashara ki professional ili Masikini na Matapeli wawe wanapita mbali kama kituo cha polisi. Lakini ukiendesha Bar kama banda la kuonyesha mpira lazima utajaza wezi na matapeli.Huna baa hujaimiliki biashara hiyo huna experience kaa kimya. Watu wanaingia baa za bei za juu kuzuga na kusubiri ofa, hawana hela ya kununua vinywaji vyao
Wewe umelewa gongo.Kuambiwa kiingilio bia mbili ambazo unakunywa mwenyewe nacho unaita kiingilio?Tuliza wenge mkuu.Wakuu Salam sana,
Nipo Moro town, nikaona siyo mbaya nikafungue mwaka wakati napata vyombo murua.
Kichwani mwangu nikafukiria Samaki Samaki, Star Park na Eli's Pub.
Sasa nimeenda star park nakuta kingilio ni Bia 2 mlangoni, nikasepa, Samaki Samaki nakuta pamejaa afu pako wazi na Kuna manyunyu, nikaenda Eli's Pub nikakuta pako poa sana space bado ipo ndo nipo now.
Ila Star Park wamenikera, kwa zama hizi bado tunaweka vingilio mlangoni lazima, mfano mim sinywi Bia nakunywa pombe Kali why unilazimishe ninunue hizo Bia zako. Kiufupi hii imenikera na sijaipenda.
Samaki samaki niliacha kwenda kuna siku nilienda nadhani zaidi ya miaka 7, nilikutana na kiingilio cha bk 5 tulikuwa 3, jumla bk15 mfukoni zikabki bk45 vinywaji kwa watu 3 Duu kwa bei yao ile na nyama choma ikabidi pruuuu , sijaenda tena na sitaenda kwa pesa yangu labda kwa mwaliko nilishajipiga marufukuWakuu Salam sana,
Nipo Moro town, nikaona siyo mbaya nikafungue mwaka wakati napata vyombo murua.
Kichwani mwangu nikafukiria Samaki Samaki, Star Park na Eli's Pub.
Sasa nimeenda star park nakuta kingilio ni Bia 2 mlangoni, nikasepa, Samaki Samaki nakuta pamejaa afu pako wazi na Kuna manyunyu, nikaenda Eli's Pub nikakuta pako poa sana space bado ipo ndo nipo now.
Ila Star Park wamenikera, kwa zama hizi bado tunaweka vingilio mlangoni lazima, mfano mim sinywi Bia nakunywa pombe Kali why unilazimishe ninunue hizo Bia zako. Kiufupi hii imenikera na sijaipenda.
Unachekesha sababu hujui, ungekuwa mmiliki ama mfanyakazi ungejua, wewe ni mtumiaji tu, wamiliki na wafanyakazi tunajua wazugaji na watumiaji wa kweli, tunajua nani toka aje ana bia moja ama maji tu kwa masaa manne toka aje, nani hanunuagi hadi offa na nani anatoa ofa bila kujali. Ndio sababu hizo coupon zipo, kuchuja angalau upate minimum revenue toka kwa kila patronKama ndiyo hivyo basi Bar za hotelini zingejaa hao wazugaji, Bar za local ndiyo zina wazugaji lakini Bar zenye viwango vya kimataifa hakuna wazugaji yani uende Park Hyatt ukae Bar kwakuzuga bila kununua kitu wahudumu wakuangalie na ma supervisor wakuangalie tu. Tanzania inabidi tufanye Biashara ki professional ili Masikini na Matapeli wawe wanapita mbali kama kituo cha polisi. Lakini ukiendesha Bar kama banda la kuonyesha mpira lazima utajaza wezi na matapeli.
Yupo sawa boss. Hata mm miaka kadhaa nyuma nimeshanunulishwa baket ya bia ilihali sizihitaji, nikazigawa nilipoingia ndani. Wangetoa kama katiketi kenye value ya hizo bia ukiingia ndani ukatumie kununua kinywaji utakacho.Wewe umelewa gongo.Kuambiwa kiingilio bia mbili ambazo unakunywa mwenyewe nacho unaita kiingilio?Tuliza wenge mkuu.
Ungewaambia wakupe fanta orenji zenye thamani ya hizo bia mkuu.Yupo sawa boss. Hata mm miaka kadhaa nyuma nimeshanunulishwa baket ya bia ilihali sizihitaji, nikazigawa nilipoingia ndani. Wangetoa kama katiketi kenye value ya hizo bia ukiingia ndani ukatumie kununua kinywaji utakacho.
Inabidi uwe unaenda sehemu za Live Band hakuna vurugu. Sehemu za Amapiano na ngoma za kina Chino wanaman hao watoto wa 2000 wanajua age mate wanaweza wakakutuma SavanaNi kweli kabisa. Nilipotea njia.
Sikuwa nahitaji fanta boss, nilikuwa nahitaji kawhisky, wao maagizo waliyopewa ni kiingilio unanunua baketi lenye bia.Ungewaambia wakupe fanta orenji zenye thamani ya hizo bia mkuu.
Huenda kulikuwa na event maalum zinazodhaniwa na makampuni ya bia, kama ni hivyo kiingilio huwa ni bia wanayoifanyia promosheni. Hapo huwezi kubadilisha na kinywaji kingine sababu nao lengo ni kupush bia husikaYupo sawa boss. Hata mm miaka kadhaa nyuma nimeshanunulishwa baket ya bia ilihali sizihitaji, nikazigawa nilipoingia ndani. Wangetoa kama katiketi kenye value ya hizo bia ukiingia ndani ukatumie kununua kinywaji utakacho.